Joy FM
Joy FM
2 August 2024, 13:39
Baraza la madiwani wilayani Kibondo mkoani Kigoma limemfukuza kazi mtumishi wa idara ya afya, ustawi wa jamii na lishe kwa makosa mbalimbali ikiwemo utovu wa nidhamu. Na James Jovin – Kibondo Mtumishi mmoja wa halmashauri ya wilaya ya Kibondo mkoani…
2 August 2024, 11:18
Uamzi wa serikali kuruhusu magari kuanza safari za usiku kwenda maeneo mbalimbali ya nchi hofu ziliibuka kwa baadhi ya wananchi wakihofia usalama wakati wa safari kitu ambacho serikali chini wizara ya mambo ya ndani iliwatoa hofu wananchi na kuwa wataimarisha…
1 August 2024, 11:57
Katika kuunga mkono juhudi za ujenzi wa ofisa ya chama cha mapinduzi wilayani buhigwe, Mbunge wa Jimbo hilo ametoa mabati ili kuanza ukarabati wa ofisi hiyo. Na Tryphone Odace – Buhigwe Mbunge wa jimbo la Buhigwe Mkoani Kigoma Felix Kavejuru ametoa…
1 August 2024, 11:24
Wananchi Katika Kijiji cha Matyazo Kata ya Kalinzi Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma Mkoani Kigoma, Wamelalamika kukatiwa Maji kutoka katika Mradi wa Maji Kijiji humo, na kusababisha kaya nyingi kulazimika kutumia maji yasiyosalama kiafya, sambamba na kuomba Uongozi wa RUWASA…
1 August 2024, 09:45
Hamashauri ya wilaya Kigoma imesema itaendelea kuhamasisha wananchi kupanda miti ili kulinda mazingira kwa manufaa ya baadaye. Na Orida Sayon – Kigoma Dc Wananchi Wilayani Kigoma wametakiwa kutunza mazingira kwa kupanda miti ili kuweza kukabiliana na mabadiliko ya tabia ya…
1 August 2024, 08:54
Serikali ya mkoa Kigoma imesema itaendelea kuweka mazingira rafiki kwa wafanyabiashara ii waweze kufanyabiashara kwa urahisi kwa kuweka mindombinu bora ya usafiri na usafirishaji. Na Lucas Hoha – Kigoma Wafanyabiashara Mkoani Kigoma wameomba Serikali kupunguza utitili wa Kodi zinazotozwa mipakani…
31 July 2024, 12:41
Serikali kupitia kwa wakala wa maji na usafi wa mazingira vijijini RUWASA, wilayani Buhigwe mkoani Kigoma imesema wananchi wamekuwa wakishindwa kutunza na kushiriki kikamilifu kwenye utekelezaji wa miradi ya maendeleo kutokana na shinikizo la itikadi za vyama vya siasa. Na…
30 July 2024, 11:42
Serikali wilayani Buhigwe mkoani kigoma imesema itaendelea kutoa elimu ya utunzaji wa mazingira yanayozunguka vya maji ili kusaidia kuhifadhi vyanzo vya manufaa ya jamii nzima. Na Michael Mpunije – Buhigwe Wananchi wilayani Buhigwe Mkoani Kigoma wametakiwa kutunza vyanzo vya maji…
30 July 2024, 11:25
Zaidi ya kaya elfu 2345 hazina vyoo katika Halmashauri wilaya ya Kibondo mkoani Kigoma huku Zaidi ya kaya elfu 4567 zikiwa na vyoo visivyokidhi mahitaji hali ambayo inatishia mlipuko wa magonjwa mbali mbali katika jamii Katika kuangazia tatizo hilo mwandishi…
26 July 2024, 13:16
Wananchi wa kijiji cha Lyabusenda kata ya Sunuka wilayani Uvinza ambao ni miongoni mwa wanaopitia kipindi kigumu baada ya shughuli za uvuvi kusitishwa ziwa Tanganyika na kusababisha kipato kuyumba wameomba wadau wa maendeleo kuwasaidia kuwapa misaada ili kujikimu kimaisha. Na…
Radio JOY 90.5 FM Kigoma is the community radio station broadcasting in Kigoma, which JOY owns IN THE HARVEST organization. We started full Broadcasting in February 2016. Radio JOY FM provides information that caters to the interest of the Kigoma region, Radio Joy broadcasts content that is popular to a local audience community. Radio Joy Fm carries news and information programming geared toward the local area, particularly where other media cannot reach the area and minority groups that are poorly served by other major media outlets. Radio joy as a platform to enable participation of communities in developing activities like
building schools, hospitals and influencing behavior change. We produce programs like Good morning Kigoma, “Harakati za Vijana”, Mashua, “Dimba la Michezo”, East Africa Show, Lunch Time and so on, to keep the value, languages and cultures of Kigoma Society alive on a daily basis. Radio Joy Fm Kigoma work as a means to promote values of access to education, economic and social justice, against class, gender, race, and caste based violence, and transparency in governance.
Missions
Visions
The Owner – The organization owns Radio JOY FM, Kigoma, called Joy in the Harvest, which has been in Kigoma for more than twenty-five years; Radio Joy has a special emphasis on helping the poor, the disabled, and the disadvantaged through the program we produce. Not only that but also we are glad to be part of something big, through the programs Radio Joy producing is able to bring positive change to the Kigoma community.
Radio JOY Location – Radio JOY 90.5 Fm Kigoma, has studios located on Kibirizi Road, Kigoma Town. We are just very few kilometers from Kigoma Railway Station. Our broadcast tower is located on the highest point in the area.