Joy FM

Recent posts

30 May 2024, 10:06

Mwalimu mbaroni kujihusisha kimapenzi na mwanafunzi wake

Serikali imesema itaendelea kuwachukulia hatua za kisheria walimu na watu wote ambao wamekuwa wakijihusisha kimapenzi na wanafunzi wao kwani wanasababisha kwanafunzi kushindwa kufikia malengo yao. Na Kadislaus Ezekiel – Kibondo Jeshi  la Polisi Wilayani Kibondo Mkoani Kigoma, limemkamata Mwalimu wa…

30 May 2024, 09:30

Wananchi acheni kusema maji ni ya Mungu, lipieni ankara za maji.

Mamlaka zinazosimamia huduma za maji zimetakiwa kuhakikisha zinasambaza huduma ya maji maeneo yote ambayo hawajafikia huduma ya maji. Na Lucas Hoha – Kigoma Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Kamishna Jenerali Mstaafu wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Thobias Andengenye umetoa…

29 May 2024, 12:05

Kasulu yasisitiza matumizi ya nishati safi ya kupikia

Jamii katika halmashauri ya mji wa kasulu mkoani kigoma imetakiwa kuzingatia matumizi ya nishati safi ya kupikia kama sehemu ya mpango mkakati wa kupambana na uharibifu wa mazingira. Na Hagai Ruyagila – Kasulu Halmashauri ya Mji Kasulu mkoani Kigoma imesema…

29 May 2024, 09:55

Serikali yapongezwa udhibiti, ramli chonganishi

Serikali wilayani kasulu imesema iitaendelea kuhakikisha ulinzi na usalama unaimarishwa kwa kuwachukulia hatua wale wote watakaoonyesha vitendo vya uvunjifu wa amani kwenye jamii ikiwemo ramli chonganishi. Na Michael Mpunije – Kasulu Madiwani katika halmashauri ya wilaya ya Kasulu Mkoani Kigoma…

28 May 2024, 14:43

DC Kigoma aagiza kero ya umeme kutatuliwa

Licha ya serikali ya kusema kuwa hali ya upatikanaji wa umeme nchini ni nzuri bado hali ya upatikanaji wa umeme mkoa wa kigoma umekuwa sio wa uhakika kutokana na kutolewa kwa mgao. Na Josephine Kiravu – Kigoma Mkuu wa wilaya…

28 May 2024, 13:07

Wananchi watakiwa kutunza mazingira Kigoma

Wananchi  mkoani  Kigoma wametakiwa kuendelea kutunza mazingira kwa kufanya usafi ikiwa ni pamoja na kupanda miti ili kurejesha ardhi kwenye uoto wake wa asili, kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi. Na Timotheo Leonard – Kigoma. Zaidi ya hekta laki nne…

28 May 2024, 11:29

“Wananchi acheni kuhujumu miundombinu ya umeme”

Serikali kupitia Shirika la Umeme Tanzania TANESCO mkoani Kigoma limewataka wananchi kutoa taarifa za watu wanaoharibu miundombinu ya umeme kwa kukata nyaya na kuchoma moto nguzo za umeme. Na Michael Mpunije – Kasulu Wananchi wilayani Kasulu Mkoani kigoma wametakiwa kuacha…

28 May 2024, 11:16

Wazee waomba serikali kuongeza pesa za TASAF

Licha ya serikali kuendelea kutoa pesa kupitia mpango wa kunusuru kaya masikini kwa kaya ambazo hazijiwezi, baadhi ya wanufaika wameomba serikali kuendelea kuongeza kiasi cha fedha ambazo zitasaidia walengwa kujikwamua zaidi. Na Kadislaus Ezekiel – Buhigwe Wazee katika halmashauri ya…

28 May 2024, 10:31

TASAF yageuka neema kwa kaya masikini

Serikali wilayani kibondo mkoani kigoma imesema mpango wa kunusuru kaya masikini umesaidia kaya nyingi kujinusuru na umasikini kupitia elimu ya namna ya kutumia fedha wanazopewa katika kuzalisha mali ikwemo ufugaji. Na James Jovin – Kibondo Baadhi ya kaya masikini katika…

27 May 2024, 14:36

DC Kigoma ahimiza waumini kujiandikisha daftari la mpiga kura

Wakati zoezi la uboreshaji wa daftari la kudumu la mpiga kura likitarajiwa kuzunduliwa julai mosi mwaka mkoani kigoma, viongozi wa dini na wadau mbalimbali wametakiwa kuhimizi waumini na jamii kwa ujumla kujitokeza kujiandikisha kwenye zoezi hilo la uboreshaji wa daftari…

Radio JOY Profile

Radio JOY 90.5 FM Kigoma is the community radio station broadcasting in Kigoma, which JOY owns IN THE HARVEST organization. We started full Broadcasting in February 2016. Radio JOY FM provides information that caters to the interest of the Kigoma region, Radio Joy broadcasts content that is popular to a local audience community. Radio Joy Fm carries news and information programming geared toward the local area, particularly where other media cannot reach the area and minority groups that are poorly served by other major media outlets. Radio joy as a platform to enable participation of communities in developing activities like

building schools, hospitals and influencing behavior change. We produce programs like Good morning Kigoma, “Harakati za Vijana”, Mashua, “Dimba la Michezo”, East Africa Show, Lunch Time and so on, to keep the value, languages and cultures of Kigoma Society alive on a daily basis. Radio Joy Fm Kigoma work as a means to promote values of access to education, economic and social justice, against class, gender, race, and caste based violence, and transparency in governance.

Missions

  • To be a voice to the voiceless
  • To influence behavior change from bad character to good character
  • To inspire Kigoma society to participate in development activities.
  • To create an awareness of local interests, views and cultures
  • To be a bridge of communication between government and society.

Visions

  • To bring Kigoma society together
  • To facilitate the sharing of information in Kigoma society.
  • To become a local radio that connects all people from different cultures to share their ideas and lifestyles.
  • To implement sustainable radio programs that improve access to information, and opportunity, and participate in and contribute to all aspects of life.

The Owner – The organization owns Radio JOY FM, Kigoma, called Joy in the Harvest, which has been in Kigoma for more than twenty-five years; Radio Joy has a special emphasis on helping the poor, the disabled, and the disadvantaged through the program we produce. Not only that but also we are glad to be part of something big, through the programs Radio Joy producing is able to bring positive change to the Kigoma community.

Radio JOY Location – Radio JOY 90.5 Fm Kigoma, has studios located on Kibirizi Road, Kigoma Town. We are just very few kilometers from Kigoma Railway Station. Our broadcast tower is located on the highest point in the area.