Joy FM
Joy FM
20 August 2024, 12:42
Serikali wilayani kasulu mkaoni kigoma imesema haitaacha kuwachukulia hatua kali za kisheria wale wotw wanaojihusisha na uharibifu wa mazingira kwa kuchoma moto. Na Michael Mpunije – kASULU Wadau wa maendeleo wilayani Kasulu Mkoani Kigoma wameshauriwa kuunga mkono jitihada za serikali…
20 August 2024, 11:23
Mkuu wa wilaya ya Buhigwe Kanali Michael Ngayalina amewataka wananchi wilayani humo kutumia njia sahihi za kuandaa mashamba yao na kuacha tabia ya kuchoma moto misitu wakati wa maandalizi ya kilimo. Ameyasema hayo wakati akizungumza na wananchi katika mkutano wa…
19 August 2024, 16:42
Mkuu wa Mkoa Kigoma Kamishna Jenerali mstaafu wa jeshi la zimamoto na uokoaji Thobias Andengenye amewataka maafisa ugani kuwatembelea maafisa ugani na kusikiliza kero zinazowakabili kwenye shughuli za kilimo na kuzitatua. Na Tryphone Odace – Kigoma Kutatuliwa kwa Changamoto ya…
16 August 2024, 15:00
Serikali imesema kuwa itaendelea kuweka mazingira bora kwa wawekezaji wa ndani na nje ili waweze kufanya kazi katika mazingira rafiki. Na Lucas Hoha – Kigoma Waziri wa mifugo na Uvuvi nchini Abdallah Ulega amewahakikishia wananchi wa mkoa wa kigoma kuwa…
16 August 2024, 12:30
Wananchi 500 wa vijiji vya Mwamgongo na Kigalye katika Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma mkoani Kigoma wameanza kunufaika na mpango wa awamu ya pili kupatiwa bure hati miliki za kimila ambazo tayari zimekamilika kati ya hati miliki za kimila 4272…
16 August 2024, 11:09
Serikali imewataka wavuvi wa samaki ndani ya ziwa tanganyika kuacha uvuvi haramu kwa ajili ya uendelevu vsamaki na dagaa. Na Kadislaus Ezekiel – Kigoma Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Abdallah Ulega amezindua zoezi la uvuvi katika Ziwa Tanganyika baada ya…
15 August 2024, 09:42
Serikali wilayani Kibondo mkoani Kigoma imesema itaendelea kuhakikisha wananchi wanachangia chakula shuleni ili kusaidia kuongeza ufaulu lakini kudhibiti utapiamlo unaotokana na ukosefu wa lishe kwa watoto. Na James Jovin – Kibondo Wazazi na walezi wilayani Kibondo mkoani Kigoma wametakiwa kuongeza…
15 August 2024, 09:12
Mkoa wa Kigoma umetajwa kuwa miongoni mwa mikoa inayotekeleza miradi mbalimbali kwa kiwango cha chini ambapo Waziri wa Tamisemi amesisitiza usimimizi madhubuti ili kuwa na miradi yenye tija. Na Josephine Kiravu – Kigoma Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala…
15 August 2024, 08:27
Serikali imesema itaendelea kushirikiana na wananchi ili kubaini na namna ya kutatua migogoro ya ardhi ambayo imekuwa ikisababisha maafa kwa wananchi hususani wafugaji na wakulima nchini. Na Kadislaus Ezekiel – Kasulu Wananchi katika kata ya Kagerankanda wilayani Kasulu mkoani Kigoma,…
14 August 2024, 14:47
Shughuli ya udereva wa pikipiki licha ya kuwa shemu ya chanzo cha mapato kwa vijana walio wengi lakini kuktotii sheria za kuvaa jaketi za kukinga upepo huenda ukawa changamoto kwao kutokana na maambukizi ya kifua kikuu kinachosababishwa na upepo wakati…
Radio JOY 90.5 FM Kigoma is the community radio station broadcasting in Kigoma, which JOY owns IN THE HARVEST organization. We started full Broadcasting in February 2016. Radio JOY FM provides information that caters to the interest of the Kigoma region, Radio Joy broadcasts content that is popular to a local audience community. Radio Joy Fm carries news and information programming geared toward the local area, particularly where other media cannot reach the area and minority groups that are poorly served by other major media outlets. Radio joy as a platform to enable participation of communities in developing activities like
building schools, hospitals and influencing behavior change. We produce programs like Good morning Kigoma, “Harakati za Vijana”, Mashua, “Dimba la Michezo”, East Africa Show, Lunch Time and so on, to keep the value, languages and cultures of Kigoma Society alive on a daily basis. Radio Joy Fm Kigoma work as a means to promote values of access to education, economic and social justice, against class, gender, race, and caste based violence, and transparency in governance.
Missions
Visions
The Owner – The organization owns Radio JOY FM, Kigoma, called Joy in the Harvest, which has been in Kigoma for more than twenty-five years; Radio Joy has a special emphasis on helping the poor, the disabled, and the disadvantaged through the program we produce. Not only that but also we are glad to be part of something big, through the programs Radio Joy producing is able to bring positive change to the Kigoma community.
Radio JOY Location – Radio JOY 90.5 Fm Kigoma, has studios located on Kibirizi Road, Kigoma Town. We are just very few kilometers from Kigoma Railway Station. Our broadcast tower is located on the highest point in the area.