Joy FM

Recent posts

5 February 2024, 13:29

watoto wenye uhitaji maalum waomba kutatuliwa changamoto zao

Watoto wenye mahitaji maalumu katika shule ya msingi Nengo iliyoko wilayani Kibondo Mkoani Kigoma wanakabiliwa na changamoto mbali mbali ikiwemo uhitaji wa taulo za kike hasa kwa wasichana hali ambayo wakati mwingine hupelekea kukosa masomo darasani. James Jovin ana maelezo zaidi.

2 February 2024, 09:28

Baraza la madiwani kibondo lapitisha rasmu ya bajeti ya bilioni 37.9

Halmashauri ya Wiliya Kibondo Mkoani Kigoma yapitisha rasmu ya bajeti ya mwaka 2024/2025. Na James Jovin. Baraza la madiwani katika halmashauri ya wilaya ya Kibondo Mkoani Kigoma limepitisha rasimu ya mpango na bajeti ya shilingi bilioni 37.9 kwa mwaka wa…

1 February 2024, 17:15

Wakandarasi wa barabara Kigoma wanyoshewa kidole kutowajibika

Wajumbe Wa Bodi ya Barabara Mkoa wa Kigoma, Wamelalamikia Kusuasua kwa Ujenzi wa Miundombinu ya Barabara za Uvinza – Tabora na Kigoma – Kalya, Kwa madai ya wakandarasi kutowajibika ipasavyo, Pamoja na Kiwango Duni cha Ujenzi wa Mitaro Katika Barabara…

1 February 2024, 10:49

Kigoma: Miradi ya kimkakati kuimarisha uchumi nchini, nchi jirani

Serikali imesema inaendelea kuhakikisha inaboresha miradi ya kimkakati kwenye sekta ya usafiri iliyopo ili kusaidia katika ukuaji wa uchumi hasa kupitia sekta ya usafirishaji kwa njia ya maziwa.  Na, Tryphone Odace. Meneja Mipango kutoka kampuni ya huduma za meli nchini…

1 February 2024, 10:11

Nyamori kupata shule ya sekondari kwa mara ya kwanza

Wananchi wa kijiji cha Nyamori kata ya Simbo katika wilaya ya Kigoma  wameipongeza serikali kwa juhudi za uboreshaji wa miundombinu ya elimu hasa ujenzi wa shule katika maeneo mbalimbali mkoani Kigoma. Wameeleza hayo wakati wakipokea mifuko 50 ya saruji kwa…

1 February 2024, 09:25

TAKUKURU yabaini mapungufu kwenye miradi 25 ya maendeleo Kigoma

Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Takukuru mkoani Kigoma imebaini mapungufu kwenye miradi 25 ya maendeleo yenye thamani ya zaidi ya shilingi bilioni 9 iliyofuatiliwa katika kipindi cha mwezi Oktoba hadi Desemba 2023. Na, Lucas Hoha Hayo yamebainishwa na…

31 January 2024, 12:47

Wananchi watakiwa kuendeleza maeneo yao Kasulu

Wananchi watakiwa kuendeleza maeneo yao ili yasitumike kutupwa takataka. Na Emmanuel Kamangu. Wananchi katika halmashauri ya mji wa Kasulu mkoani Kigoma wametakiwa kuendeleza maeneo yao ya viwanja ambayo yako wazi ili kuepuka kuwa na vichaka ambavyo haviakisi dhana ya usafi…

31 January 2024, 08:51

Wanawake, vijana kunufaika na mikopo kwa wakati

Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Mungano  wa  Tanzania Dkt.  Philip  Mpango  ameziagiza halmashauri zote  nchini  kuharakisha   mchakato wa  upatikanaji fedha  za maendeleo  ya  vijana,  wanawake   na watu wenye ulemavu  kwa lengo la kuchochea uchumi kwa jamii na taifa. Kadislaus…

26 January 2024, 15:51

Wananchi kunufaika na elimu ya sheria Buhigwe

Wakati tukiwa katika wiki ya sheria, Wananchi Wilayani Buhigwe Mkoani Kigoma wametakiwa kuendelea kufika katika vituo maalumu ambavyo vimeandaliwa kwa ajili ya kupata elimu ya kisheria. Na Emmanuel Kamangu.

26 January 2024, 10:01

Wananchi Kasulu wakerwa kuchangishwa 3,500 ujenzi wa daraja

Wananchi wa kata ya Nyansha wilaya ya Kasulu wameilalamikia serikali kwa kuwachangisha fedha kiasi cha shilingi 3,500 kila kaya ili kununua mawe ya kujengea daraja ikiwa huu ni mwaka wa tatu na hakuna kinachoendelea licha ya kila kaya kutoa kiasi…

Radio JOY Profile

Radio JOY 90.5 FM Kigoma is the community radio station broadcasting in Kigoma, which JOY owns IN THE HARVEST organization. We started full Broadcasting in February 2016. Radio JOY FM provides information that caters to the interest of the Kigoma region, Radio Joy broadcasts content that is popular to a local audience community. Radio Joy Fm carries news and information programming geared toward the local area, particularly where other media cannot reach the area and minority groups that are poorly served by other major media outlets. Radio joy as a platform to enable participation of communities in developing activities like

building schools, hospitals and influencing behavior change. We produce programs like Good morning Kigoma, “Harakati za Vijana”, Mashua, “Dimba la Michezo”, East Africa Show, Lunch Time and so on, to keep the value, languages and cultures of Kigoma Society alive on a daily basis. Radio Joy Fm Kigoma work as a means to promote values of access to education, economic and social justice, against class, gender, race, and caste based violence, and transparency in governance.

Missions

  • To be a voice to the voiceless
  • To influence behavior change from bad character to good character
  • To inspire Kigoma society to participate in development activities.
  • To create an awareness of local interests, views and cultures
  • To be a bridge of communication between government and society.

Visions

  • To bring Kigoma society together
  • To facilitate the sharing of information in Kigoma society.
  • To become a local radio that connects all people from different cultures to share their ideas and lifestyles.
  • To implement sustainable radio programs that improve access to information, and opportunity, and participate in and contribute to all aspects of life.

The Owner – The organization owns Radio JOY FM, Kigoma, called Joy in the Harvest, which has been in Kigoma for more than twenty-five years; Radio Joy has a special emphasis on helping the poor, the disabled, and the disadvantaged through the program we produce. Not only that but also we are glad to be part of something big, through the programs Radio Joy producing is able to bring positive change to the Kigoma community.

Radio JOY Location – Radio JOY 90.5 Fm Kigoma, has studios located on Kibirizi Road, Kigoma Town. We are just very few kilometers from Kigoma Railway Station. Our broadcast tower is located on the highest point in the area.