Joy FM
Joy FM
7 November 2024, 16:55
Serikali katika Halmashauri za Wilaya Kibondo na Kakonko imesema itaendelea kushirikiana na wadau wa maendeleo ili kuwasaidia vijana mikopo inayotolewa kwa ajili ya kuhakikisha wanapata mafanikio kupitia shughuli mbalimbali na kuwaepusha na mimba za utotoni. Na James Jovin – Kibondo…
7 November 2024, 14:50
Pichani ni Mkaguzi msaidizi wa polisi ambaye pia ni Mkuu wa kitengo cha dawati la jinsia wilaya ya Kasulu Maimuna Omari wakati akizungumza na wananchuo wa FDC Kasulu. Mkaguzi msaidizi wa Polisi ambaye pia ni Mkuu wa dawati la jinsia…
7 November 2024, 12:41
Serikali imesema itaendelea kushirikiana na wadau mbalimbali wa maendeleo ili kuhakikisha wanasaidia kukamilisha ujenzi wa jengo la kulea watoto lililopo katika chuo cha maendeleo ya wananchi Kasulu FDC. Na Hagai Ruyagila – Kasulu Mkuu wa chuo cha maendeeo ya wananchi…
7 November 2024, 10:09
Baadhi ya wawkilishi wa Wazee Wilayani Buhigwe wameishukuru Serikali ya jamuhuri ya muungano wa Tanzania kutambua kwamba wazee ni rasilimali na hazina kubwa katika maendeleo ya nchi na kuomba serikali sasa kuendelea kutatua changamoto zilizopo ikiwemo ukosefu dirisha la matibabu.…
6 November 2024, 15:34
Serikali katika halmashari ya Wilaya ya Buhigwe Mkoani Kigoma imesema inaendelea na kujenga na kukarabati miundombinu mbalimbali ikiwemo shule ili kupunguza msongamano wa wanafunzi darasani. Na, Michael Mpunije Serikali wilayani Buhigwe Mkoani Kigoma imekamilisha ujenzi wa shule ya msingi Muvumu…
6 November 2024, 09:35
Wananchi katika Manispaa ya Kigoma Ujiji, wametakiwa kutumia maji safi na salama kwa matumizi ya kunywa kutoka kwenye vyanzo sahihi vya maji ili kuepukana na magonjwa ya mlipuko hasa kipindupindu. Hayo yamesemwa na afisa afya Mkoa wa Kigoma Bw. Nesphori…
5 November 2024, 15:34
Manispaa ya Kigoma Ujiji Mkoani Kigoma imesema itaendelea kugawa miche ya michikichi kwa wakulima ili kuhakikisha inatekeleza agizo la Waziri Mkuu wa Tanzania Mh. Kassim Majaliwa la kila halmashauri kugawa miche kwa wakulima kama mkakati wa kukabiliana na uhaba wa…
5 November 2024, 13:09
Serikali kupitia idara ya katika Halmashauri ya mji wa Kasulu Mkoani Kigoma imewataka wanawake hasa wajawazito kuhidhuria kliniki na kutumia dawa wanazoelekezwa na wataalamu wa afya waweze kujifungu watoto wakiwa hawana matatizo. Na Michael Mpunije – Kasulu Baadhi ya wanawake…
5 November 2024, 09:20
Wananawake Mkaoni Kigoma wametakiwa kutumia makongamamano mbalimbali ikiwemo Kigoma Ladies Gala ili kuweza kujifunza na kutambua fursa zitakazoweza kuwainua kiuchumi na taifa kwa ujumla. Na Joha Sultan – Kigoma Baadhi ya Wanawake mkoani Kigoma wameshauriwa kutumia fursa mbalimbali zilizopo mkoani…
4 November 2024, 14:50
Serikali kupitia bodi ya nyama Kanda ya Magharibi imetoa siku saba kuhakikisha wachinjaji wanyama wanafuata kanuni na taratibu katika suala la uandaaji wa nyama hadi kuwafikia watumiaji ili kulinda afya za mlaji wa nyama na kuepuka magonjwa ya mlipuko vinginevyo…
Radio JOY 90.5 FM Kigoma is the community radio station broadcasting in Kigoma, which JOY owns IN THE HARVEST organization. We started full Broadcasting in February 2016. Radio JOY FM provides information that caters to the interest of the Kigoma region, Radio Joy broadcasts content that is popular to a local audience community. Radio Joy Fm carries news and information programming geared toward the local area, particularly where other media cannot reach the area and minority groups that are poorly served by other major media outlets. Radio joy as a platform to enable participation of communities in developing activities like
building schools, hospitals and influencing behavior change. We produce programs like Good morning Kigoma, “Harakati za Vijana”, Mashua, “Dimba la Michezo”, East Africa Show, Lunch Time and so on, to keep the value, languages and cultures of Kigoma Society alive on a daily basis. Radio Joy Fm Kigoma work as a means to promote values of access to education, economic and social justice, against class, gender, race, and caste based violence, and transparency in governance.
Missions
Visions
The Owner – The organization owns Radio JOY FM, Kigoma, called Joy in the Harvest, which has been in Kigoma for more than twenty-five years; Radio Joy has a special emphasis on helping the poor, the disabled, and the disadvantaged through the program we produce. Not only that but also we are glad to be part of something big, through the programs Radio Joy producing is able to bring positive change to the Kigoma community.
Radio JOY Location – Radio JOY 90.5 Fm Kigoma, has studios located on Kibirizi Road, Kigoma Town. We are just very few kilometers from Kigoma Railway Station. Our broadcast tower is located on the highest point in the area.