Joy FM
Joy FM
7 October 2024, 13:33
Wakati siku zikienda mbio kuelekea siku ya uchaguzi wa serikali za mitaa na kampeni za kuhamasisha wananchi wenye siku kujitokeza na mkoa wa kigoma unatajwa kuwa miongozi mwa mikoa inayokuwa na raia wa kigeni na hivyo kutakiwa kutojihusisha kwenye uchaguzi…
7 October 2024, 12:55
Watumishi katika Halmashauri ya Manispaa ya Kigoma Ujiji wametakiwa kufanya kazi kwa weledi pasipo kuingiza hasara kwa serikali ili kurahisisha upatikanaji wa huduma muhimu kwa wananchi na maendeleo ya taifa kwa ujumla. Na Joesphine Kiravu Mkuu wa Wilaya ya Kigoma…
4 October 2024, 17:21
Benki ya Exim tawi la Kigoma imesema itaendelea kuboresha na kutoa huduma bora kwa wateja wake huku ikiwataka wafanyabiashara na mashirika yaliyopo mkoani kigoma kujitokeza na kuomba mikopo inayotolewa na benki hiyo kwa lengo la kukuza biashara zao. Na Joha…
4 October 2024, 13:27
Serikali imewataka wazazi na walezi kuendelea kuwapeleka watoto wao shule ili kupata elimu itakayowasaidia kuweza kutimiza ndoto zao. Na Lucas Hoha – Kasulu DC Wazazi katika halmashauri ya Wilaya ya Kasulu Mkoani Kigoma wametakiwa kuwalea watoto wao katika maadili mema…
4 October 2024, 13:03
Wito umetolewa kwa jamii na wadau wa maendeleo kutoa taarifa za watoto wenye ulemavu na kuwafichua ili waweze kupelekwa shule na kupata elimu kama watoto wengine kwenye jamii. Na Sadiki Kibwana – Kigoma Wazazi na walezi Manispaa ya Kigoma Ujiji…
4 October 2024, 11:48
Wadau wa maendeleo wilayani kasulu mkoani kigoma wametakiwa kuendelea kuunga mkono juhudi za serikali katika kusaidia kuboresha elimu ili kusaidia watoto waweze kupata haki yao ya elimu. Na Hagai Ruyagila – Kasulu Katika kuunga mkono juhudi za serikali za kuhakikisha…
3 October 2024, 15:09
Viongozi wa dini na vyama vya siasa mkoani kigoma wamesema wameridhishwa na hali ya maandalizi ya uchaguzi wa serikali za mitaa unaotarajiwa kufanyika novemba 27 mwaka huu. Na Josephine Kiravu – Kigoma Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Mhe. Thobias Andengenye…
3 October 2024, 13:46
Serikali wilayani Kasulu imesema tayari imefanya upembuzi wa baadhi ya barabara ambazo zimekuwa na changamoto ya kutopitika baada ya kuharibika kutokana na mvua za msimu uliopita ili kuweza kutenga bajeti ya kuzifanyia ukarabati. Na Hagai Ruyagila – Kasulu Kufuatia Wakala…
2 October 2024, 17:41
Serikali mkoani Kigoma imesema itaendelea kushirikiana na wadau mbalimbali na mashirika ili kuhakikisha wazee wanasaidiwa na kupata mahitaji yao muhimu ikiwemo kuchukua hatua za kuboresha maisha yao. Na Kadislaus Ezekiel – Kibondo Wazee mkoani Kigoma, wameiomba serikali kuingilia kati unyanyasaji…
2 October 2024, 16:15
Wakati tukielekea kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa hapo Novemba mwaka huu na uchaguzi mkuu mwakani, wanasiasa wametakiwa kutotumia nyumba za ibada vibaya ili kuwashawishi waumini kuwachagua katika nafasi mbalimbali. Na Hagai Ruyagila – Kasulu Askofu wa Kanisa la Anglikana…
Radio JOY 90.5 FM Kigoma is the community radio station broadcasting in Kigoma, which JOY owns IN THE HARVEST organization. We started full Broadcasting in February 2016. Radio JOY FM provides information that caters to the interest of the Kigoma region, Radio Joy broadcasts content that is popular to a local audience community. Radio Joy Fm carries news and information programming geared toward the local area, particularly where other media cannot reach the area and minority groups that are poorly served by other major media outlets. Radio joy as a platform to enable participation of communities in developing activities like
building schools, hospitals and influencing behavior change. We produce programs like Good morning Kigoma, “Harakati za Vijana”, Mashua, “Dimba la Michezo”, East Africa Show, Lunch Time and so on, to keep the value, languages and cultures of Kigoma Society alive on a daily basis. Radio Joy Fm Kigoma work as a means to promote values of access to education, economic and social justice, against class, gender, race, and caste based violence, and transparency in governance.
Missions
Visions
The Owner – The organization owns Radio JOY FM, Kigoma, called Joy in the Harvest, which has been in Kigoma for more than twenty-five years; Radio Joy has a special emphasis on helping the poor, the disabled, and the disadvantaged through the program we produce. Not only that but also we are glad to be part of something big, through the programs Radio Joy producing is able to bring positive change to the Kigoma community.
Radio JOY Location – Radio JOY 90.5 Fm Kigoma, has studios located on Kibirizi Road, Kigoma Town. We are just very few kilometers from Kigoma Railway Station. Our broadcast tower is located on the highest point in the area.