Joy FM

Recent posts

26 June 2024, 12:51

Mkandarasi apewa siku 3 kukamilisha barabara

Barabara ya Kalinzi – Mkabogo katika halmashauri ya wilaya Kigoma imekuwa haipitiki kwa muda mrefu kutokana na mvua zilizonyesha na kusababisha mkandarasi kufanya ujenzi katika barabara hiyo inayotegemewa na wakati wa kata hiyo kwa shughuli za usafirishaji wa bidhaa Na…

25 June 2024, 11:54

FPCT Kigoma yatoa msaada kwa watoto yatima

Jamii na wadau wa maendeleo Mkoani Kigoma wameombwa kujitokeza na kuendelea kusaidia watoto yatima wanaolelewa na kituo cha matyazo kilichopo kata ya kalinzi halmashauri ya wilaya kigoma. Na Lucas Hoha – Kigoma Kanisa la The Free  Pentekosite Church of Tanzania…

25 June 2024, 09:55

Tani 3.6 za bidhaa bandia zateketezwa na TBS Kigoma

Jamii mkoani Kigoma imetakiwa kuendelea kushirikiana na wafanyabiashara kubaini na kutoa taarifa za watu wanaojihusisha na uingizaji wa bidhaa zisizokuwa na ubora kwa mamlaka husika ili waweze kuchukuliwa hatua za kisheria. Na Emmanuel Matinde -Kigoma Bidhaa mbalimbali zenye uzito wa…

24 June 2024, 15:35

Serikali yaonya upotoshaji zoezi la wakimbizi kurejea Burundi

Serikali kupitia Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, imeyaonya mashirika ya Umoja wa Mataifa ya kuhudumia wakimbizi na kuyataka kutojihusisha na upotoshaji wa kukwamisha zoezi la kuwarudisha wakimbizi wa nchi ya Burundi kwa kuhofia kukosa kazi zao baada ya…

24 June 2024, 14:56

Wakuu wa idara acheni kutuma wawakilishi

Serikali wilayani kasulu imetakiwa kuhakikisha wakuu wa idara wanahudhuria mikutano yote na kuacha kutuma wawakilishi kwani wengi wao wamekuwa wakishindwa kujibu hoja ama maswali wanayoulizwa. Na Hagai Ruyagila – Kasulu Wakuu wa idara wa halmashauri ya Mji Kasulu wametakiwa kuacha…

21 June 2024, 12:33

Maafisa ardhi Kigoma watakiwa kupima maeneo, kutoa hatimiliki

Katika kukabiliana na migogoro ya ardhi ambayo imekuwa ikijitokeza maeneo mbalimbali nchini, Halmashauri ya wilaya Kasulu kupitia kwa maafisa ardhi kupima maeneo yote na kutoa hatimiliki. Na Michael Mpunije – Kasulu Mkurugenzi wa halmashauri ya wilaya ya Kasulu ametakiwa kuwaagiza…

20 June 2024, 13:45

RC Kigoma atoa mwezi mmoja Kasulu kujibu hoja za CAG

Halmashauri ya wilaya kasulu imetakiwa kupitia na kujibu hoja zote zilizoibuliwa na mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali CAG ili kuondoa dosari za mahesabu. Na Hagai Ruyagila – Kasulu Mkuu wa mkoa wa Kigoma Kamishna jenearali mstaafu wa jeshi la…

20 June 2024, 13:25

Jamii yatakiwa kupiga vita ukatilii kwa watoto

Jamii na wadau wa maendeleo wilayani kasulu mkoani kigoma imetakiwa kushirikiana kutoa elimu ya kupinga vitendo vya ukatilii kwa watoto. Na Emmanuel Kamangu – Kasulu Halmashauri ya Mji wa kasulu kwa kushirikiana na mashirika yasiyo ya kiserikali wameadhimisha sikukuu ya…

19 June 2024, 16:12

Watanzania watakiwa kuboresha taarifa zao, daftari la kudumu

Tume huru ya Taifa ya uchaguzi, imewataka Watanzania kujitokeza kwa wingi kuboresha taarifa zao katika daftari la kudumu la wapiga kura ili kurahisisha upatikanaji wa wapiga kura wengi wenye sifa na kurahisisha  upatikanaji wa Viongozi ikiwemo Madiwani, Wabunge na Rais…

19 June 2024, 12:18

Jamii yatakiwa kuwathamini watoto Kasulu

Kutokana na vitendo vya ukatilii vinavyoendelea kushamili kwa watoto kwenye wadau wametakiwa kuunga mkonojuhudi za kuwalinda watoto. Na Michael Mpunije – Kasulu Jamii wilayani kasulu Mkoani Kigoma imetakiwa kuwathamini watoto kwa kuwapatia mahitaji yao ya msingi ikiwemo huduma za afya…

Radio JOY Profile

Radio JOY 90.5 FM Kigoma is the community radio station broadcasting in Kigoma, which JOY owns IN THE HARVEST organization. We started full Broadcasting in February 2016. Radio JOY FM provides information that caters to the interest of the Kigoma region, Radio Joy broadcasts content that is popular to a local audience community. Radio Joy Fm carries news and information programming geared toward the local area, particularly where other media cannot reach the area and minority groups that are poorly served by other major media outlets. Radio joy as a platform to enable participation of communities in developing activities like

building schools, hospitals and influencing behavior change. We produce programs like Good morning Kigoma, “Harakati za Vijana”, Mashua, “Dimba la Michezo”, East Africa Show, Lunch Time and so on, to keep the value, languages and cultures of Kigoma Society alive on a daily basis. Radio Joy Fm Kigoma work as a means to promote values of access to education, economic and social justice, against class, gender, race, and caste based violence, and transparency in governance.

Missions

  • To be a voice to the voiceless
  • To influence behavior change from bad character to good character
  • To inspire Kigoma society to participate in development activities.
  • To create an awareness of local interests, views and cultures
  • To be a bridge of communication between government and society.

Visions

  • To bring Kigoma society together
  • To facilitate the sharing of information in Kigoma society.
  • To become a local radio that connects all people from different cultures to share their ideas and lifestyles.
  • To implement sustainable radio programs that improve access to information, and opportunity, and participate in and contribute to all aspects of life.

The Owner – The organization owns Radio JOY FM, Kigoma, called Joy in the Harvest, which has been in Kigoma for more than twenty-five years; Radio Joy has a special emphasis on helping the poor, the disabled, and the disadvantaged through the program we produce. Not only that but also we are glad to be part of something big, through the programs Radio Joy producing is able to bring positive change to the Kigoma community.

Radio JOY Location – Radio JOY 90.5 Fm Kigoma, has studios located on Kibirizi Road, Kigoma Town. We are just very few kilometers from Kigoma Railway Station. Our broadcast tower is located on the highest point in the area.