Joy FM
Joy FM
19 November 2024, 10:34
Baraza la madiwani la halmashauri ya Wilaya ya Kibondo limeadhimia watumishi Saba wa idara ya afya kukatwa asilimia 15 ya mshahara wao kwa kipindi cha miaka mitatu na kurudisha fedha zaidi ya milioni 70 walizohujumu Serikali kwa kuuza dawa na…
18 November 2024, 15:11
Serikali imesema itaendelea kuwasaidia vijana kupitia ujuzi mbalimbali ili kuhakikisha wanapatiwa mikopo itakayowasaidia kujiajiri. Na Hagai Ruyagila – Kasulu Wahitimu wa mafunzo ya ufundi stadi Veta wilayani Kasulu mkoani Kigoma wametakiwa kufanya kazi kwa bidii na kuwa na nidhamu ya…
18 November 2024, 14:56
Madiwani wametakiwa kuendelea kutoa elimu kwa jamii ili iweze kutambua mipaka ili kuwsaidia kupunguza migogoro ya ardhi katika ya wakulima na wafugaji. Na Emmanuel Kamangu Migogoro ya wafugaji na wakulima katika wilaya ya uinza na wilaya ya kasulu yaongezeka ikichangiwa…
18 November 2024, 12:40
Serikali kupitia kwa wakala wa barabara za mijiji na vijijini TARURA Wilaya Kigoma imesema inaendelea na ujenzi wa daraja la mto ruiche ambalo limekuwa likiwasumbua wananchi wa eneo hilo hasa wakati wakivuka kwenda shuleni. Na Josephine Kiravu – Kigoma Wananchi…
18 November 2024, 08:44
Mkurugenzi wa Manispaa ya Kigoma Ujiji, Kisena Mabuba amewahakikishia madiwani wa Manispaa hiyo kuwa anasimamia kwa nguvu ili kuhakikisha maeneo ya wazi yanayomilikiwa na Manispaa yanapatiwa hati miliki ili kuepuka maeneo hayo kuvamiwa na watu wasio waaminifu. Na, Lucas Hoha…
15 November 2024, 15:00
Zikiwa zimebaikia siku 12 kuelekea kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa mkuu wa wilaya ya kasulu kanal Isack mwakisu amewataka madiwani wilayani humo kuhakikisha wanakuwa mstari wa mbele kuwahimiza wananchi wajitokeze kuwachagua viongozi wao. Kanal mwakisu amesema hayo katika mkutano…
14 November 2024, 13:14
Wakati muda uliowekwa kwa wagombea waliowekewa pingamizi ukikaribia kuisha, Mkuu wa Wilaya Uvinza Mkoani Kigoma ametaka wagombea kuwasilisha rufaa zao mapema kabla ya muda wa ziada kuisha. Na Sofia Cosmas – Uvinza Mkuu wa Wilaya ya Uvinza Mkoani Kigoma Dina…
13 November 2024, 17:35
Wananchi wilayani kasulu mkoani Kigoma ambao wameshapatiwa namba za vitambulisho vya Taifa NIDA wametakiwa kuhakiki usahihi wa majina yao kabla ya kutolewa kwa Vitambulisho hivyo ili waweze kufanyiwa marekebisho kabla ya vitambulisho hivyo kutolewa. Wito huo umetolewa na Afisa uandikishaji…
13 November 2024, 13:55
Mkuu wa wilaya ya Kigoma Dkt Rashid Mohamed Chuachua akiwa katika picha ya pamoja na viongozi wengine wakati wa uzinduzi wa ujenzi wa shule Gungu Mkuu wa wilaya ya Kigoma Dkt Rashid Mohamed Chuachua amewataka wananchi kushirikiana na serikali katika…
13 November 2024, 13:46
Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa TAKUKURU katika wilaya ya Kasulu imesema wagombea kutojihusisha na vitendo vya rushwa katika kipindi hiki cha uchaguzi wa serikali za mitaa. Na Emmanuel Kamangu – Kasulu Kutokana na umhimu wa uchaguzi wa serikali…
Radio JOY 90.5 FM Kigoma is the community radio station broadcasting in Kigoma, which JOY owns IN THE HARVEST organization. We started full Broadcasting in February 2016. Radio JOY FM provides information that caters to the interest of the Kigoma region, Radio Joy broadcasts content that is popular to a local audience community. Radio Joy Fm carries news and information programming geared toward the local area, particularly where other media cannot reach the area and minority groups that are poorly served by other major media outlets. Radio joy as a platform to enable participation of communities in developing activities like
building schools, hospitals and influencing behavior change. We produce programs like Good morning Kigoma, “Harakati za Vijana”, Mashua, “Dimba la Michezo”, East Africa Show, Lunch Time and so on, to keep the value, languages and cultures of Kigoma Society alive on a daily basis. Radio Joy Fm Kigoma work as a means to promote values of access to education, economic and social justice, against class, gender, race, and caste based violence, and transparency in governance.
Missions
Visions
The Owner – The organization owns Radio JOY FM, Kigoma, called Joy in the Harvest, which has been in Kigoma for more than twenty-five years; Radio Joy has a special emphasis on helping the poor, the disabled, and the disadvantaged through the program we produce. Not only that but also we are glad to be part of something big, through the programs Radio Joy producing is able to bring positive change to the Kigoma community.
Radio JOY Location – Radio JOY 90.5 Fm Kigoma, has studios located on Kibirizi Road, Kigoma Town. We are just very few kilometers from Kigoma Railway Station. Our broadcast tower is located on the highest point in the area.