Joy FM

Recent posts

14 November 2024, 13:14

DC Uvinza awataka wagombea waliowekewa pingamizi kukata rufaa

Wakati muda uliowekwa kwa wagombea waliowekewa pingamizi ukikaribia kuisha, Mkuu wa Wilaya Uvinza Mkoani Kigoma ametaka wagombea kuwasilisha rufaa zao mapema kabla ya muda wa ziada kuisha. Na Sofia Cosmas – Uvinza Mkuu wa Wilaya ya Uvinza Mkoani Kigoma Dina…

13 November 2024, 17:35

NIDA mlango wawekwa wazi kurekebisha taarifa

Wananchi wilayani kasulu mkoani Kigoma ambao wameshapatiwa namba za vitambulisho vya Taifa NIDA wametakiwa kuhakiki usahihi wa majina yao kabla ya kutolewa kwa Vitambulisho hivyo ili waweze kufanyiwa marekebisho kabla ya vitambulisho hivyo kutolewa. Wito huo umetolewa na Afisa uandikishaji…

13 November 2024, 13:55

Serikali yaomba wananchi kushiriki miradi ya maendeleo

Mkuu wa wilaya ya Kigoma Dkt Rashid Mohamed Chuachua akiwa katika picha ya pamoja na viongozi wengine wakati wa uzinduzi wa ujenzi wa shule Gungu Mkuu wa wilaya ya Kigoma Dkt Rashid Mohamed Chuachua amewataka wananchi kushirikiana na serikali katika…

13 November 2024, 13:46

TAKUKURU yawataka wagombea kuepuka rushwa Kasulu

Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa TAKUKURU katika wilaya ya Kasulu imesema wagombea kutojihusisha na vitendo vya rushwa katika kipindi hiki cha uchaguzi wa serikali za mitaa. Na Emmanuel Kamangu – Kasulu Kutokana na umhimu wa uchaguzi wa serikali…

12 November 2024, 11:10

Watoto 5,632 kuandikishwa na 2001 kurejeshwa kwa kukatisha masomo Kigoma

Kampeni ya kuwaandikisha na kuwarejesha shuleni watoto walio nje ya mfumo wa shule ngazi ya elimu ya msingi imezinduliwa mkoani kigoma ikiwa na lengo la kukabiliana na changamoto zinazosababisha wanafunzi wanafunzi kutoandikishwa kuanza shule au kukatisha masomo yao. Na Josephine…

11 November 2024, 17:03

Zoezi uchukuaji, urejeshaji fomu za wagombea Buhigwe lakamilika

Halmshauri ya wilaya ya Buhigwe mkoani Kigoma imepokea jumla ya mapingamizi 25 kutoka vyama vya siasa vitakavyoshiriki uchaguzi wa serikali za mitaa wilayani humo. Na Emmanuel Kamangu – Buhigwe Msimamizi wa Uchaguzi Wilaya ya Buhigwe Mkoani Kigoma Bw, George Emmanuel…

11 November 2024, 14:02

Wahitimu wa mafunzo ya biblia waaswa kuhubiri matendo mema

Wahitimu wa mafunzo ya biblia katika chuo cha biblia Dar es salaam tawila Kigoma wametakiwa kuisaidia jamii kuachana na vitendo viovu ambavyo vimekuwa vikifanyika na kusababisha baadhi ya makundi mbalimbali kuathirika ikiwemo ukatilii na uvunjifu wa amani. Na Timotheo Leonard…

11 November 2024, 12:09

Askofu Bwatta ahimiza wananchi kujitokeza kupiga kura serikali za mitaa

Zikiwa zimesalia siku chache kufanyika kwa uchaguzi wa serkali za mitaa hapo novemba 27 mwaka huu, wananchi wametakiwa kujitokeza kwa ajili ya kushiriki uchaguzi wa srikali za mitaa. Na Hagai Ruyagila – Kasulu Wananchi wilayani Kasulu mkoani Kigoma waliojindikisha kwenye…

11 November 2024, 08:43

Mwanafunzi darasa la 6 Kigoma abuni ‘Earphone’

Wadau wa maendeleo wametakiwa kushirikiana na kuendeleza bunifu mbalimbali za watoto ili waweze kufikia ndoto zao kwa manufaa ya jamii na Taifa kwa ujumla. Na Timotheo Leonard – Kigoma Novemba 10 ya kila mwaka dunia huadhimisha siku ya sayansi ambayo…

8 November 2024, 17:53

Hali ya upatikanaji wa maji vijijini ni asilimia 74 Kigoma

Mkuu wa Mkoa Kigoma, Thobias Andengenye ameutaka Wakala wa Maji Mijini na Vijijini (RUWASA) Mkoa Kigoma kuhakikisha upatikanaji wa vitendea kazi kwenye sekta ya maji unajibu mipango ya Rais Samia katika kusogeza huduma karibu na wananchi ya kumtua mama ndoo…

Radio JOY Profile

Radio JOY 90.5 FM Kigoma is the community radio station broadcasting in Kigoma, which JOY owns IN THE HARVEST organization. We started full Broadcasting in February 2016. Radio JOY FM provides information that caters to the interest of the Kigoma region, Radio Joy broadcasts content that is popular to a local audience community. Radio Joy Fm carries news and information programming geared toward the local area, particularly where other media cannot reach the area and minority groups that are poorly served by other major media outlets. Radio joy as a platform to enable participation of communities in developing activities like

building schools, hospitals and influencing behavior change. We produce programs like Good morning Kigoma, “Harakati za Vijana”, Mashua, “Dimba la Michezo”, East Africa Show, Lunch Time and so on, to keep the value, languages and cultures of Kigoma Society alive on a daily basis. Radio Joy Fm Kigoma work as a means to promote values of access to education, economic and social justice, against class, gender, race, and caste based violence, and transparency in governance.

Missions

  • To be a voice to the voiceless
  • To influence behavior change from bad character to good character
  • To inspire Kigoma society to participate in development activities.
  • To create an awareness of local interests, views and cultures
  • To be a bridge of communication between government and society.

Visions

  • To bring Kigoma society together
  • To facilitate the sharing of information in Kigoma society.
  • To become a local radio that connects all people from different cultures to share their ideas and lifestyles.
  • To implement sustainable radio programs that improve access to information, and opportunity, and participate in and contribute to all aspects of life.

The Owner – The organization owns Radio JOY FM, Kigoma, called Joy in the Harvest, which has been in Kigoma for more than twenty-five years; Radio Joy has a special emphasis on helping the poor, the disabled, and the disadvantaged through the program we produce. Not only that but also we are glad to be part of something big, through the programs Radio Joy producing is able to bring positive change to the Kigoma community.

Radio JOY Location – Radio JOY 90.5 Fm Kigoma, has studios located on Kibirizi Road, Kigoma Town. We are just very few kilometers from Kigoma Railway Station. Our broadcast tower is located on the highest point in the area.