Joy FM
Joy FM
24 October 2024, 11:37
Serikali kwa kushirikiana na wadau mbalimbali wa maendeleo wamesema wataendelea kuweka mazingira bora na rafiki kwa wazee mkoani Kigoma ili wajione kuwa sehemu ya jamii. Na Winfrida Ngassa – Kigoma Mkuu wa Wilaya ya Kigoma Dr. Rashid Mohamed Chuachua amekemea…
24 October 2024, 09:06
Serikali wilayani Buhigwe imesema inaendelea kuweka mikakati mbalimbali ya kukabiliana na tatizo la udumavu kwa watoto ikiwa ni pamoja na kusimamia suala la chakula shuleni ili wanafunzi waweze kupata chakula. Na Emmanuel Kamangu – Buhigwe Mwenyekiti wa kamati ya lishe…
23 October 2024, 12:18
Viongozi wa siasa mkoani Kigoma kupitia umoja wa vyama vya siasa mkoani hapa wameeleza kuridhishwa na zoezi la uandikishaji kwenye daftari la wakazi kwa ajili ya kupata sifa ya kushiriki uchaguzi wa serikali za mitaa utakaofanyika Novemba 27,2024. Na, Josephine…
22 October 2024, 10:43
Wakati zoezi la kujiandikisha kwenye daftari la makaazi likifikia tamati oktoba 20, 2024, Mkurugenzi wa halmashauri ya wilaya Kasulu Dkt. Semistatus Mashimba amesema halmashauri hiyo imefikia lengo la zoezi hilo la kijiandikisha. Na Michael Mpunije – Kasulu Wilaya ya Kasulu…
22 October 2024, 09:19
Serikali wilayani Kakonko imesema itaendelea kuwapa mikopo vijana wanahitimu mafunzo ya ufundi stadi ili waweze kutumia mikopo hiyo kujiajiri kupitia shughuli mbalimbali za uzalishaji mali na kujiongezea kipato. Na James Jovin – Kakonko Wanafunzi waliohitimu mafunzo ya ufundi stadi katika…
18 October 2024, 17:30
Askofu wa Kanisa la anglikana dayosisi ya western Tanganyika Mhashamu Emmanuel Bwata amewataka wananchi kujiandikisha ili waweze kushiriki katika uchaguzi wa serikali za mita. Na Hagai Ruyagila – Kasulu Wito umetolewa kwa wananchi wa wilaya ya Kasulu Mkoni Kigoma kutumia…
18 October 2024, 16:56
Wakati zikiwa zimesalia siku mbili kabla ya zoezi la kujiandikisha kwenye daftari la mkaazi kufungwa hapo oktoba 20 mwaka huu, wananchi wametakiwa kutumia muda huo kujitokeza na kujiandikisha ili waweze kupata nafasi ya kushiriki kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa…
17 October 2024, 17:19
Watumishi wa Umma katika kada ya Waandishi waendesha Ofisi mkoani Kigoma wamelalamikia baadhi ya wakuu wa idara na vitengo kushidwa kuthamini kazi zao huku wakiwa katika hatari ya kupoteza ajira kutokana na mabadiliko ya Sayansi na Technolojia baada ya kazi…
17 October 2024, 13:19
Ukosefu wa Elimu Kwa Wananchi Mkoani Kigoma, Umepelekea kuchanganya zoezi la kuandikisha wapiga kura, na vitambulisho vya mpiga kura, na huenda wengi wao wakakosa sifa za kuwa na uhalali wa kushiriki uchaguzi wa serikali za mitaa, kwa kushidwa kujitokeza katika…
17 October 2024, 11:48
Vurugu Zimezuka Kati ya Viongozi Wa Vijiji Na Wananchi Katika Kata ya Biharu Wilaya ya Buhigwe mkoani Kigoma, Wakigombania mpaka wa Vijiji Hivyo, ambao umedumu kwa Mda Mrefu na kusababisha shughuli za Uzalishaji hasa Kilimo Kusimama, ambapo Tume ya Taifa…
Radio JOY 90.5 FM Kigoma is the community radio station broadcasting in Kigoma, which JOY owns IN THE HARVEST organization. We started full Broadcasting in February 2016. Radio JOY FM provides information that caters to the interest of the Kigoma region, Radio Joy broadcasts content that is popular to a local audience community. Radio Joy Fm carries news and information programming geared toward the local area, particularly where other media cannot reach the area and minority groups that are poorly served by other major media outlets. Radio joy as a platform to enable participation of communities in developing activities like
building schools, hospitals and influencing behavior change. We produce programs like Good morning Kigoma, “Harakati za Vijana”, Mashua, “Dimba la Michezo”, East Africa Show, Lunch Time and so on, to keep the value, languages and cultures of Kigoma Society alive on a daily basis. Radio Joy Fm Kigoma work as a means to promote values of access to education, economic and social justice, against class, gender, race, and caste based violence, and transparency in governance.
Missions
Visions
The Owner – The organization owns Radio JOY FM, Kigoma, called Joy in the Harvest, which has been in Kigoma for more than twenty-five years; Radio Joy has a special emphasis on helping the poor, the disabled, and the disadvantaged through the program we produce. Not only that but also we are glad to be part of something big, through the programs Radio Joy producing is able to bring positive change to the Kigoma community.
Radio JOY Location – Radio JOY 90.5 Fm Kigoma, has studios located on Kibirizi Road, Kigoma Town. We are just very few kilometers from Kigoma Railway Station. Our broadcast tower is located on the highest point in the area.