Joy FM
Joy FM
15 October 2024, 12:12
Viongozi wa dini wametakiwa kuendelea kuwahamasisha waumini wao kuendelea kujitokeza na kujiandikisha kwenye daftari la mkazi ili waweze kupata nafasi ya kushiriki kwenye uchaguzi wa viongozi wa serikali za mitaa. Na Lucas Hoha – Kasulu Askofu wa Kanisa la Anglikani…
15 October 2024, 11:45
Mkuu wa Wilaya Kasulu mkoani Kigoma Kanali Isac Mwakisu amesema serikali na viongozi wataendelea kuyaenzi na kusimamia misingi iliyowekwa na mwaasisi wa taifa hili hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere. Na Lucas Hoha – Kasulu Wananchi wa kijiji cha Mvugwe kata ya…
14 October 2024, 12:29
Wananchi wamehimizwa kuendelea kujitkeza kwa wingi kujiandikisha kwenye daftari la makazi ili waweze kupata nafasi ya kuchagua viongozi wa serikali za mitaa. Na Lucas Hoha – Kasulu Mkuu wa Wilaya ya Kasulu Mkoani Kigoma Kanali Isaac Mwakisu amewaomba wananchi wa…
14 October 2024, 11:53
Wakati zoezi la kujiandkisha kwenye daftari la makazi kwa ajili ya wapiga kura kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa vijana wameaswa kujitokeza na kugombea nafasi mbalimbali za uongozi. Na Emmanuel Kamangu – Kasulu Vijana na wanawake kata yaMrusi halmashauri ya…
11 October 2024, 08:43
Serikali wilayani kasulu imewataka viongozi na kamati zinazosimamia utoaji wa mikopo ya asilimia 10 inatolewa na halmashauri kupitia mapato ya ndani kuwa waadilifu. Na Lucas Hoha – Kasulu Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Kasulu Mkoani Kigoma Nurfus Aziz…
10 October 2024, 16:58
Shirika la Plantvillage limesema linatarajia kupanda miche ya migomba kwenye eneo la ekari 32 itakayokuwa inatumika kwa wakulima ili kupunguza migamba inashambuliwa na magonjwa. Na Michael Mpunije – Buhigwe Katika kukabiliana na ugonjwa wa Funga shada ya Migomba ambao umeshambulia…
10 October 2024, 14:27
Serakali imeendelea kuhimiza matumizi ya nishati safi ya kupikia kwa lengo la kupunguza uharibifu wa mazingira. Na Tryphone Odace – Kigoma Wananchi mkoani Kigoma wameiomba serikali kuangalia namna ya kupunguza gharama za ununuzi wa majiko ya nishati safi ikiwemo gesi…
9 October 2024, 13:04
Madaktari bingwa ambao wanaendelea kutembea kwenye mikoa mbalimbali hapa nchini kwa ajili ya kutoa huduma za kibingwa sehemu ya mpango wa serikali wa kuhakikisha wanaboresha utoaji wa huduma za Afya kwa wananchi nchini. Lucas Hoha – Kasulu Wananchi wa Halmashuri…
9 October 2024, 11:40
Wanafunzi wanaohitimu elimu ya kidato cha nne katika shule ya sekondari Rev. A. Bungwa iliyopo halmashauri ya mji wa kasulu wametakiwa kuwa na maadili mema kwenye jamii na kufuata misingi waliyofundishwa kwa kipindi chote walichokuwepo shuleni kwa manufaa yao ya…
8 October 2024, 09:54
Baadhi ya wananchi wa Mnispaa ya Kigoma Ujiji wamepengeza hatua ya ujio wa madaktari bingwa wa Dkt. Samia Suluhu Hassan na kuwa itasaidia kupata huduma za kibingwa na kuokoa gharama ambazo wangetumia kwenda kutafuta matibabu nje ya mko wa Kigoma.…
Radio JOY 90.5 FM Kigoma is the community radio station broadcasting in Kigoma, which JOY owns IN THE HARVEST organization. We started full Broadcasting in February 2016. Radio JOY FM provides information that caters to the interest of the Kigoma region, Radio Joy broadcasts content that is popular to a local audience community. Radio Joy Fm carries news and information programming geared toward the local area, particularly where other media cannot reach the area and minority groups that are poorly served by other major media outlets. Radio joy as a platform to enable participation of communities in developing activities like
building schools, hospitals and influencing behavior change. We produce programs like Good morning Kigoma, “Harakati za Vijana”, Mashua, “Dimba la Michezo”, East Africa Show, Lunch Time and so on, to keep the value, languages and cultures of Kigoma Society alive on a daily basis. Radio Joy Fm Kigoma work as a means to promote values of access to education, economic and social justice, against class, gender, race, and caste based violence, and transparency in governance.
Missions
Visions
The Owner – The organization owns Radio JOY FM, Kigoma, called Joy in the Harvest, which has been in Kigoma for more than twenty-five years; Radio Joy has a special emphasis on helping the poor, the disabled, and the disadvantaged through the program we produce. Not only that but also we are glad to be part of something big, through the programs Radio Joy producing is able to bring positive change to the Kigoma community.
Radio JOY Location – Radio JOY 90.5 Fm Kigoma, has studios located on Kibirizi Road, Kigoma Town. We are just very few kilometers from Kigoma Railway Station. Our broadcast tower is located on the highest point in the area.