Joy FM
Joy FM
30 August 2024, 13:20
Wanawake wanaochakata mazao ya uvuvi katika Ziwa Tanganyika wilayani Uvinza mkoani Kigoma, wamelalamika kushamiri vitendo vya rushwa ya ngono vinavyofanywa na baadhi ya wavuvi kama njia ya kuwapatia mazao ya uvuvi ambapo wameomba kuwezeshwa mikopo ya uhakika, kuepusha athari ikiwemo…
30 August 2024, 10:57
Zaidi ya wanafuzi 2000 katika shule za msingi Halmashauri ya Mji Kasulu mkoani Kigoma wameshindwa kuhitimu elimu ya msingi mwaka 2023 kufuatia changamoto mbalimbali ikiwemo utoro. Hayo yamebainishwa na Mdhibiti mkuu ubora wa shule halmashauri ya Mji Kasulu Mwl, Sadock…
30 August 2024, 10:46
Majeruhi wa ajali ya treni 73 waliopata ajali wakisafiri kutoka mkoani Kigoma kuelekea mikoa ya Tabora, Singida, Dodoma, Morogoro na Dar es Salaam wanaendelea kupatiwa huduma za matibabu bure chini ya serikali, katika hospitali za wilaya ya Uvinza na Maweni…
28 August 2024, 13:51
Ili kudhibiti magonjwa ya mlipuko, halmashauri ya mji wa Kasulu mkoani Kigoma imeendelea kuhamasisha utunzaji wa mazingira kwa kufanya usafi huku ikiendelea kutoa elimu kwa wananchi waweze kuzingatia usafi wa mazingira. Na Hagai Ruyagila – Kasulu Vijana kutoka taasisi ya…
27 August 2024, 13:38
Wenyeviti wa mitaa katika halmashauri ya mji wa Kasulu mkoani Kigoma wametakiwa kushirikiana na viongozi wa kata kuhamasisha usafi wa mazingira ili kukabiliana na magonjwa ya mlipuko. Katika zoezi la usafi ambalo limefanyika katika mtaa wa Sido kata ya Murubona…
27 August 2024, 13:18
Wananchi wa kijiji cha Kigogwe, kata ya Munzeze, Halmashauri ya Wilaya ya Buhigwe, mkoani Kigoma, wameibua upinzani mkali dhidi ya ujenzi wa daraja linalojengwa na Wakala wa Barabara za Mijini na Vijijini (TARURA) katika mto Luiche. Ripoti kamili na Emmanuel…
22 August 2024, 15:18
Mashirika yasiyoya kiserikali wilayani Kasulu Mkoani Kigoma wameiomba serikali kutoa taarifa kwa wadau wa maendeleo ili kuisaidia serikali kutatua changamoto katika jamii kwa haraka kuliko kusubiri mpangilio wa bajeti ya nchi. Wameyasema hayo katika kikao cha wadau wa maendeleo kilichofanyika…
22 August 2024, 15:05
Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Manispaa ya Kigoma/Ujiji (KUWASA), kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi, wameendesha operesheni na kufanikiwa kuwakamata watuhumiwa wawili wa wizi wa maji waliokuwa wakiiba kwa zaidi ya miaka kumi. Katika operesheni hiyo, Gidion Kiriba,…
22 August 2024, 13:48
Serikali ya mkoa wa kigoma imeyataka mashirika yanayofanya kazi mkoani kigoma kuwekeza zaidi kwenye miradi itakayosaidia wananchi. Na Lucas Hoha – Kigoma Mashirika yasiyo ya kiserikali yaliyopo mkoa wa kigoma yametakiwa kuwekeza kwenye miradi inayogusa maisha ya wananchi ikiwemo maji,…
21 August 2024, 13:05
Wanachama wa chama cha wafanyakazi wa Serikali za mitaa TALGWU mkoa wa kigoma wameomba viongozi wa chama hicho kuendelea kuwasaidia na kuwasemea serikalini ili waweze kupata stahiki na haki zao. Na James Jovini – Kibondo Chama cha wafanyakazi wa serikali…
Radio JOY 90.5 FM Kigoma is the community radio station broadcasting in Kigoma, which JOY owns IN THE HARVEST organization. We started full Broadcasting in February 2016. Radio JOY FM provides information that caters to the interest of the Kigoma region, Radio Joy broadcasts content that is popular to a local audience community. Radio Joy Fm carries news and information programming geared toward the local area, particularly where other media cannot reach the area and minority groups that are poorly served by other major media outlets. Radio joy as a platform to enable participation of communities in developing activities like
building schools, hospitals and influencing behavior change. We produce programs like Good morning Kigoma, “Harakati za Vijana”, Mashua, “Dimba la Michezo”, East Africa Show, Lunch Time and so on, to keep the value, languages and cultures of Kigoma Society alive on a daily basis. Radio Joy Fm Kigoma work as a means to promote values of access to education, economic and social justice, against class, gender, race, and caste based violence, and transparency in governance.
Missions
Visions
The Owner – The organization owns Radio JOY FM, Kigoma, called Joy in the Harvest, which has been in Kigoma for more than twenty-five years; Radio Joy has a special emphasis on helping the poor, the disabled, and the disadvantaged through the program we produce. Not only that but also we are glad to be part of something big, through the programs Radio Joy producing is able to bring positive change to the Kigoma community.
Radio JOY Location – Radio JOY 90.5 Fm Kigoma, has studios located on Kibirizi Road, Kigoma Town. We are just very few kilometers from Kigoma Railway Station. Our broadcast tower is located on the highest point in the area.