Joy FM
Joy FM
3 December 2024, 14:39
Wazazi na walezi wametakiwa kutokuwa sehemu ya kukwamisha na kuharibu ushahidi dhidi ya watau wanaotekeleza vitendo vya ukatili kwenye jamii. Na Josephine Kiravu Tukiwa katika muendelezo wa siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia Hakimu mfawidhi mahakama ya mkoa wa…
3 December 2024, 11:22
Mkuu wa Wilaya Kasulu Mkoani Kigoma Kanali Isac Mwakisu amesema serikali itaendelea kuwasaidia wakulima kwa kuwawezesha nyenzo mbalimbali zitakazowawezesha kulima kilimo chenye tija. Na Michael Mpunije – Kasulu Halmshauri ya wilaya ya Kasulu Mkoani Kigoma imekabidhi baiskeli 27 kwa wakulima…
2 December 2024, 15:42
Mwalimu mkuu wa shule ya msingi Ijunga Halmshauri ya Kasulu mji Wenseslaus Lugaya ameamua kutumia usafiri wa baiskeli kutoka Kigoma hadi jijini Dodoma lengo likiwa ni kutangaza miradi ambayo inatekelezwa ndani ya serikali ya awamu ya sita sambamba na kuhamasisha…
2 December 2024, 12:44
Viongozi waliochaguliwa katika uchaguzi wa Serikali za mitaa wametakiwa kuhakikisha wanalinda amani na usala katika maeneo yao. Na Hagai Ruyagila – Kasulu Mkuu wa wilaya ya Kasulu mkoani Kigoma Kanal Isaac Mwakisu amewataka viongozi wa serikali za vijiji na vitongoji…
29 November 2024, 17:23
Wakati tukiwa kwenye siku 16 za kupinga ukatilii wa kijinsia na elimu kuendelea kutolewa kwa jamii bado ukatilii wa aina mbalimbali umeendelea kufanyika. Na Hagai Ruyagila – Kasulu Mwanamke mmoja mkazi wa mtaa wa Mkapa kata ya Kumnyika halmashauri ya…
25 November 2024, 14:27
Askofu wa Kanisa Katoliki Jimbo la Kigoma Mhashamu Joseph Mlola amewataka vijana kuwa mstari mbele kukemea vitendo vya rushwa kwenye jamii hasa kipindi hiki cha uchaguzi wa Serikali za mitaa. Na Emmanuel Kamangu Vijana mkoani Kigoma wametakiwa kuhakikisha wanakemea ruswa…
21 November 2024, 12:54
Mkandarasi anayetajaiwa kujenga soko la mwanga na mwalo wa Katonga Manispaa ya Kigoma Ujiji ametakiwa kuanza ujenzi wa miradi hiyo ili iweze kukamilika kwa wakati na ubora unaotakiwa. Na Lucas Hoha – Kigoma Mkurugenzi wa Manispaa ya Kigoma Ujiji Kisena…
21 November 2024, 10:04
Wakati kampeni za uchaguzi wa Serikali za mitaa zikiwa zimenduliwa rasmi, viongozi wa chama cha mapinduzi wameomba serikali kuaidia kutatua changamoto za ukosefu wa umeme na migogoro ya ardhi. Na Emmanuel Kamangu – Kasulu Serikali kupitia chama cha mapinduzi ccm…
21 November 2024, 09:36
Serikali imesema tayari imekwisha tenga fedha za kuhakikisha inatatua changamoto zaukosefu wa umeme kwa wananchi wa mkoa wa Kigoma ili kuhakikisha umeme wa uhakika unakuwepo kupitia gridi ya Taifa. Na Hagai Ruyagila – Kasulu Waziri mkuu wa Jamhuri ya Muungano…
19 November 2024, 14:27
Kampeni za uchaguzi wa serikaili za mitaa zinazinduliwa rasmi kitaifa katika eneo la Kiganamo Hamlmashauri ya mji wa Kasulu na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Kassim Majaliwa. Na Hagai Ruyagila – Kasulu Wakati kampeni za uchaguzi…
Radio JOY 90.5 FM Kigoma is the community radio station broadcasting in Kigoma, which JOY owns IN THE HARVEST organization. We started full Broadcasting in February 2016. Radio JOY FM provides information that caters to the interest of the Kigoma region, Radio Joy broadcasts content that is popular to a local audience community. Radio Joy Fm carries news and information programming geared toward the local area, particularly where other media cannot reach the area and minority groups that are poorly served by other major media outlets. Radio joy as a platform to enable participation of communities in developing activities like
building schools, hospitals and influencing behavior change. We produce programs like Good morning Kigoma, “Harakati za Vijana”, Mashua, “Dimba la Michezo”, East Africa Show, Lunch Time and so on, to keep the value, languages and cultures of Kigoma Society alive on a daily basis. Radio Joy Fm Kigoma work as a means to promote values of access to education, economic and social justice, against class, gender, race, and caste based violence, and transparency in governance.
Missions
Visions
The Owner – The organization owns Radio JOY FM, Kigoma, called Joy in the Harvest, which has been in Kigoma for more than twenty-five years; Radio Joy has a special emphasis on helping the poor, the disabled, and the disadvantaged through the program we produce. Not only that but also we are glad to be part of something big, through the programs Radio Joy producing is able to bring positive change to the Kigoma community.
Radio JOY Location – Radio JOY 90.5 Fm Kigoma, has studios located on Kibirizi Road, Kigoma Town. We are just very few kilometers from Kigoma Railway Station. Our broadcast tower is located on the highest point in the area.