Joy FM
Joy FM
15 January 2025, 17:02
Serikali ya Tanzania inaendelea kudhibiti wahamiaji haramu kuingia nchini kinyume cha sheria lengo ikiwa ni kukabilia na vitendo vya uhalifu. Na James Jovin Madereva boda boda wilayani buhigwe mkoani kigoma wameonywa kuacha tabia ya kubeba wahamiaji haramu na kuwaingiza nchini…
15 January 2025, 13:00
Halmashauri ya Wilaya Kasulu inatekeleza programu ya mfuko wa mikopo kwa wanawake, vijana na watu wenye ulemavu kama ilivyo kwa Halmashauri zote nchini kufuatia agizo la Serikali la mwaka 1998 kuwa Halmashauri zote nchini zianzishe mfuko huo kwa kutenga asilimia…
15 January 2025, 12:34
Kutokana na umuhimu wa chakula kwa maisha ya binadamu, ustawi na maendeleo ya nchi, suala la kuhakikisha kuwa chakula ni salama kwa matumizi ya binadamu linapewa kipaumbele na kuzingatiwa kikamilifu kwa lengo la kulinda afya ya walaji na kuwezesha utoshelevu…
15 January 2025, 12:09
Kufanya kazi kwa bidii na kumiliki uchumi kwa mtu mmoja mmoja kunachangia pato la nchi kuinuka na kupanda zaidi Na Timotheo Leonard Waumini wa Kanisa la Pentekoste Motomoto PMC tawi la Kibirizi Manispaa ya Kigoma Ujiji wameshauriwa kufanyakazi kwabidii kwalengo…
14 January 2025, 14:09
Ni katika Sherehe Maalumu ya kumkabidhi zawadi ya Gari Askofu mstaafu wa Kanisa la Pentecostal Assemblies of God Tanzania P.A.G Michael Kulwa ambayo imenunuliwa na idara ya akina Mama wa Kanisa Na Lucas Hoha Idara ya akina Mama wa Kanisa…
14 January 2025, 12:47
Wananchi wa Kakonko wanatarajia kupata huduma za maji, afya, shule ikiwa ni miradi shikizi katika ujenzi wa barabara kuu ya Kabingo – Manyovu. Na Josephine Kiravu Naibu Waziri wa ujenzi Mhandisi Godfrey Kasekenya amewataka wakandarasi wanaosimamia miradi shikizi kupitia ujenzi…
13 January 2025, 14:27
Wavuvi Mkoani Kigoma wametakiwa wametakiwa kufuatailia utabiri wa hali ya hewa ili kuweza kufahamu muda gani wa kuingia ziwani kuvua na kuepuka dhoruba za upepo wawapo ziwani. Baadhi ya wavuvi katika Ziwa Tanganyika wamelalamikia changamoto ya upepo mkali na mvua…
13 January 2025, 13:35
Mahakama Kuu kanda ya Kigoma imemuhukumu kijana mmoja kunyogwa hadi kufa kwa kosa la mauaji huku vijana wengine wawili wakihukumiwa kwenda jela miaka 30 kila mmoja kwa makosa ya ubakaji.
13 January 2025, 13:01
Uomaji wa mapato na matumizi kwa wananchi ni miongoni mwa viyu ambavyo vinatajwa kuwa sehemu ya kushawishi wananchi kushiriki kikamilifu kwenye suala la maendeleo kwenye maeneo yao. Na Michael Mpunije – Kasulu Viongozi Serikali za vijiji halmashauri ya wilaya ya…
11 January 2025, 12:19
Siku chache baada ya madereva pikipiki maarufu bodaboda mjiji Kigoma kufanya maandamano kufuatia Oparesheni ya Jeshi la Polisi ya kamatakamata madereva ambao wanakiuka sheria za usalama barabarani iliyosababisha vurugu hatimaye Mkuu wa wilaya Kigoma ameitisha kikao na madereva hao ambapo…
Radio JOY 90.5 FM Kigoma is the community radio station broadcasting in Kigoma, which JOY owns IN THE HARVEST organization. We started full Broadcasting in February 2016. Radio JOY FM provides information that caters to the interest of the Kigoma region, Radio Joy broadcasts content that is popular to a local audience community. Radio Joy Fm carries news and information programming geared toward the local area, particularly where other media cannot reach the area and minority groups that are poorly served by other major media outlets. Radio joy as a platform to enable participation of communities in developing activities like
building schools, hospitals and influencing behavior change. We produce programs like Good morning Kigoma, “Harakati za Vijana”, Mashua, “Dimba la Michezo”, East Africa Show, Lunch Time and so on, to keep the value, languages and cultures of Kigoma Society alive on a daily basis. Radio Joy Fm Kigoma work as a means to promote values of access to education, economic and social justice, against class, gender, race, and caste based violence, and transparency in governance.
Missions
Visions
The Owner – The organization owns Radio JOY FM, Kigoma, called Joy in the Harvest, which has been in Kigoma for more than twenty-five years; Radio Joy has a special emphasis on helping the poor, the disabled, and the disadvantaged through the program we produce. Not only that but also we are glad to be part of something big, through the programs Radio Joy producing is able to bring positive change to the Kigoma community.
Radio JOY Location – Radio JOY 90.5 Fm Kigoma, has studios located on Kibirizi Road, Kigoma Town. We are just very few kilometers from Kigoma Railway Station. Our broadcast tower is located on the highest point in the area.