Joy FM
Joy FM
31 July 2024, 12:41
Serikali kupitia kwa wakala wa maji na usafi wa mazingira vijijini RUWASA, wilayani Buhigwe mkoani Kigoma imesema wananchi wamekuwa wakishindwa kutunza na kushiriki kikamilifu kwenye utekelezaji wa miradi ya maendeleo kutokana na shinikizo la itikadi za vyama vya siasa. Na…
30 July 2024, 11:42
Serikali wilayani Buhigwe mkoani kigoma imesema itaendelea kutoa elimu ya utunzaji wa mazingira yanayozunguka vya maji ili kusaidia kuhifadhi vyanzo vya manufaa ya jamii nzima. Na Michael Mpunije – Buhigwe Wananchi wilayani Buhigwe Mkoani Kigoma wametakiwa kutunza vyanzo vya maji…
30 July 2024, 11:25
Zaidi ya kaya elfu 2345 hazina vyoo katika Halmashauri wilaya ya Kibondo mkoani Kigoma huku Zaidi ya kaya elfu 4567 zikiwa na vyoo visivyokidhi mahitaji hali ambayo inatishia mlipuko wa magonjwa mbali mbali katika jamii Katika kuangazia tatizo hilo mwandishi…
26 July 2024, 13:16
Wananchi wa kijiji cha Lyabusenda kata ya Sunuka wilayani Uvinza ambao ni miongoni mwa wanaopitia kipindi kigumu baada ya shughuli za uvuvi kusitishwa ziwa Tanganyika na kusababisha kipato kuyumba wameomba wadau wa maendeleo kuwasaidia kuwapa misaada ili kujikimu kimaisha. Na…
26 July 2024, 10:02
Serikali katika halmashauri ya mji wa kasulu mkoani kigoma imesema inaendelea kuweka mikakati ya kuhakikisha wanadhibiti uchafuzi wa mazingira kwa kuwachukulia hatua za kisheria wanaochafua mazingira. Na Hagai Ruyagila – Kasulu Wadau wa maendeleo katika halmashauri ya Mji wa Kasulu…
22 July 2024, 15:27
Na, Emmanuel Michael Waziri wa Kilimo Hussein Bashe amewataka wananchi katika kata ya Kagera Manispaa ya Kigoma Ujiji mkoani Kigoma kutouza ardhi yao ya kilimo katika Bonde la Mto Luiche ambalo limekuwa kitovu cha uchumi wao baada ya serikali kukabidhi…
19 July 2024, 13:40
Mamlaka ya maji safi na usafii wa mazingira manispaa ya kigoma ujiji, imetakiwa kuhakikisha inajenga kituo kipya cha kusambaza maji kwa wananchi wa kata ya mji mdogo wa mwandiga katika halmashauri ya wilaya kigoma ili kuwasaidia wananchi kuepukana na matumizi…
19 July 2024, 11:36
Serikali imesema uwepo wa Mashirika yasiyo ya kiserikali ndani ya wilaya ya Kasulu Mkoani Kigoma imekuwa na mchango mkubwa katika kuchochea suala la maendeleo. Hayo yameelezwa na Bi. Theresia Mtewele katibu tawala wa wilaya ya Kasulu wakati akizungumza na wawakilishi…
19 July 2024, 08:53
Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira manispaa ya Kigoma Ujiji (KUWASA) imesema imeendelea kuboresha miundombinu ya usambazaji wa maji kwenye makazi ya watu ili kuhakikisha wananchi wanapata maji ya kutosha. Na Emmanuel Matinde – Kigoma Kamati ya Siasa…
18 July 2024, 11:50
Waumini wa dini ya kikristo mkoani Kigoma wametakiwa kufanya kazi kwa bidii ili kupata mafanikio ambayo yatawasaidia katika maisha yao kuliko kutegemea miujiza. Hayo yameelezwa na Askofu wa kanisa la Anglikana dayosisi ya western Tanganyika Mhasham Emmanuel Bwatta wakati akizungumza…
Radio JOY 90.5 FM Kigoma is the community radio station broadcasting in Kigoma, which JOY owns IN THE HARVEST organization. We started full Broadcasting in February 2016. Radio JOY FM provides information that caters to the interest of the Kigoma region, Radio Joy broadcasts content that is popular to a local audience community. Radio Joy Fm carries news and information programming geared toward the local area, particularly where other media cannot reach the area and minority groups that are poorly served by other major media outlets. Radio joy as a platform to enable participation of communities in developing activities like
building schools, hospitals and influencing behavior change. We produce programs like Good morning Kigoma, “Harakati za Vijana”, Mashua, “Dimba la Michezo”, East Africa Show, Lunch Time and so on, to keep the value, languages and cultures of Kigoma Society alive on a daily basis. Radio Joy Fm Kigoma work as a means to promote values of access to education, economic and social justice, against class, gender, race, and caste based violence, and transparency in governance.
Missions
Visions
The Owner – The organization owns Radio JOY FM, Kigoma, called Joy in the Harvest, which has been in Kigoma for more than twenty-five years; Radio Joy has a special emphasis on helping the poor, the disabled, and the disadvantaged through the program we produce. Not only that but also we are glad to be part of something big, through the programs Radio Joy producing is able to bring positive change to the Kigoma community.
Radio JOY Location – Radio JOY 90.5 Fm Kigoma, has studios located on Kibirizi Road, Kigoma Town. We are just very few kilometers from Kigoma Railway Station. Our broadcast tower is located on the highest point in the area.