Joy FM
Joy FM
17 September 2024, 11:30
Wakristo Mkoani Kigoma wametakiwa kuendelea kuliombea Taifa ili Mungu aweze kuliepusha na matatizo yanayoendelea kujitokeza ikiwemo mauwaji na utekaji wa watu Nchini. Na Hagai Ruyagila – Kasulu Askofu wa Kanisa la Anglikana Dayosisi ya Western Tanganyika Mkoani Kigoma Mhasham Emmanuel…
16 September 2024, 10:36
Kiongozi wa mbio za mwenge wa uhuru kitaifa Godfrey Mnzava ameutaka uongozi wa halmashauri ya Kigoma kupitia kwa meneja wa wakala wa barabara za mijini na vijijini TARURA kusimamia na kuweka alama kwenye daraja mawe lilipo katika vijiji vya magalaganza…
16 September 2024, 07:20
Serikali kupitia Wizara ya Maji imesema itaendelea kujenga na kupanua usambazaji wa maji kwa wananchi ili kurahisisha upatikanaji kwa jamii na kuondoa changamoto ya kutembea umbali mrefu kufuata huduma ya maji. Na Tryphone Odace – Kigoma DC Zaidi ya shilingi…
13 September 2024, 14:47
Mkaguzi Msaidizi wa Jeshi la Uhamiaji wilayani Kasulu mkoani Kigoma Elizabeth George ameitaka jamii kuacha kuwatumisha watoto chini ya umri wa miaka 18. Na Hagai Ruyagil – Kasulu Wananchi wilayani Kasulu mkoani Kigoma wametakiwa kuacha tabia ya kuwatumikisha watoto wenye…
13 September 2024, 09:31
Baraza la madiwani wilayani Kibondo Mkoani Kigoma limesema litawachukulia hatua za kinidhamu walimu wote ambao wamekuwa hawakai kwenye vituo vyao vya kazi hasa muda wa masomo na kwenda kufanya biashara Na James Jovin – Kibondo Serikali wilayani Kibondo mkoani Kigoma…
12 September 2024, 16:00
Mkuu wa wilaya Kasulu Mkoani Kigoma amewataka wananchi kujitokeza kuupokea mwenge wa uhuru utakapowasili wilayano na kushuhudia miradi ya maendeleo ikizinduliwa na kuanza kutoa huduma kwa jamii. Na Hagai Ruyagila – Kasulu Mwenge wa uhuru wa Jamhuri ya Muungano wa…
10 September 2024, 08:50
Kamati ya siasa ya Chama Cha Mapinduzi wilayani Kasulu mkoani Kigoma kimemtaka mkandarasi anayetekeleza mradi wa maji wa miji 28 katika halmashauri hiyo kutekeleza mradi huo kwa wakati ili uanze kutoa maji kwa wananchi. Na Michael Mpunije – Kasulu Mkandarasi…
9 September 2024, 15:21
Wanawake Mkoani Kigoma wameshauriwa kujitokeza kushiriki na kuwania nafasi mbalimbali za uongozi kwenye jamii hasa katika uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu. Na Luca Hoha – Kigoma Dc Kuelekea uchaguzi wa Serikali za mitaa utakaofanyika Novemba 27 mwaka…
9 September 2024, 13:30
Mkuu wa wilaya Kasulu Kanali Isack Mwakisu amewataka vijana waliohitimu mafunzo ya awali ya kijeshi katika kambi ya 821 KJ Bulombora kujiepusha na matumizi ya madawa za kulevya kwani wanategemewa katika ujenzi wa taifa. Na Josephine Kiravu – Kigoma Vijana…
9 September 2024, 13:08
Vijana waliohitimu mafunzo ya uafisa tabibu katika chuo cha uafisa tabibu wilayani kibondo mkoani kigoma wameaswa kuwa waadilifu katika kuwatumikia wananchi. Na James Jovin – Kibondo Halmashauri ya wilaya ya Kibondo mkoani Kigoma inapanga kuongeza kozi mbali mbali za masomo…
Radio JOY 90.5 FM Kigoma is the community radio station broadcasting in Kigoma, which JOY owns IN THE HARVEST organization. We started full Broadcasting in February 2016. Radio JOY FM provides information that caters to the interest of the Kigoma region, Radio Joy broadcasts content that is popular to a local audience community. Radio Joy Fm carries news and information programming geared toward the local area, particularly where other media cannot reach the area and minority groups that are poorly served by other major media outlets. Radio joy as a platform to enable participation of communities in developing activities like
building schools, hospitals and influencing behavior change. We produce programs like Good morning Kigoma, “Harakati za Vijana”, Mashua, “Dimba la Michezo”, East Africa Show, Lunch Time and so on, to keep the value, languages and cultures of Kigoma Society alive on a daily basis. Radio Joy Fm Kigoma work as a means to promote values of access to education, economic and social justice, against class, gender, race, and caste based violence, and transparency in governance.
Missions
Visions
The Owner – The organization owns Radio JOY FM, Kigoma, called Joy in the Harvest, which has been in Kigoma for more than twenty-five years; Radio Joy has a special emphasis on helping the poor, the disabled, and the disadvantaged through the program we produce. Not only that but also we are glad to be part of something big, through the programs Radio Joy producing is able to bring positive change to the Kigoma community.
Radio JOY Location – Radio JOY 90.5 Fm Kigoma, has studios located on Kibirizi Road, Kigoma Town. We are just very few kilometers from Kigoma Railway Station. Our broadcast tower is located on the highest point in the area.