Joy FM

Recent posts

6 September 2024, 11:53

Serikali yafafanua zahanati kutumika bila kusajiliwa Kasulu

Kamati ya siasa ya Chama cha mapinduzi CCM wilaya ya Kasulu ikiongozwa na mwenyekiti wa chama hicho Bw.Mberwa chidebwe imeendelea kushikiria msimamo wake wa kutoridhishwa na kasi ya ujenzi wa zahanati ya kijiji cha Chekenya. Na Michael Mpunije – Kasulu…

5 September 2024, 16:55

Mbaroni kupanga njama, utapeli na udanganyifu Kigoma

Jeshi la Polisi Mkoani Kigoma limesema litaendelea kuwachukulia hatua za kisheria wanaojihusisha na utoaji wa taarifa za uongo iwemo wanaojiteka na kusema wametekwa kwa lengo la kujipatia pesa kwa udanganyifu. Na Josephine Kiravu – Kigoma Jeshi la polisi mkoani Kigoma…

5 September 2024, 16:23

CCM yatilia shaka ujenzi wa zahanati pesa ikiliwa

Wananchi wa kijiji cha chekenya wilayani mkoani kigoma huenda wakawa wanapitia shuruba za kukosa huduma za afya baada ya zahanati iliyopo kijijini humo kusajiliwa kuwa inatoa huduma huku ikiwa haijakamilika na seriakli ikiitengea bajeti kuwa miongoni mwa zahanati zinazotoa huduma…

4 September 2024, 13:10

Tahadhari matumizi ya vyakula vyenye kemikali

Jamii imeshauriwa kutumia vyakula vya asili kuliko matumiz ya vyakula vyenye kemikali vivyozaliwa viwandani. Na Hagai Ruyagila- Kasulu Wazazi na walezi wilayani Kasulu mkoani Kigoma wameshauriwa kutumia vyakula vya asili ili kuwapatia watoto wao kwa ajili ya kuimalisha kinga zao…

3 September 2024, 15:05

Baraza la wazee lazitupia lawama sera, sheria zinazotumika kwa sasa

Baraza la wazee katika halmashauri ya mji wa Kasulu mkoani Kigoma wameomba kutungwa kwa sheria kutokana na sera ya taifa ya wazee ambayo itawasaidia kusikiliza na kutatua changamoto zinazowakabili. Hayo yamejiri katika kikao cha mabaraza ya wazee kutoka kata mbalimbali…

3 September 2024, 14:50

Wananchi kunufaika na ukamilifu wa ofisi ya kijiji Kakonko

Kijii cha Nyakiyobe kilichopo kata ya Gwarama wilayani Kakonko mkoani Kigoma kimefanikiwa kujenga  ofisi ikiwa ni miaka kumi tangu kuanzishwa kwake, hali hiyo itarahisisha shughuli mbalimbali na kujiletea maendeleo na taifa kwa ujumla. 

3 September 2024, 14:10

Bilioni 1.29 kulipa fidia wakazi 724 Kibondo

Wananchi waliopisha ujenzi wa barabara kutoka Kibondo hadi Mabamba wanatarajia kupokea fidia zao kutoka serikalini. Na Tryphone Odace Jumla ya shilingi bilioni 1.29 zitatumika kuwalipa fidia wakazi 724 wakiwamo wa Muhambwe mkoani Kigoma wanaotakiwa kupisha ujenzi wa barabara kutoka Kibondo…

2 September 2024, 17:15

Wanafunzi wawili wajeruhiwa kwa kipigo na mwalimu

Wakati  Serikali na wadau mbali mbali wa haki za binadamu wakiendelea kupinga vitendo vya ukatili wa vipigo kwa watoto shuleni  bado ukatili wa aina hiyo unaendelea kujitokeza siku hadi siku. Kutoka wilayani kasulu Emmanuel Kamangu na ripoti zaidi.

2 September 2024, 13:00

Jamii yatakiwa kuwalea watoto katika madili mema

Askofu mkuu wa Kanisa la Evangelical Methodist Church Tanzania (EMCT) lililopo kata ya Murusi wilayani Kasulu mkoani Kigoma Ngeze Mzimya ameitaka jamii kuwalea watoto wao katika maadili mema ili kujenga taifa lenye ustawi bora kwa vizazi vijavyo na kiuchumi kwa ujumla. Askofu Ngeze…

Radio JOY Profile

Radio JOY 90.5 FM Kigoma is the community radio station broadcasting in Kigoma, which JOY owns IN THE HARVEST organization. We started full Broadcasting in February 2016. Radio JOY FM provides information that caters to the interest of the Kigoma region, Radio Joy broadcasts content that is popular to a local audience community. Radio Joy Fm carries news and information programming geared toward the local area, particularly where other media cannot reach the area and minority groups that are poorly served by other major media outlets. Radio joy as a platform to enable participation of communities in developing activities like

building schools, hospitals and influencing behavior change. We produce programs like Good morning Kigoma, “Harakati za Vijana”, Mashua, “Dimba la Michezo”, East Africa Show, Lunch Time and so on, to keep the value, languages and cultures of Kigoma Society alive on a daily basis. Radio Joy Fm Kigoma work as a means to promote values of access to education, economic and social justice, against class, gender, race, and caste based violence, and transparency in governance.

Missions

  • To be a voice to the voiceless
  • To influence behavior change from bad character to good character
  • To inspire Kigoma society to participate in development activities.
  • To create an awareness of local interests, views and cultures
  • To be a bridge of communication between government and society.

Visions

  • To bring Kigoma society together
  • To facilitate the sharing of information in Kigoma society.
  • To become a local radio that connects all people from different cultures to share their ideas and lifestyles.
  • To implement sustainable radio programs that improve access to information, and opportunity, and participate in and contribute to all aspects of life.

The Owner – The organization owns Radio JOY FM, Kigoma, called Joy in the Harvest, which has been in Kigoma for more than twenty-five years; Radio Joy has a special emphasis on helping the poor, the disabled, and the disadvantaged through the program we produce. Not only that but also we are glad to be part of something big, through the programs Radio Joy producing is able to bring positive change to the Kigoma community.

Radio JOY Location – Radio JOY 90.5 Fm Kigoma, has studios located on Kibirizi Road, Kigoma Town. We are just very few kilometers from Kigoma Railway Station. Our broadcast tower is located on the highest point in the area.