Joy FM
Joy FM
28 May 2024, 11:29
Serikali kupitia Shirika la Umeme Tanzania TANESCO mkoani Kigoma limewataka wananchi kutoa taarifa za watu wanaoharibu miundombinu ya umeme kwa kukata nyaya na kuchoma moto nguzo za umeme. Na Michael Mpunije – Kasulu Wananchi wilayani Kasulu Mkoani kigoma wametakiwa kuacha…
28 May 2024, 11:16
Licha ya serikali kuendelea kutoa pesa kupitia mpango wa kunusuru kaya masikini kwa kaya ambazo hazijiwezi, baadhi ya wanufaika wameomba serikali kuendelea kuongeza kiasi cha fedha ambazo zitasaidia walengwa kujikwamua zaidi. Na Kadislaus Ezekiel – Buhigwe Wazee katika halmashauri ya…
28 May 2024, 10:31
Serikali wilayani kibondo mkoani kigoma imesema mpango wa kunusuru kaya masikini umesaidia kaya nyingi kujinusuru na umasikini kupitia elimu ya namna ya kutumia fedha wanazopewa katika kuzalisha mali ikwemo ufugaji. Na James Jovin – Kibondo Baadhi ya kaya masikini katika…
27 May 2024, 14:36
Wakati zoezi la uboreshaji wa daftari la kudumu la mpiga kura likitarajiwa kuzunduliwa julai mosi mwaka mkoani kigoma, viongozi wa dini na wadau mbalimbali wametakiwa kuhimizi waumini na jamii kwa ujumla kujitokeza kujiandikisha kwenye zoezi hilo la uboreshaji wa daftari…
27 May 2024, 09:29
Serikali wilayani kibondo mkoani kigoma imesema itaendelea kutumia siku ya afya na lishe ya kijiji kutoa elimu ya namna ya kuanda lishe bora kwa wananchi ili waweze kufahamu namna ya kukabiliana na lishe duni kwa watoto ambao wameonekana kuwa na…
23 May 2024, 16:12
Jamii na wadau wa maendeleo wilayani Kasulu wametakiwa kujitoa kwa wanafunzi wenye ulemavu kwa kuwapa msaada wa mahitaji mbalimbali ili waweze kufikia malengo kama makundi mengine ya watoto. Na Hagai Ruyagila – Kasulu Wadau wa maendeleo katika wilaya ya Kasulu…
23 May 2024, 09:22
Licha ya jitihada mbalimbali za wadau na serikali katika kutoa elimu ya lishe kwa jamii bado tatizo la lishe limekuwa pasua kichwa kwani bado watoto wanasumbuliwa na magonjwa yatokanayo na ukosefu wa lishe ya kutosha. Na James Jovin – Kibondo…
23 May 2024, 09:05
Wadau wa maendeleo wametakiwa kushirikiana na serikali katika kuhakikisha wanatengeneza miundombinu wezeshi kwa wanafunzi wenye mahitaji maalum ili weweze kusomea katika mazingira rafiki. Na Hagai Ruyagila – Kasulu Wito umetolewa kwa serikali kuendelea kuboresha miundombinu ya shule kwa watoto wenye…
23 May 2024, 08:23
Serikali wilayani uvinza mkoani kigoma kupitia kwa mratibu wa mpango wa kunusuru kaya masikini Nchini TASAF imesema kuwa ruzuku zinazotolewa kwa kaya masikini zimesaidia kupungunguza umasikini ambao ulikuwa ukisababisha ukatilii hasa kwa watoto wa kike kuolewa katika umri mdogo. Na…
22 May 2024, 08:12
Wafugaji wa kuku mkoani Kigoma wamesema kuwa wana nia na dhamira ya kufanya ufugaji wa tija kwa kuwa uvuvi kuwa ni miongoni mwa biashara ambayo inaweza kuinua kila mtu na kukuza uchumi wake na taifa kwa ujumla. Na Tryphone Odace…
Radio JOY 90.5 FM Kigoma is the community radio station broadcasting in Kigoma, which JOY owns IN THE HARVEST organization. We started full Broadcasting in February 2016. Radio JOY FM provides information that caters to the interest of the Kigoma region, Radio Joy broadcasts content that is popular to a local audience community. Radio Joy Fm carries news and information programming geared toward the local area, particularly where other media cannot reach the area and minority groups that are poorly served by other major media outlets. Radio joy as a platform to enable participation of communities in developing activities like
building schools, hospitals and influencing behavior change. We produce programs like Good morning Kigoma, “Harakati za Vijana”, Mashua, “Dimba la Michezo”, East Africa Show, Lunch Time and so on, to keep the value, languages and cultures of Kigoma Society alive on a daily basis. Radio Joy Fm Kigoma work as a means to promote values of access to education, economic and social justice, against class, gender, race, and caste based violence, and transparency in governance.
Missions
Visions
The Owner – The organization owns Radio JOY FM, Kigoma, called Joy in the Harvest, which has been in Kigoma for more than twenty-five years; Radio Joy has a special emphasis on helping the poor, the disabled, and the disadvantaged through the program we produce. Not only that but also we are glad to be part of something big, through the programs Radio Joy producing is able to bring positive change to the Kigoma community.
Radio JOY Location – Radio JOY 90.5 Fm Kigoma, has studios located on Kibirizi Road, Kigoma Town. We are just very few kilometers from Kigoma Railway Station. Our broadcast tower is located on the highest point in the area.