Joy FM
Joy FM
28 July 2025, 09:55
Wazazi na walezi wenye watoto wenye ulemavu wameshauriwa kutowafisha watoto wenye mahitaji maalumu kwa kufanya hivyo ni kuwanyima haki zao msingi. Na Hagai Ruyagila Mkuu wa Wilaya ya Kasulu, Kanali Isaac Mwakisu, ametoa wito kwa wazazi na walezi wilayani humo…
25 July 2025, 14:26
Polisi jamii ni nguzo muhimu katika mapambano dhidi ya vitendo vya ukatili na kupitia ushirikiano wa karibu na jamii, elimu, na ufuatiliaji wa karibu, wanasaidia kupunguza ukatili na kukuza mazingira salama na yenye haki kwa wote. Na Josephine Kiravu Kufuatia…
25 July 2025, 12:42
Halmashauri ya Mji wa Kasulu mkoani Kigoma inakabiliwa na upungufu wa lita milioni 5 za maji kati ya lita milioni 15 zinazohitajika ili kuondoa changamoto ya uhaba wa maji safi na salama kwa wananchi. Na Hagai Ruyagila Waziri wa Maji…
24 July 2025, 15:30
Halamshauri ya Wilaya Kasulu imepanga kuzalisha miche milioni moja ya kahawa ili kutoa fursa kwa wakulima wengi kufikiwa na kuongeza tija ya uzalishaji wa zao hilo. Na Emmanuel Kamangu Wakulima wa zao la kahawa katika kijiji cha Kibirizi kata ya…
23 July 2025, 16:05
Wasafiri wametakiwa kutoa taarifa za uvunjifu wa amani wakati wakiwa safarini. Na Hagai Ruyagila Jeshi la Polisi Kitengo cha Usalama barabarani Wilayani Kasulu limetoa wito kwa wasafiri wote wanaotoka Wilaya hiyo kuelekea maeneo mengine kutoa taarifa mapema wanapobaini dalili zozote…
23 July 2025, 12:44
Halamashauri ya Wilaya ya Kasulu inakusudia kuanzisha viwanda vidogovidogo vitakavyosaidia wakulima wa zao la mchikichi kukamua mafuta ya zao hilo.
23 July 2025, 12:30
Serikali imewataka wajasiriamali kuendelea kuboresha bidhaa zenye ushindani katika soko la ndani na nje ya nchi. Na Michael Mpunije Vikundi vya wajasiriamali katika Halmashauri ya Mji Kasulu mkoani Kigoma, vimetakiwa kuongeza uzalishaji ili kupata masoko ya nje ya nchi. Akizungumza…
21 July 2025, 15:59
Wavuvi wanaofanya shughuli za uvuvi ndani ya ziwa Tanganyika wameomba Seriakali kushughulikia vitendo wizi na uhalifu ndani ya ziwa hilo Watu wanaodhaniwa kuwa ni majambazi wanadaiwa kuwavamia na kupora mashine nane za uvuvi katika mwalo wa Katonga Ziwa Tanganyika Mkoani…
21 July 2025, 15:44
Wajasiriamali wakubwa na wadogo pamoja na wafanyabiashara zaidi ya 100 wamepatiwa elimu ya uwekezaji mitaji. Na Emmanuel Matinde Mkuu wa Wilaya ya Kigoma Dkt. Rashid Chuachua, amehimiza jamii kujenga utamaduni wa kujiwekea akiba pamoja na kufundisha kizazi cha sasa umuhimu…
18 July 2025, 13:11
Kilimo cha zao la mchikichi katika Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu mkoani Kigoma kimeanza kuleta mafanikio kiuchumi kwa wakulima kufuatia usambazaji wa mbegu bora aina ya Tenera. Na Emmanuel Kamangu Wananchi wilayani Kasulu mkoa wa Kigoma wametakiwa kuchangamkia fursa ya…
Radio JOY 90.5 FM Kigoma is the community radio station broadcasting in Kigoma, which JOY owns IN THE HARVEST organization. We started full Broadcasting in February 2016. Radio JOY FM provides information that caters to the interest of the Kigoma region, Radio Joy broadcasts content that is popular to a local audience community. Radio Joy Fm carries news and information programming geared toward the local area, particularly where other media cannot reach the area and minority groups that are poorly served by other major media outlets. Radio joy as a platform to enable participation of communities in developing activities like
building schools, hospitals and influencing behavior change. We produce programs like Good morning Kigoma, “Harakati za Vijana”, Mashua, “Dimba la Michezo”, East Africa Show, Lunch Time and so on, to keep the value, languages and cultures of Kigoma Society alive on a daily basis. Radio Joy Fm Kigoma work as a means to promote values of access to education, economic and social justice, against class, gender, race, and caste based violence, and transparency in governance.
Missions
Visions
The Owner – The organization owns Radio JOY FM, Kigoma, called Joy in the Harvest, which has been in Kigoma for more than twenty-five years; Radio Joy has a special emphasis on helping the poor, the disabled, and the disadvantaged through the program we produce. Not only that but also we are glad to be part of something big, through the programs Radio Joy producing is able to bring positive change to the Kigoma community.
Radio JOY Location – Radio JOY 90.5 Fm Kigoma, has studios located on Kibirizi Road, Kigoma Town. We are just very few kilometers from Kigoma Railway Station. Our broadcast tower is located on the highest point in the area.