Joy FM
Joy FM
9 July 2024, 13:17
Wazazi na Walezi wilayani Kasulu Mkoani Kigoma imeaswa kuwalea watoto wao katika maadili mema ili kuwa viongozi bora wa baadae. Mhashamu baba askofu wa Kanisa la Anglikana Tanzania dayosisi ya western Tanganyika mkoani Kigoma Emmanuel Bwatta ametoa rai hiyo katika…
9 July 2024, 11:34
Wakuu wa wilaya mkoani kigoma wametakiwa kuwatembelea na kusikiliza kero za wananchi na kuzitatua ili kuhakikisha wananchi wanapat huduma kwa wakati. Na Josephine Kiravu – Kigoma Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mh Dr Philip Isdor Mpango…
9 July 2024, 10:58
Waalimu wa shule za msingi na sekondari katika Halmashauri ya Mji Kasulu Mkoani Kigoma wametakiwa kuongeza bidii na maarifa katika ufundishaji ili kuongeza ufaulu kwa wanafunzi. Wito huo umetolewa na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Kasulu Mwl. Vumilia Simbeye katika…
9 July 2024, 09:26
Mkoa wa kigoma bado unakabiliwa na changamoto ya upatikanaji wa umeme wa uhakika jambo ambalo limekuwa vigumu hata kwa wawekezaji wakubwa kuvutiwa kuja kuwekeza kwenye mkuu huu hali ambayo serikali imeamua kutatua changamoto hiyo kwa kuunganisha mkoa huu na gridi…
9 July 2024, 09:04
Serikali imesema inaendelea na utekelezaji wa miradi mbalimbali nchini ikiwemo barabara na umeme ili kuhakikisha mkoa wa kigoma unafunguka na kuwa kitovu cha biashara kutokana na kupakana na nchi za Congo na Burundi. Na Josephine Kiravu Makamu wa Rais wa…
4 July 2024, 13:05
Wanawake wa kijiji cha kalalangabo wamesema kukoekana kwa huduma ya maji umesababisha wanaume zao kuwakimbia kwa kile wanadai kuwa wanatoa harufu na kuamua kwenda nje ya ndoa. Na Emmanuel Matinde – Kigoma Wakazi wa Kijiji cha Kalalangabo Kata ya Ziwani…
4 July 2024, 12:02
Wazazi na walezi wilayani kibondo Mkoani Kigoma wametakiwa wameomba serikali kupunguza baadhi ya michango midogo midogo ambayo hutozwa shuleni kutokana na hali kuwa ngumu ya maisha. Na James Jovin – Kibondo Wakati shule tayari zimefunguliwa kwa muhula wa pili kwa…
4 July 2024, 10:12
Wakati mashirika yasiyokuwa ya serikali yakiendelea kuunga mkono juhudi za serikali katika kuleta maendeleo kwa wananchi kwa kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo yametakiwa kutokubali kutumia vibaya kwa lengo la kuchafua taswira ya nchi na kuharibu maadili. Na Josephine Kiravu –…
4 July 2024, 09:55
Jeshi la Polisi Mkoani Kigoma kigoma limesema litaendelea kuwachukulia hatua watu wanaojihusisha na uhabifu wa nyara za serikali ili kuwa fundisho kwa watu wote wanaojihusisha na vitendo hivyo. Na Kadislaus Ezekiel – Kigoma Jeshi la Polisi Mkoani Kigoma, limethibitisha kumkamata…
3 July 2024, 14:21
Serikali ya mkoa wa Kigoma imesema dhamira ya serikali kuu ni kuona Kigoma inakuwa na umeme wa uhakika ili kuendelea kuvutia wawekezaji wa ndani na nje ya nchi. Na Sadiki Kibwana – Kigoma Jumla ya shilingi bilioni 434 zilizotolewa na…
Radio JOY 90.5 FM Kigoma is the community radio station broadcasting in Kigoma, which JOY owns IN THE HARVEST organization. We started full Broadcasting in February 2016. Radio JOY FM provides information that caters to the interest of the Kigoma region, Radio Joy broadcasts content that is popular to a local audience community. Radio Joy Fm carries news and information programming geared toward the local area, particularly where other media cannot reach the area and minority groups that are poorly served by other major media outlets. Radio joy as a platform to enable participation of communities in developing activities like
building schools, hospitals and influencing behavior change. We produce programs like Good morning Kigoma, “Harakati za Vijana”, Mashua, “Dimba la Michezo”, East Africa Show, Lunch Time and so on, to keep the value, languages and cultures of Kigoma Society alive on a daily basis. Radio Joy Fm Kigoma work as a means to promote values of access to education, economic and social justice, against class, gender, race, and caste based violence, and transparency in governance.
Missions
Visions
The Owner – The organization owns Radio JOY FM, Kigoma, called Joy in the Harvest, which has been in Kigoma for more than twenty-five years; Radio Joy has a special emphasis on helping the poor, the disabled, and the disadvantaged through the program we produce. Not only that but also we are glad to be part of something big, through the programs Radio Joy producing is able to bring positive change to the Kigoma community.
Radio JOY Location – Radio JOY 90.5 Fm Kigoma, has studios located on Kibirizi Road, Kigoma Town. We are just very few kilometers from Kigoma Railway Station. Our broadcast tower is located on the highest point in the area.