Joy FM

Recent posts

24 January 2025, 08:42

‘Wananchi bado wana uelewa mdogo wa kisheria’

Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Thobias Andengenye amewataka wananchi kujitokeza kushiriki kwenye kampeni ya Mama Samia Legal Aid ili waweze kupata elimu ya masuala ya kisheria. Na Josephine Kiravu Imeelezwa kuwa uelewa wa kisheria kwa wananchi hasa wanaoishi maeneo ya…

22 January 2025, 12:15

Wananchi wajitokeze kuchangia damu Kasulu

Changia damu okoa maisha ni kaulimbiu ambayo imekuwa ikitumika ili kuhamasisha uchangiaji damu kwa lengo la kuokoa maisha. Na Michael Mpunije Waumini wa dini ya Kiislamu kutoka Jumuiya ya Jai wilayani Kasulu mkoani Kigoma wamefanya matendo ya huruma kwa  kuchangia…

22 January 2025, 11:04

Baraza la madiwani Kigoma lapitisha rasimu ya bajeti bilioni 42

Zaidi ya Bil.42 makadirio mapato na matumizi Bil 5.2 zinatokana na mapato ya ndani mwaka wa fedha 2025-2026 zikitarjiwa kuelekezwa kwenye miradi ya kimkakati Na Luas Hoha Baraza la madiwani katika Manispaa ya Kigoma Ujiji limepitisha rasimu ya bajeti ya…

21 January 2025, 16:07

Wavuvi watakiwa kutumia zana zilizoainishwa kwa ajili ya uvuvi

Wavuvi wanaofanya shughuli zao katika ziwa Tanganyika wametakiwa kutumia zana za uvuvi zilizoruhusiwa na kuainishwa wakati wa kuvua ili kulinda mazalia ya samaki. Na Josephine Kiravu – Kigoma Waziri wa Mifugo na Uvuvi Dkt. Ashatu Kijaji amezindua kiwanda cha kuchakata…

21 January 2025, 14:23

Waziri wa uvuvi na mifugo aeleza serikali kuwawezesha wavuvi Kigoma

Serikali imesema itaendelea kuwawezesha wavuvi na wachakataji wa mazao ya uvuvi ili kuwasaidia kupata mazao yenye ushindani na kuongeza thamani. Na Tryphone Odace – Kigoma Waziri wa  Mifugo  na Uvuvi Dkt. Ashatu Kijaji amewasili Mkoani Kigoma na kupokelewa na Mwenyeji…

20 January 2025, 17:05

Askofu Mkuu Anglikana ataka wananchi kushiriki uchaguzi mkuu

Wakati Taifa likielekea kwenye uchaguzi mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani viongozi wa dini wameendelea kuhamasisha wananchi kushiriki katika uchaguzi huo ambao ndio utatoa mwelekeo wa miaka mitano ijayo. Na Hagai Ruyagila Askofu Mkuu wa Kanisa la Anglikana Tanzania Fabian…

20 January 2025, 11:44

Wakuu wa kaya watakiwa kujenga vyoo bora

Ujenzi wa vyoo bora kwa kila kaya inatajwa kuwa sehemu ya mapambano dhidi ya magonjwa ya mlipuko ikiwemo kipindupindu. Na Michael Mpunije Wakuu wa kaya Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu Mkoani Kigoma wametakiwa kujenga vyoo bora na kuzingatia kanuni za…

20 January 2025, 11:06

Watoto waliofaulu wapelekwe kidato cha kwanza

Kila mzazi ana wajibu wa kuhakikisha mtoto wake anapata haki ya elimu bora na elimu bora huanza na maandalizi bora kwa mtoto. Na Hagai Ruyagila Wazazi na walezi wilayani Kasulu mkoani Kigoma wametakiwa kutambua umuhimu wa elimu kwa kuwapeleka shule…

17 January 2025, 17:04

RC Kigoma apiga marufuku ukamataji holela pikipiki

Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Thobias Andengenye amelazimika kukutana na madereva bodaboda na kusikiliza Kero zao ikiwa ni wiki moja imepita tangu waandamane na kufunga barabara wakishnikiza Jeshi la Polisi kuacha kuwakata. Na Josephine Kiravu Mkuu wa Mkoa wa Kigoma…

16 January 2025, 11:03

DC Kigoma aagiza watuhumiwa wa ubakaji kukamatwa

Vitendo vya ubakaji vimeendelea kutokea licha ya elimu kutolewa na baadhi ya watuhumiwa wakichukuliwa hatua. Na Josephine Kiravu Mkuu wa Wilaya ya Kigoma Dr Mohamed Rashid Chuachua amemuagiza mkuu wa polisi wilaya ya Kigoma kuwakamata na kuhakikisha wanapelekwa mahakamani watuhumiwa…

Radio JOY Profile

Radio JOY 90.5 FM Kigoma is the community radio station broadcasting in Kigoma, which JOY owns IN THE HARVEST organization. We started full Broadcasting in February 2016. Radio JOY FM provides information that caters to the interest of the Kigoma region, Radio Joy broadcasts content that is popular to a local audience community. Radio Joy Fm carries news and information programming geared toward the local area, particularly where other media cannot reach the area and minority groups that are poorly served by other major media outlets. Radio joy as a platform to enable participation of communities in developing activities like

building schools, hospitals and influencing behavior change. We produce programs like Good morning Kigoma, “Harakati za Vijana”, Mashua, “Dimba la Michezo”, East Africa Show, Lunch Time and so on, to keep the value, languages and cultures of Kigoma Society alive on a daily basis. Radio Joy Fm Kigoma work as a means to promote values of access to education, economic and social justice, against class, gender, race, and caste based violence, and transparency in governance.

Missions

  • To be a voice to the voiceless
  • To influence behavior change from bad character to good character
  • To inspire Kigoma society to participate in development activities.
  • To create an awareness of local interests, views and cultures
  • To be a bridge of communication between government and society.

Visions

  • To bring Kigoma society together
  • To facilitate the sharing of information in Kigoma society.
  • To become a local radio that connects all people from different cultures to share their ideas and lifestyles.
  • To implement sustainable radio programs that improve access to information, and opportunity, and participate in and contribute to all aspects of life.

The Owner – The organization owns Radio JOY FM, Kigoma, called Joy in the Harvest, which has been in Kigoma for more than twenty-five years; Radio Joy has a special emphasis on helping the poor, the disabled, and the disadvantaged through the program we produce. Not only that but also we are glad to be part of something big, through the programs Radio Joy producing is able to bring positive change to the Kigoma community.

Radio JOY Location – Radio JOY 90.5 Fm Kigoma, has studios located on Kibirizi Road, Kigoma Town. We are just very few kilometers from Kigoma Railway Station. Our broadcast tower is located on the highest point in the area.