Joy FM

Recent posts

30 September 2024, 13:04

Wananchi watakiwa kujiandikisha kupiga kura Kibondo

Mkurugenzi wa halmashauri ya wilaya kibondo mkoani kigoma amewataka wananchi wilayani humo kuhakikisha wanajitokeza na kujiandikisha ili waweze kushiriki kwenye zoezi la upigaji kura. Na James Jovin – Kibondo Wananchi wilayani Kibondo mkoani Kigoma wametakiwa kujitokeza kwa wingi na kujiandikisha…

30 September 2024, 12:46

Wananchi wenye sifa watakiwa kugombea nafasi za uongozi Kasulu

Msimamizi wa uchaguzi halmashauri ya Mji Kasulu ambaye pia ni Mkurugenzi wa halmashauri hiyo Mwl. Vumilia Simbeye amewataka wananchi kujitokeza na kuchukua fomu kwa ajili ya kugombea nafasi mbalimbali za uongozi katika uchaguzi wa serikali za mitaa unaotarajiwa kufanyika Novemba…

26 September 2024, 12:35

Shule ya Ndalichako yakabiliwa na upungufu wa madawati

Serikali imesema itandelea kushirikiana na wadau katika kuboresha miundombinu ya shule ili kuhakikisha wanafunzi wanasoma katika mazingira rafiki. Na Hagai Ruyagila Shule ya msingi Ndalichako iliyopo Halmashauri ya Mji Kasulu mkoani Kigoma inakabiliwa na changamoto mbalimbali ikiwemo upungufu wa madawati,…

26 September 2024, 09:54

Mbunge agawa majiko 200 ya gesi kwa wajasiriamali Kibondo

Serikali imesema itaendelea kuhamasisha wananchi kujua umuhimu wa matumizi ya nishati safi ya kupikia ili kuhakikisha utunzaji wa mazingira nchini unaendelea kwa kugawa mitungi ya gesi katika makundi mbalimbali ya wajasiriamali na mama ntilie na baba ntilie. Na James Jovin…

26 September 2024, 08:35

Mabalozi EU wahimiza wakimbizi Nyarugusu kupata haki zao

Serikali ya Tanzania kwa kushirikiana na mashirika ya umoja wa mataifa wameendelea kuhamasisha wakimbizi waliopo kwenye kambi za Nyarugusu na Nduta mkoani Kigoma ili waweze kurejea kwa hiari katika nchi yao ya asili ambayo ni Burundi. Na Michael Mpunije –…

25 September 2024, 14:03

Auwawa na watu wasiojulikana, mwili watupwa korongoni

Wananchi wa mtaa wa Gezaulole Manispaa ya Kigoma Ujiji wameliomba jeshi la polisi kuendelea kufanya doria na kuwadhibiti watu wanaojihusisha na uhalifu kwenye jamii hasa wizi na ukabaji. Na Josephine Kiravu Mtu mmoja aliyefahamika kwa jina maarufu Maneno Bufa mkazi…

24 September 2024, 12:27

Namna ongezeko la watu linavyoathri  uchumi wa kaya

Serikali imesema halmashauri nchini hazina budi kutumia matokeo ya sensa ya mwaka 2022 kwa ajili ya kupanga maendeleo ya watu, familia na taifa kwa ujumla. Na Michael Mpunije – Kasulu Inaelezwa kuwepo kwa idadi kubwa ya watu kwenye kaya hupelekea…

23 September 2024, 15:58

Miradi ya bilioni 4 yakaguliwa na kuzinduliwa Kibondo

Mwenge wa uhuru kitaifa kwa mwaka 2024 umekimbizwa wilayani Kibondo mkoani Kigoma na kuzindua miradi mbalimbali ya maendeleo wilayani humo. Na James Jovin – Kibondo Jumla ya miradi sita yenye thamani ya zaidi ya shilingi bilioni 4 imekaguliwa, kuwekewa mawe…

23 September 2024, 13:26

Wakristo watakiwa kuliombea taifa amani Kasulu

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Mji wa Kasulu amewataka wakristo kuendelea kuliombea taifa na mshikamano hasa katika kipindi hiki ambacho taifa linaelekea kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa unaotarajiwa kufanyika Novemba 27 mwaka huu. Na Emmanuel Kamangu – Kasulu…

20 September 2024, 09:31

Naibu Waziri Mkuu awawashia moto wakandarasi umeme Kigoma

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Mheshimiwa Dkt. Dotto Biteko, ameagiza wakandarasi wa ujenzi wa miradi ya kimkakati ya umeme mkoani Kigoma, kuongeza kasi ya utekelezaji ili miradi hiyo ikamilike kwa wakati na kusaidia katika kukuza uchumi wa watanzania…

Radio JOY Profile

Radio JOY 90.5 FM Kigoma is the community radio station broadcasting in Kigoma, which JOY owns IN THE HARVEST organization. We started full Broadcasting in February 2016. Radio JOY FM provides information that caters to the interest of the Kigoma region, Radio Joy broadcasts content that is popular to a local audience community. Radio Joy Fm carries news and information programming geared toward the local area, particularly where other media cannot reach the area and minority groups that are poorly served by other major media outlets. Radio joy as a platform to enable participation of communities in developing activities like

building schools, hospitals and influencing behavior change. We produce programs like Good morning Kigoma, “Harakati za Vijana”, Mashua, “Dimba la Michezo”, East Africa Show, Lunch Time and so on, to keep the value, languages and cultures of Kigoma Society alive on a daily basis. Radio Joy Fm Kigoma work as a means to promote values of access to education, economic and social justice, against class, gender, race, and caste based violence, and transparency in governance.

Missions

  • To be a voice to the voiceless
  • To influence behavior change from bad character to good character
  • To inspire Kigoma society to participate in development activities.
  • To create an awareness of local interests, views and cultures
  • To be a bridge of communication between government and society.

Visions

  • To bring Kigoma society together
  • To facilitate the sharing of information in Kigoma society.
  • To become a local radio that connects all people from different cultures to share their ideas and lifestyles.
  • To implement sustainable radio programs that improve access to information, and opportunity, and participate in and contribute to all aspects of life.

The Owner – The organization owns Radio JOY FM, Kigoma, called Joy in the Harvest, which has been in Kigoma for more than twenty-five years; Radio Joy has a special emphasis on helping the poor, the disabled, and the disadvantaged through the program we produce. Not only that but also we are glad to be part of something big, through the programs Radio Joy producing is able to bring positive change to the Kigoma community.

Radio JOY Location – Radio JOY 90.5 Fm Kigoma, has studios located on Kibirizi Road, Kigoma Town. We are just very few kilometers from Kigoma Railway Station. Our broadcast tower is located on the highest point in the area.