Joy FM
Joy FM
12 June 2024, 12:09
Katika kukabiliana na vitendo vya ukatilii na unyanyasaji kwa wanawake na watoto, wadau na serikali wametakiwa kuungana kwa pamoja kushughulikia ukitilii dhidi ya vitendo hivyo ambavyo vimekuwa vikiacha kovu na huzuni miongoni mwa wahanga wa matukio hayo. Na James Jovin…
12 June 2024, 09:21
Majeruhi wa ajali iliyotokea siku ya Jumapili wakati wafanyakazi wa kampuni ya Tropical Estate Grid Electricity Ltd, inayosambaza umeme wa REA vijijini Pamoja na vibarua wakitoka katika shughuli zao katika Kijiji cha Rubalesi wakielekea Kijiji cha Rukoma wameanza kuruhusiwa kurudi…
12 June 2024, 08:27
Jamii wilayani kasulu imetakiwa kushirikiana na serikali, wadau na wazazi kudhibiti watoto kutoenda sehemu za sterehe ikiwemo kwenye vibanda vya video ili kupunguza kufanyiwa ukatilii. Na Michael Mpunije – Kasulu Wazazi na walezi wilayani Kasulu mkoani Kigoma wametakiwa kudhibiti watoto…
11 June 2024, 16:45
Serikali kupitia viongozi wanaoteuliwa na kuaminiwa kushika nyadhifa mbalimbali kwa ajili ya kuwatumikia wananchi wametakiwa kusimama imara na kufikiria mara mbili kabla ya kuhukumu au kutamka kitu. Na Hagai Ruyagila – Kasulu Viongozi wenye mamlaka katika serikali na idara mbalimbali…
11 June 2024, 12:16
Wakulima wa zao la tumbuku nchini tanzania wameiomba serikali kusimamia suala la utoaji wa mbolea ili ziweze kutoka mapema ili waweze kuendana na msimu wa kulimo hicho ambacho kinaonekana uzalishaji wake kuongezeka. Na Emmanuel Matinde – Kigoma Imeelezwa kuwa licha…
11 June 2024, 08:56
Serikali imesema haitawavumilia wahandisi washauri wanaoshindwa kusimamia vyema miradi mbambali ya barabara inayotekelezwa maeneo mbalimbali nchini. Na Tryphone Odace Naibu Katibu Mkuu anayesimamia miundombinu OR-TAMISEMI Mhandisi Rogatus Mativila amewataka Wahandisi Washauri wanaosimamia miradi mbalimbali ya miundombinu ya barabara nchini kusimamia…
10 June 2024, 15:26
Vurugu vimetokea baina ya jeshi la polisi mkoani kigoma na wafugaji hali iliyosababisha mto mmoja kujeruhiwa kwa kupigwa risasi. Na Josephine Kiravu Jeshi la Polisi mkoani Kigoma limethibitisha kutokea kwa vurugu baina ya askari polisi na wafugaji huko katika kijiji…
10 June 2024, 10:48
Serikali wilayani Kasulu mkoani Kigoma inatarajia kugawa mbegu bora za kahawa kwa wakulima ili waweze kulima kilimo chenye tija ambacho kitakuwa na mazao ya kutosha na yenye ushindani kwenye soko la ndani na nje ya nchi. Na Michael Mpunije Wakulima…
7 June 2024, 12:02
Serikali wilayani Kasulu imesema itaendelea kuwachukulia hatua za kisheria watu wote wanaojihusisha na vitendo vya uvunjifu wa amani ikiwemo udokozi na wizi kwenye makazi yao ili kuhakikisha wananchi kufanya kazi kwa amani. Na Hagai Ruyagila – Kasulu Mkuu wa Wilaya…
7 June 2024, 11:48
Serikali ya Tanzania na Burundi zimeendelea kuhamasisha wakimbizi waishio kambi za nduta na nyarugusu mkoani kigoma kurejea kwao kwa hiari kwani tayari taifa la burundi kuna amani ya kutosha kwa sasa. Na, Josephine Kiravu Kufuatia kusuasua kurejea makwao wakimbizi wa…
Radio JOY 90.5 FM Kigoma is the community radio station broadcasting in Kigoma, which JOY owns IN THE HARVEST organization. We started full Broadcasting in February 2016. Radio JOY FM provides information that caters to the interest of the Kigoma region, Radio Joy broadcasts content that is popular to a local audience community. Radio Joy Fm carries news and information programming geared toward the local area, particularly where other media cannot reach the area and minority groups that are poorly served by other major media outlets. Radio joy as a platform to enable participation of communities in developing activities like
building schools, hospitals and influencing behavior change. We produce programs like Good morning Kigoma, “Harakati za Vijana”, Mashua, “Dimba la Michezo”, East Africa Show, Lunch Time and so on, to keep the value, languages and cultures of Kigoma Society alive on a daily basis. Radio Joy Fm Kigoma work as a means to promote values of access to education, economic and social justice, against class, gender, race, and caste based violence, and transparency in governance.
Missions
Visions
The Owner – The organization owns Radio JOY FM, Kigoma, called Joy in the Harvest, which has been in Kigoma for more than twenty-five years; Radio Joy has a special emphasis on helping the poor, the disabled, and the disadvantaged through the program we produce. Not only that but also we are glad to be part of something big, through the programs Radio Joy producing is able to bring positive change to the Kigoma community.
Radio JOY Location – Radio JOY 90.5 Fm Kigoma, has studios located on Kibirizi Road, Kigoma Town. We are just very few kilometers from Kigoma Railway Station. Our broadcast tower is located on the highest point in the area.