Joy FM
Joy FM
5 September 2024, 16:23
Wananchi wa kijiji cha chekenya wilayani mkoani kigoma huenda wakawa wanapitia shuruba za kukosa huduma za afya baada ya zahanati iliyopo kijijini humo kusajiliwa kuwa inatoa huduma huku ikiwa haijakamilika na seriakli ikiitengea bajeti kuwa miongoni mwa zahanati zinazotoa huduma…
4 September 2024, 13:10
Jamii imeshauriwa kutumia vyakula vya asili kuliko matumiz ya vyakula vyenye kemikali vivyozaliwa viwandani. Na Hagai Ruyagila- Kasulu Wazazi na walezi wilayani Kasulu mkoani Kigoma wameshauriwa kutumia vyakula vya asili ili kuwapatia watoto wao kwa ajili ya kuimalisha kinga zao…
3 September 2024, 15:05
Baraza la wazee katika halmashauri ya mji wa Kasulu mkoani Kigoma wameomba kutungwa kwa sheria kutokana na sera ya taifa ya wazee ambayo itawasaidia kusikiliza na kutatua changamoto zinazowakabili. Hayo yamejiri katika kikao cha mabaraza ya wazee kutoka kata mbalimbali…
3 September 2024, 14:50
Kijii cha Nyakiyobe kilichopo kata ya Gwarama wilayani Kakonko mkoani Kigoma kimefanikiwa kujenga ofisi ikiwa ni miaka kumi tangu kuanzishwa kwake, hali hiyo itarahisisha shughuli mbalimbali na kujiletea maendeleo na taifa kwa ujumla.
3 September 2024, 14:40
Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Manispaa ya Kigoma Ujiji (KUWASA) imeendelea kupiga hatua muhimu katika kupambana na wizi wa maji.
3 September 2024, 14:10
Wananchi waliopisha ujenzi wa barabara kutoka Kibondo hadi Mabamba wanatarajia kupokea fidia zao kutoka serikalini. Na Tryphone Odace Jumla ya shilingi bilioni 1.29 zitatumika kuwalipa fidia wakazi 724 wakiwamo wa Muhambwe mkoani Kigoma wanaotakiwa kupisha ujenzi wa barabara kutoka Kibondo…
2 September 2024, 17:15
Wakati Serikali na wadau mbali mbali wa haki za binadamu wakiendelea kupinga vitendo vya ukatili wa vipigo kwa watoto shuleni bado ukatili wa aina hiyo unaendelea kujitokeza siku hadi siku. Kutoka wilayani kasulu Emmanuel Kamangu na ripoti zaidi.
2 September 2024, 13:00
Askofu mkuu wa Kanisa la Evangelical Methodist Church Tanzania (EMCT) lililopo kata ya Murusi wilayani Kasulu mkoani Kigoma Ngeze Mzimya ameitaka jamii kuwalea watoto wao katika maadili mema ili kujenga taifa lenye ustawi bora kwa vizazi vijavyo na kiuchumi kwa ujumla. Askofu Ngeze…
30 August 2024, 13:20
Wanawake wanaochakata mazao ya uvuvi katika Ziwa Tanganyika wilayani Uvinza mkoani Kigoma, wamelalamika kushamiri vitendo vya rushwa ya ngono vinavyofanywa na baadhi ya wavuvi kama njia ya kuwapatia mazao ya uvuvi ambapo wameomba kuwezeshwa mikopo ya uhakika, kuepusha athari ikiwemo…
30 August 2024, 10:57
Zaidi ya wanafuzi 2000 katika shule za msingi Halmashauri ya Mji Kasulu mkoani Kigoma wameshindwa kuhitimu elimu ya msingi mwaka 2023 kufuatia changamoto mbalimbali ikiwemo utoro. Hayo yamebainishwa na Mdhibiti mkuu ubora wa shule halmashauri ya Mji Kasulu Mwl, Sadock…
Radio JOY 90.5 FM Kigoma is the community radio station broadcasting in Kigoma, which JOY owns IN THE HARVEST organization. We started full Broadcasting in February 2016. Radio JOY FM provides information that caters to the interest of the Kigoma region, Radio Joy broadcasts content that is popular to a local audience community. Radio Joy Fm carries news and information programming geared toward the local area, particularly where other media cannot reach the area and minority groups that are poorly served by other major media outlets. Radio joy as a platform to enable participation of communities in developing activities like
building schools, hospitals and influencing behavior change. We produce programs like Good morning Kigoma, “Harakati za Vijana”, Mashua, “Dimba la Michezo”, East Africa Show, Lunch Time and so on, to keep the value, languages and cultures of Kigoma Society alive on a daily basis. Radio Joy Fm Kigoma work as a means to promote values of access to education, economic and social justice, against class, gender, race, and caste based violence, and transparency in governance.
Missions
Visions
The Owner – The organization owns Radio JOY FM, Kigoma, called Joy in the Harvest, which has been in Kigoma for more than twenty-five years; Radio Joy has a special emphasis on helping the poor, the disabled, and the disadvantaged through the program we produce. Not only that but also we are glad to be part of something big, through the programs Radio Joy producing is able to bring positive change to the Kigoma community.
Radio JOY Location – Radio JOY 90.5 Fm Kigoma, has studios located on Kibirizi Road, Kigoma Town. We are just very few kilometers from Kigoma Railway Station. Our broadcast tower is located on the highest point in the area.