Joy FM

Recent posts

17 May 2024, 14:41

Serikali yagawa vifaa kwa shule zenye wanafunzi wa MEMKWA

Serikali imesema itaendelea kushirikiana na wadau wa maendeleo katika kuhakikisha inaboresha elimu nchini kwa wanafunzi. Na Hagai Ruyagila – Kasulu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Kasulu mkoani Kigoma Mwl. Vumilia Simbeye amekabidhi vifaa vya shule kwa wakuu wa shule 16…

17 May 2024, 13:00

Wavuvi Kigoma wapewa maboya kujikoa wakiwa ziwani

Serikali imewataka wavuvi wanaofanya shughuli za uvuvi ndani ya Ziwa Tanganyika kuchukua tahadhari wakiwa ziwani ili kujinga na majanga ya kuzama majini wakiwa wanaendelea na shughuli za uvuvi. Na Orida Sayon – Kigoma Mc Jumla ya vifaa vya uokoaji maboya…

16 May 2024, 10:53

Makanika atoa msaada kwa waathirika wa mafuriko

Serikali imesema itaendelea kuwasaidia wananchi walipata madhara ya nyumba na mali zao kuharibika kufuatia mvua zilizonyesha na kuacha simanzi kwa wananchi katika vijji vya jimbo la kigoma kaskazini ikiwemo pamila, nyarubanda na mwamgongo. Na Tryphone Odace – Kigoma Dc Wananchi…

15 May 2024, 12:59

Watumishi wa serikali watakiwa kusimamia ukusanyaji mapato

Serikali wilayani kasulu mkoani kigoma imesema itandelea kushirikiana na viongozi wote ngazi za chini katika kusimamia ukusanyaji wa mapato ili yaweze kusaidia katika utelekezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo. Na Hagai Ruyagila – Michael Mpunije Mkuu wa wilaya ya Kasulu…

15 May 2024, 12:30

Viongozi watakiwa kutoa taarifa za miradi kwa wanahabari

Viongozi wa ngazi mbalimbali mkoani kigoma wametakiwa kuwa karibu na wanahabari ili kufahamu miradi mbalimbali inayotekelezwa kwenye maeneo yao. Na Lucas Hoha – Kigoma Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Kamishna Jenerali mstaafu wa jeshi la zimamoto na uokoaji Thobias Andengenye…

15 May 2024, 09:40

Migogoro ya kifamilia huathiri malezi na makuzi ya watoto

Serikali ya mkoa wa Kigoma imesema kuwa wazazi kwa kushirikiana na jamii hawana budi kukaa na kutatua migogoro ya familia ili iwe suluhisho la watoto kukua katika maadili na malezi bora. Na Josephine Kiravu – Kigoma Katibu tawala mkoani Kigoma…

13 May 2024, 15:41

UNHCR na tanzania zatoa msimamo kwa wakimbizi wa burundi.

Wakimbizi wa nchi ya burundi wanaohifadhiwa mkoani Kigoma, wametakiwa Kurejea Nchini Burundi mara moja ili kuungana na ndugu zao kujenga Taifa hilo,  kabla ya kufutiwa hadhi ya Ukimbizi  na kukosa misaada ya Kibinadamu ifikapo Mwezi Desember Mwaka huu. Na, Lucas…

10 May 2024, 16:00

DC Kasulu: Wakulima msiuze mazao kiholela

Katika kukabiliana na njaa pamoja na uhaba wa chakula serikali imewahimiza wakulima kuhakikisha hauwazi mazao kiholela. Na Hagai Ruyagila Wakulima wilayani Kasulu Mkoani Kigoma wametakiwa kuepuka kuuza mazao yao ili kukabiliana na changamoto ya upatikanaji wa chakula. Rai hiyo imetolewa…

10 May 2024, 15:16

Wakimbizi waaswa kuacha uharifu kambini nyarugusu

Serikali ya tanzania kwa kushirikiana na mashirika ya umoja wa mataifa yamekemea vikali vitendo vya baadhi ya wakimbizi wanaojihusisha uhalifu ndani na nje ya kambi hiyo kwani imekuwa ikihatarisha amani kwa wenyeji wa tanzania. Na Kadislaus Ezekiel – Kasulu Wakimbizi…

10 May 2024, 14:38

Madiwani watakiwa kusimamia miradi ya maendeleo

Miradi inakuwa kwenye maeneo yenu laikini hakuna hata anayejishughulisha kufuatilia kinachofanyika kwenye utekelezaji wa miradi na ndio maana tunakuwa miradi mingi ambayo haikidhi viwango. Na Hagai Ruyagila – Kasulu Mkuu wa wilaya ya Kasulu Kanal Isaac Mwakisu amewaagiza madiwani wa…

Radio JOY Profile

Radio JOY 90.5 FM Kigoma is the community radio station broadcasting in Kigoma, which JOY owns IN THE HARVEST organization. We started full Broadcasting in February 2016. Radio JOY FM provides information that caters to the interest of the Kigoma region, Radio Joy broadcasts content that is popular to a local audience community. Radio Joy Fm carries news and information programming geared toward the local area, particularly where other media cannot reach the area and minority groups that are poorly served by other major media outlets. Radio joy as a platform to enable participation of communities in developing activities like

building schools, hospitals and influencing behavior change. We produce programs like Good morning Kigoma, “Harakati za Vijana”, Mashua, “Dimba la Michezo”, East Africa Show, Lunch Time and so on, to keep the value, languages and cultures of Kigoma Society alive on a daily basis. Radio Joy Fm Kigoma work as a means to promote values of access to education, economic and social justice, against class, gender, race, and caste based violence, and transparency in governance.

Missions

  • To be a voice to the voiceless
  • To influence behavior change from bad character to good character
  • To inspire Kigoma society to participate in development activities.
  • To create an awareness of local interests, views and cultures
  • To be a bridge of communication between government and society.

Visions

  • To bring Kigoma society together
  • To facilitate the sharing of information in Kigoma society.
  • To become a local radio that connects all people from different cultures to share their ideas and lifestyles.
  • To implement sustainable radio programs that improve access to information, and opportunity, and participate in and contribute to all aspects of life.

The Owner – The organization owns Radio JOY FM, Kigoma, called Joy in the Harvest, which has been in Kigoma for more than twenty-five years; Radio Joy has a special emphasis on helping the poor, the disabled, and the disadvantaged through the program we produce. Not only that but also we are glad to be part of something big, through the programs Radio Joy producing is able to bring positive change to the Kigoma community.

Radio JOY Location – Radio JOY 90.5 Fm Kigoma, has studios located on Kibirizi Road, Kigoma Town. We are just very few kilometers from Kigoma Railway Station. Our broadcast tower is located on the highest point in the area.