Joy FM

Recent posts

1 September 2023, 11:16

Wanafunzi walia na ukatili wa kijinsia Kigoma

Katika kupambana na vitendo vya ukatili wa kijinsia, Shirika la Maendeleo ya Vijana mkoani Kigoma KIVIDEA limeendelea kutoa elimu kwa wanafunzi wa shule za msingi na sekondari ili kuwapa elimu ya kujitambua ili waweze kuepukana na vitendo vya ukatilii. Na,…

30 August 2023, 12:52

Tanzania, Burundi kukabiliana na ajali Ziwa Tanganyika

Katika kukabiliana na ajali ndani ya Ziwa Tanganyika Serikali ya Tanzania na Burundi zimeonyesha nia ya kushirikiana kutoa elimu ya matumizi ya vifaa vya usafirishaji ndani ya ziwa. Na, Tryphone Odace Nchi za Tanzania na Burundi zimeanza kuchukua hatua za…

25 August 2023, 17:24

Jamii mkoani Kigoma yatakiwa kujikinga na magonjwa ya mlipuko

Magonjwa ya mlipuko mkoani Kigoma yanaweza kudhibitiwa iwapo hatua mbalimbali zitachukuliwa na jamii. Jamii mkoani Kigoma imetakiwa kushirikiana vyema na wadau wa sekta ya afya ili kuondoa tatizo la magonjwa ya mlipuko ambayo yamekuwa yakijitokeza mara kwa mara. Mganga Mkuu…

24 August 2023, 15:37

Vyombo visivyokidhi vigezo kuondolewa ziwa Tanganyika

Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC) Mkoa wa Kigoma, Limezindua kampeni ya Operasheni Maboya katika ziwa Tanganyika, ili kubaini Boti zisizo na Vifaa vya Kusafiria Kwa Wavuvi na Abiria ili kuwachukulia hatua za kisheria. Na, Kadislaus Ezekiel Afisa mfawidhi…

18 August 2023, 10:21

RC Kigoma apiga marufuku ramli chonganishi

Na, Tryphone Odace Mkuu wa mkoa wa Kigoma Kamishna Jenerali Mstaafu wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Thobias Andengenye amewataka viongozi wa Serikali za mitaa kuchukua hatua za kisheria haraka kwa watu wanaojihusisha na upigaji wa ramli chonganishi kwani imekuwa…

18 August 2023, 10:00

Vijana Kigoma watakiwa kujiepusha na matumizi ya dawa za kulevya

Na, Tryphone Odace Shirika la Maendeleo ya Vijana Mkoani Kigoma,  KIVIDEA limewataka vijana kujiepusha na makundi yanayoweza kusababisha kutofikia ndoto zao kwani makundi hayo yanaweza kusababisha kutumbukia kwenye matumizi ya madawa ya kulevya. Hayo yameelezwa na Afisa Program wa KIVIDEA,…

4 August 2023, 17:04

Sekta binafsi zatakiwa kutenga fedha kwa ajili miradi ya maendeleo

Mashirika yasiyo ya kserikali yametakiwa kuhakikisha wanatumia fedha za wafadhili katika kutekeleza miradi ya maendeleokwenye maeneoyao. Na Lucas Hoha Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Kamishina Mstaafu wa Jeshi la zimamoto na uokoaji Thobias Andengenye amezitaka Sekta binafisi kutenga fedha kwa…

4 August 2023, 10:09

Jamii yatakiwa kuzingatia maadili

Maadili nchini yanaonekana kuendelea kuporomoka hali inayosababisha jamii kuendelea kupotoka na kusababisha jamii kuwa katika hali ngumu ya maisha hasa kufanyiwa ukatilii. Na, Josephine Kiravu Jamii Mkoani Kigoma imetakiwa Kujiepusha vitendo vilivyo kinyume na maadili ya Kitanzania kuanzia ngazi ya…

3 August 2023, 10:17

Wakimbizi Nyarugusu wagoma kurudi kwao, waitaka nchi ya tatu

Wakati serikali ya Tanzania na Burundi kwa kushirikiana na maashirika ya kuhudumia wakimbizi wakiendelea kuhamasisha wakimbizi kutoka Burundi ambao wanaishi katika kambi ya Nyarugusu kurudi kwao, wakimbizi hao wamesema wanaogopa kurudi kwao kutokana na ukosefu wa mashamba ya kuishi. Na,…