Joy FM
Joy FM
28 June 2024, 16:43
Nyumba moja imeteketea kwa moto na vitu vyote vilivyokuwemo ndani katika mtaa wa Soko Jipya kata ya Murubona halmashauri ya mji Kasulu mkoani Kigoma huku chanzo cha moto kikitajwa na baadhi ya mashuhuda kuwa ni hitilafu ya umeme. Ripoti zaidi…
28 June 2024, 12:32
Jeshi la zimamoto na uokoaji wilayani kasulu mkoani kigoma limesema wafanyabiashara na jamii kwa ujumla hawana budi kutumia vifaa vya kuzima moto hasa kwenye nyumba zao ili kusaidia pale majanga yanapotokea. Na Michael Mpunije – Kasulu Wafanyabiashara wilayani Kasulu Mkoani…
27 June 2024, 09:25
Katika kukabiliana na tatizo la chakula kwa wanafunzi shuleni wilayanikasulu, shule za msingi na sekondari wametakiwa kuanzisha mashamba ili waweze kulima na kupata chakula cha kutosha. Na Michael Mpunije – Kasulu Shule za msingi na Sekondari katika halmashauri ya wilaya…
27 June 2024, 09:00
Halmashauri ya wilaya Kibondo imetakiwa kutatua mahitaji ya walimu na kuacha kutumia lugha zisizo rafiki kwa walimu wanapopeleka changamoto zao ili zitatuliwe. Na James Jovin – Kibondo Katika kurekebisha upatikanaji wa elimu bora hapa nchini walimu wilayani Kibondo wameaswa kuacha…
26 June 2024, 12:51
Barabara ya Kalinzi – Mkabogo katika halmashauri ya wilaya Kigoma imekuwa haipitiki kwa muda mrefu kutokana na mvua zilizonyesha na kusababisha mkandarasi kufanya ujenzi katika barabara hiyo inayotegemewa na wakati wa kata hiyo kwa shughuli za usafirishaji wa bidhaa Na…
25 June 2024, 11:54
Jamii na wadau wa maendeleo Mkoani Kigoma wameombwa kujitokeza na kuendelea kusaidia watoto yatima wanaolelewa na kituo cha matyazo kilichopo kata ya kalinzi halmashauri ya wilaya kigoma. Na Lucas Hoha – Kigoma Kanisa la The Free Pentekosite Church of Tanzania…
25 June 2024, 09:55
Jamii mkoani Kigoma imetakiwa kuendelea kushirikiana na wafanyabiashara kubaini na kutoa taarifa za watu wanaojihusisha na uingizaji wa bidhaa zisizokuwa na ubora kwa mamlaka husika ili waweze kuchukuliwa hatua za kisheria. Na Emmanuel Matinde -Kigoma Bidhaa mbalimbali zenye uzito wa…
24 June 2024, 15:35
Serikali kupitia Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, imeyaonya mashirika ya Umoja wa Mataifa ya kuhudumia wakimbizi na kuyataka kutojihusisha na upotoshaji wa kukwamisha zoezi la kuwarudisha wakimbizi wa nchi ya Burundi kwa kuhofia kukosa kazi zao baada ya…
24 June 2024, 14:56
Serikali wilayani kasulu imetakiwa kuhakikisha wakuu wa idara wanahudhuria mikutano yote na kuacha kutuma wawakilishi kwani wengi wao wamekuwa wakishindwa kujibu hoja ama maswali wanayoulizwa. Na Hagai Ruyagila – Kasulu Wakuu wa idara wa halmashauri ya Mji Kasulu wametakiwa kuacha…
21 June 2024, 12:33
Katika kukabiliana na migogoro ya ardhi ambayo imekuwa ikijitokeza maeneo mbalimbali nchini, Halmashauri ya wilaya Kasulu kupitia kwa maafisa ardhi kupima maeneo yote na kutoa hatimiliki. Na Michael Mpunije – Kasulu Mkurugenzi wa halmashauri ya wilaya ya Kasulu ametakiwa kuwaagiza…
Radio JOY 90.5 FM Kigoma is the community radio station broadcasting in Kigoma, which JOY owns IN THE HARVEST organization. We started full Broadcasting in February 2016. Radio JOY FM provides information that caters to the interest of the Kigoma region, Radio Joy broadcasts content that is popular to a local audience community. Radio Joy Fm carries news and information programming geared toward the local area, particularly where other media cannot reach the area and minority groups that are poorly served by other major media outlets. Radio joy as a platform to enable participation of communities in developing activities like
building schools, hospitals and influencing behavior change. We produce programs like Good morning Kigoma, “Harakati za Vijana”, Mashua, “Dimba la Michezo”, East Africa Show, Lunch Time and so on, to keep the value, languages and cultures of Kigoma Society alive on a daily basis. Radio Joy Fm Kigoma work as a means to promote values of access to education, economic and social justice, against class, gender, race, and caste based violence, and transparency in governance.
Missions
Visions
The Owner – The organization owns Radio JOY FM, Kigoma, called Joy in the Harvest, which has been in Kigoma for more than twenty-five years; Radio Joy has a special emphasis on helping the poor, the disabled, and the disadvantaged through the program we produce. Not only that but also we are glad to be part of something big, through the programs Radio Joy producing is able to bring positive change to the Kigoma community.
Radio JOY Location – Radio JOY 90.5 Fm Kigoma, has studios located on Kibirizi Road, Kigoma Town. We are just very few kilometers from Kigoma Railway Station. Our broadcast tower is located on the highest point in the area.