Joy FM
Joy FM
6 November 2024, 15:34
Serikali katika halmashari ya Wilaya ya Buhigwe Mkoani Kigoma imesema inaendelea na kujenga na kukarabati miundombinu mbalimbali ikiwemo shule ili kupunguza msongamano wa wanafunzi darasani. Na, Michael Mpunije Serikali wilayani Buhigwe Mkoani Kigoma imekamilisha ujenzi wa shule ya msingi Muvumu…
6 November 2024, 09:35
Wananchi katika Manispaa ya Kigoma Ujiji, wametakiwa kutumia maji safi na salama kwa matumizi ya kunywa kutoka kwenye vyanzo sahihi vya maji ili kuepukana na magonjwa ya mlipuko hasa kipindupindu. Hayo yamesemwa na afisa afya Mkoa wa Kigoma Bw. Nesphori…
5 November 2024, 15:34
Manispaa ya Kigoma Ujiji Mkoani Kigoma imesema itaendelea kugawa miche ya michikichi kwa wakulima ili kuhakikisha inatekeleza agizo la Waziri Mkuu wa Tanzania Mh. Kassim Majaliwa la kila halmashauri kugawa miche kwa wakulima kama mkakati wa kukabiliana na uhaba wa…
5 November 2024, 13:09
Serikali kupitia idara ya katika Halmashauri ya mji wa Kasulu Mkoani Kigoma imewataka wanawake hasa wajawazito kuhidhuria kliniki na kutumia dawa wanazoelekezwa na wataalamu wa afya waweze kujifungu watoto wakiwa hawana matatizo. Na Michael Mpunije – Kasulu Baadhi ya wanawake…
5 November 2024, 09:20
Wananawake Mkaoni Kigoma wametakiwa kutumia makongamamano mbalimbali ikiwemo Kigoma Ladies Gala ili kuweza kujifunza na kutambua fursa zitakazoweza kuwainua kiuchumi na taifa kwa ujumla. Na Joha Sultan – Kigoma Baadhi ya Wanawake mkoani Kigoma wameshauriwa kutumia fursa mbalimbali zilizopo mkoani…
4 November 2024, 14:50
Serikali kupitia bodi ya nyama Kanda ya Magharibi imetoa siku saba kuhakikisha wachinjaji wanyama wanafuata kanuni na taratibu katika suala la uandaaji wa nyama hadi kuwafikia watumiaji ili kulinda afya za mlaji wa nyama na kuepuka magonjwa ya mlipuko vinginevyo…
4 November 2024, 08:33
Serikali imesema itaendelea kuboresha miundombinu mbalimbali na huduma za jamii ili kusaidia kuinua uchumi wa wananchi na taifa kwa ujumla. Na Lucas Hoha – Kigoma Zaidi ya shilingi bilioni 16 zimetengwa na serikali kwa ajili ya ujenzi wa Soko la…
3 November 2024, 20:39
Halmashauri ya wilaya Buhigwe kupitia kwa mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama Kanali Michael Ngayalina imesema imejianda vyema kuhakikisha ulinzi unaimarika katika kipindi cha uchaguzi wa serikali za mitaa. Na Michael Mpunije – Buhigwe Kamati ya Usalama ya wilaya…
1 November 2024, 12:15
Kufuatia mvua zinazoendelea kunyesha Mkoani Kigoma zimesababisha baadhi ya nyumba kubomoka na mali za watu kuharibiwa. Na Hagai Ruyagila – Kasulu Zaidi ya nyumba 10 katika mtaa wa mkombozi kata ya murusi halmashauri ya Mji Kasulu Mkoani Kigoma zimebomoka na…
29 October 2024, 11:09
Serikali Mkoani Kigoma kupitia kwa Mkuu wa mkoa huo Kamishana Jenerali Mstaafu wa Jeshi la zimamoto na uokoaji Thobias Andengenye serikali imeendelea kuufaungua mkoa wa kigoma kwa kujenga na kuboresha miundombinu ya barabara na kurahisisha Mkoa wa kigoma kufunguka kibiashara…
Radio JOY 90.5 FM Kigoma is the community radio station broadcasting in Kigoma, which JOY owns IN THE HARVEST organization. We started full Broadcasting in February 2016. Radio JOY FM provides information that caters to the interest of the Kigoma region, Radio Joy broadcasts content that is popular to a local audience community. Radio Joy Fm carries news and information programming geared toward the local area, particularly where other media cannot reach the area and minority groups that are poorly served by other major media outlets. Radio joy as a platform to enable participation of communities in developing activities like
building schools, hospitals and influencing behavior change. We produce programs like Good morning Kigoma, “Harakati za Vijana”, Mashua, “Dimba la Michezo”, East Africa Show, Lunch Time and so on, to keep the value, languages and cultures of Kigoma Society alive on a daily basis. Radio Joy Fm Kigoma work as a means to promote values of access to education, economic and social justice, against class, gender, race, and caste based violence, and transparency in governance.
Missions
Visions
The Owner – The organization owns Radio JOY FM, Kigoma, called Joy in the Harvest, which has been in Kigoma for more than twenty-five years; Radio Joy has a special emphasis on helping the poor, the disabled, and the disadvantaged through the program we produce. Not only that but also we are glad to be part of something big, through the programs Radio Joy producing is able to bring positive change to the Kigoma community.
Radio JOY Location – Radio JOY 90.5 Fm Kigoma, has studios located on Kibirizi Road, Kigoma Town. We are just very few kilometers from Kigoma Railway Station. Our broadcast tower is located on the highest point in the area.