Joy FM

Recent posts

18 July 2024, 08:17

Mwenyekiti atuhumiwa kuiba na vifaa vya ujenzi

Mkuu wa wilaya Buhogwe Michael Ngayalina amemwagiza afisa utumishi kumtafuta mwenyekiti wa kijiji cha songambele ili aweze kujibu tuhuma zinazomkabili ikiwemo wizi wa vifaa vya ujenzi wa shule hali iliyosababisha ujenzi kusimama. Na Michael Ngayalina – Buhigwe Wananchi wa kijiji…

17 July 2024, 16:12

Wakulima watakiwa kupima afya ya udongo kigoma

Serikali imesema itaendelea kutoa elimu kwa wakulima ili waweze kutambua namna ya kupima afya ya udongo ili waweze kulima kilimo chenye tija na ushindani kwenye sokola ndani na nje ya nchi. Na Michael Mpunije – Kasulu Wakulima wa mazao mbalimbali…

17 July 2024, 13:17

NGO’s zatakiwa kuweka uwazi kwenye miradi

Serikali imesema itaendelea kuweka mazingira wezeshi kwa mashirika yasiyo ya kiserikali ili yaweze kufanya kazi katika mazingira bora. Na Hagai Ruyagila – Kasulu Mashirika yasiyo ya kiserikali yametakiwa kuongeza uwazi katika utendaji wao wa kazi ili serikali ijuwe namna wanavyotekeleza…

16 July 2024, 16:13

Wananchi mtumie fursa zilizopo kujikwamua kiuchumi

Inaelezwa kuwa uwepo wa fursa mbalimbali za kiuchumi katika halmashauri ya mji wa kasulu mkoani kigpma wananchi wameshauriwa kutumia fursa hizo kwa ajili kujiongezea kipato na kuinua uchumi wao na uchumi wa taifa kwa ujumla. Na Hagai Ruyagila – Kasulu…

16 July 2024, 11:30

Bilioni 2 zaboresha miundombinu ya elimu

Mbunge wa Jimbo la Kasulu mjini Profesa Joyce Ndalichako amesema kuwa serikali imeendelea kutenga pesa kwa ajili ya uboreshaji wa miundombinu ya shule ili kuchochea kiwango cha ufaulu kwa wananchi kwa kuwa na mazingira bora na rafiki kwa kujifunza. Na…

16 July 2024, 11:13

Minara 758 kufikisha mawasiliano nchi nzima

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imesema imedhamiria kujenga minara ya mawasiliano ili kuhakikisha maeneo mbalimbali nchini yanakuwa na mawasiliano ya uhakika na kuchochea maendeleo Kwa wananchi. Na Tryphone Odace – Kibondo Waziri wa habari na  mawasiliano Nchini Tanzania…

12 July 2024, 13:18

Waumini wa kikristo kugombea nafasi za uongozi Kigoma

Askofu wa Kanisa la Anglikana Dayosisi ya Western Tanganyika mhasham Emmanuel Charles Bwatta amewashauri waumini wa dini ya Kikristo mkoani Kigoma kujitokeza kugombea nafasi mbalimbali katika chaguzi za serikali za mitaa mwaka huu. Askofu Bwatta amesema hayo wakati akizungumza katika…

11 July 2024, 12:54

Hii hapa ahadi ya Bashungwa kwa makamu wa rais Dr Mpango

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh Dr Philip Isdor Mpango amemtaka waziri wa Ujenzi Innocent Bashungwa kuhakikisha upanuzi wa uwanja wa ndege unakamilika haraka ifikapo 2025. Na Josephine KiravuMakamu wa Rais amesema hayo wakati akifanya ukaguzi…

10 July 2024, 16:00

Dkt. Mpango amkalia kooni mkandarasi anayejenga barabara ya Buhigwe -Kasulu

Wizara ya ujenzi kupitia kwa waziri wake Innocent Bashungwa ametakiwa kuhakikisha kumsimamia mkandarasi anajenga barabara ya Buhigwe hdi Kasulu ili iweze kukamilika kwa wakati. Na Josephine Kiravu – Buhigwe Makamu wa Rais wa Tanzania Dkt. Philip Mpango  amemtaka Mkandarasi anayejenga…

9 July 2024, 14:26

Walimu watakiwa kufundisha kwa bidii ili kuinua ufaulu

Serikali imesema itaendelea kutatua na kushughulikia changamoto za walimu ili waweze kufanya kazi bila vikwazo vinavyowakabili. Na Hagai Ruyagila – Kasulu Waalimu wa Kata ya Murusi Halmashauri ya Mji Kasulu Mkoani Kigoma wametakiwa kusimamia nidhamu bora kwa wanafunzi wao ili…

Radio JOY Profile

Radio JOY 90.5 FM Kigoma is the community radio station broadcasting in Kigoma, which JOY owns IN THE HARVEST organization. We started full Broadcasting in February 2016. Radio JOY FM provides information that caters to the interest of the Kigoma region, Radio Joy broadcasts content that is popular to a local audience community. Radio Joy Fm carries news and information programming geared toward the local area, particularly where other media cannot reach the area and minority groups that are poorly served by other major media outlets. Radio joy as a platform to enable participation of communities in developing activities like

building schools, hospitals and influencing behavior change. We produce programs like Good morning Kigoma, “Harakati za Vijana”, Mashua, “Dimba la Michezo”, East Africa Show, Lunch Time and so on, to keep the value, languages and cultures of Kigoma Society alive on a daily basis. Radio Joy Fm Kigoma work as a means to promote values of access to education, economic and social justice, against class, gender, race, and caste based violence, and transparency in governance.

Missions

  • To be a voice to the voiceless
  • To influence behavior change from bad character to good character
  • To inspire Kigoma society to participate in development activities.
  • To create an awareness of local interests, views and cultures
  • To be a bridge of communication between government and society.

Visions

  • To bring Kigoma society together
  • To facilitate the sharing of information in Kigoma society.
  • To become a local radio that connects all people from different cultures to share their ideas and lifestyles.
  • To implement sustainable radio programs that improve access to information, and opportunity, and participate in and contribute to all aspects of life.

The Owner – The organization owns Radio JOY FM, Kigoma, called Joy in the Harvest, which has been in Kigoma for more than twenty-five years; Radio Joy has a special emphasis on helping the poor, the disabled, and the disadvantaged through the program we produce. Not only that but also we are glad to be part of something big, through the programs Radio Joy producing is able to bring positive change to the Kigoma community.

Radio JOY Location – Radio JOY 90.5 Fm Kigoma, has studios located on Kibirizi Road, Kigoma Town. We are just very few kilometers from Kigoma Railway Station. Our broadcast tower is located on the highest point in the area.