Joy FM

Recent posts

4 February 2025, 09:24

Mahakama kuu kuleta matumaini mapya kwa wananchi

Jaji Mfawidhi wa Mahakama kuu Tanzania kanda ya kigoma  Agostine  Rwezile ameomba kufanyika kwa marekebisho ya sheria ya hukumu ili kuhakikisha wananchi wanapata haki zao. Na Orida Sayon Amebainisha hayo mapema leo katika maadhimisho ya kilele cha wiki ya sheria yaliyofanyika…

31 January 2025, 13:07

Watumishi wa umma watakiwa kuzingatia utawala bora Buhigwe

Watumishi wa umma Wilayani Buhigwe Mkoani Kigoma wametakiwa kufanya kazi kwa kuzingatia utawala bora ili kuhakikisha wanafikia azma ya kufikisha maendeleo kwa wananchi. Na Emmanuel Kamangu Katibu tawala wa Wilaya ya Buhigwe Utefta Mahega amewataka Watumishi wa umma Wilaya ya…

31 January 2025, 12:11

Madiwani wapitisha bajeti ya shilingi bilioni 68.3 Geita

Madiwani katika Halmashauri ya Manispaa ya Geita wamesema bajeti hiyo itaenda kusaidia katika utekelezaji wa miradi ya maendeleo kwa wananchi Na Samwel Masunzu – Geita Baraza la madiwani la halmashauri ya manispaa ya Geita mkoani Geita limepitisha rasmu ya makadirio…

31 January 2025, 11:25

TAKUKURU Kigoma yabaini mapungufu miradi 31 ya maendeleo

Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa (TAKUKURU) mkoa wa Kigoma imebaini mapungufu madogo madogo katika miradi 31 ya maendeleo kati ya miradi 32. Na Orida Sayon Akitoa taarifa ya ufuatiliaji wa miradi ya maendeleo katika kipindi cha kuanzia mwezi…

30 January 2025, 15:17

Baraza la madiwani lapitisha bajeti ya bilioni 35 Kasulu

Serikalikatika halmashauri ya wilaya Kasulu imesema itaendelea kusimamia miradi ya maendeleo ili iweze kusaidia wananchi Na Hagai Ruyagila Baraza la madiwani halmashauri ya wilaya ya Kasulu mkoani Kigoma limepitisha bajeti ya zaidi ya shilingi bilioni 35 kwa mwaka wa fedha…

30 January 2025, 12:53

Wakimbizi waishio kambi ya Nduta watakiwa kurejea nchini kwao

Serikali imewataka wakimbizi kutoka nchini Burundi ambao wanahifadhiwa katika kambi ya wakimbizi Nduta kurejea nchini kwao kwani kwa sasa usalama wa nchi hiyo umekwisha imarika. Na Lucas Hoha Wakimbizi  wanaohifadhiwa kwenye kambi ya wakimbizi Nduta iliyopo Wilaya ya Kibondo wamekubali…

28 January 2025, 14:37

RC Kigoma akabidhi pikipiki na gari kusambaza chanjo

Serikali imesema itahakikisha inawafikia watoto katika zoezi la usambazaji wa chanzo katika wilaya za mkoa wa kigoma Na Josephine Kiravu Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Thobias Andengenye amekabidhi pikipiki 12 pamoja na gari moja kwa ajili ya kusambaza chanjo katika…

24 January 2025, 17:38

Kampuni ya itel yatoa vitu vya thamani ya milioni 100 kwa wakimbizi Kasulu

Wadau mbambaili wa maendeleo nchini wameaswa kuendelea kujitokeza kuwasaidia watu wanaoishi katika mazingira magumu wakiwemo wakimbizi wanaoishi katika kambi ya wakimbizi Nyarugusu. Na Emmanuel kamangu Kampuni ya simu ya itel nchini Tanzania imetoa vitu vyenye thamani ya zaidi million 100…

24 January 2025, 12:48

Kasulu mji yakabidhi milioni 34 kwa vikundi vitano

Utoaji wa mikopo kwa vikundi vya vijana, wanawake na watu wenye ulemavu inatajwa kuwa mkombozi kwa wanufaika wa mikopo hiyo kiuchumi. Na Hagai Ruyagila Halmashauri ya Mji Kasulu mkoani Kigoma imekabidhi hundi ya mkopo wa zaidi ya shilingi milioni 34…

24 January 2025, 09:06

Waziri Mbarawa aitaka TPA Kigoma kuimarisha utendaji kazi

Serikali imesema kuwa itaendelea kuboresha bandari nchi kwa lengo la kuwavutia wawekezaji kutoka ndani na nje ya nchi. Na Kadislaus Ezekiel Waziri wa Uchukuzi Profesa Makame Mbarawa amesema Serikali imedhamiria kuufungua mkoa wa kigoma  kupitia sekta ya usafirishaji kwa njia…

Radio JOY Profile

Radio JOY 90.5 FM Kigoma is the community radio station broadcasting in Kigoma, which JOY owns IN THE HARVEST organization. We started full Broadcasting in February 2016. Radio JOY FM provides information that caters to the interest of the Kigoma region, Radio Joy broadcasts content that is popular to a local audience community. Radio Joy Fm carries news and information programming geared toward the local area, particularly where other media cannot reach the area and minority groups that are poorly served by other major media outlets. Radio joy as a platform to enable participation of communities in developing activities like

building schools, hospitals and influencing behavior change. We produce programs like Good morning Kigoma, “Harakati za Vijana”, Mashua, “Dimba la Michezo”, East Africa Show, Lunch Time and so on, to keep the value, languages and cultures of Kigoma Society alive on a daily basis. Radio Joy Fm Kigoma work as a means to promote values of access to education, economic and social justice, against class, gender, race, and caste based violence, and transparency in governance.

Missions

  • To be a voice to the voiceless
  • To influence behavior change from bad character to good character
  • To inspire Kigoma society to participate in development activities.
  • To create an awareness of local interests, views and cultures
  • To be a bridge of communication between government and society.

Visions

  • To bring Kigoma society together
  • To facilitate the sharing of information in Kigoma society.
  • To become a local radio that connects all people from different cultures to share their ideas and lifestyles.
  • To implement sustainable radio programs that improve access to information, and opportunity, and participate in and contribute to all aspects of life.

The Owner – The organization owns Radio JOY FM, Kigoma, called Joy in the Harvest, which has been in Kigoma for more than twenty-five years; Radio Joy has a special emphasis on helping the poor, the disabled, and the disadvantaged through the program we produce. Not only that but also we are glad to be part of something big, through the programs Radio Joy producing is able to bring positive change to the Kigoma community.

Radio JOY Location – Radio JOY 90.5 Fm Kigoma, has studios located on Kibirizi Road, Kigoma Town. We are just very few kilometers from Kigoma Railway Station. Our broadcast tower is located on the highest point in the area.