Recent posts
20 November 2023, 14:24
Jamii Kigoma yashauriwa kushirikiana na serikali kukabiliana na uharibifu wa ma…
Serikali imesema itaendelea kuthamini mchango wa taasisi ya Jane Goodall katika kuhakikisha inatekeleza shughuli zake za utoaji wa elimu ya mazingira na kilimo kuitia ufadhili wa shirika la Kimarekani la USAID. Na Tryphone Odace Wadau wa maendeleo mkoani Kigoma wameshauriwa…
20 November 2023, 13:55
Uchumi wa wavuvi Kigoma kuchochewa na vifaa vya kisasa walivyokabidhiwa
Baadhi ya wavuvi wanaofanya shughuli za uvuvi ndani ya Ziwa Tanganyika mkoani Kigoma wanatarajia kujikwamua kiuchumi baada ya serikali kuwawezesha zana za kisasa za uvuvi ikiwemo boti 9 na vifaa vyake zenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 500. Na,…
20 November 2023, 08:57
leo hii katika magazeti 20/11/2023
16 November 2023, 17:03
Familia ya kijana aliyefariki Kakonko yaomba uchunguzi ufanyike
Familia ya Kijana Enock Elias aliyefariki katika mazingira ya kutatanisha yaomba uchunguzi dhidi ya waliohusika na mauaji hayo. Na Kadislaus Ezekiel Familia ya kijana Enock Elias Sabakwishi, mkazi wa kijiji cha Ilabiro kata ya Katanga wilaya ya Kakonko mkoani Kigoma,…
8 November 2023, 17:53
RUWASA yatatua kero ya maji Buhigwe
Wizara ya Maji Kupitia Wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini RUWASA wilayani Buhigwe mkoani Kigoma, wamefanikiwa kufikia asilimia 72.2 ya usambazaji wa huduma ya maji safi na salama kwa wananchi, na kupunguza kwa kiwango kikubwa cha ukosefu wa…
8 November 2023, 13:39
Takukuru yabaini mapungufu kwenye miradi minne ya maendeleo Kigoma
Vitendo vya rushwa vimeendelea kushamiri katika utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo hapa nchi hali inayochangia baadhi ya miradi hiyo kushindwa kukamilika kwa wakati. Na, Lucas Hoha Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Takukuru mkoa wa Kigoma imebaini mapungufu…
6 November 2023, 14:33
Wakristo watakiwa kutumia maandiko ya biblia kukemea ukatili kwenye jamii
Katika kukabiliana na vitendo vya ukatili kwenye jamii wanachama wa chama cha Biblia tawi la kigoma wamesema chama hicho kimekuwa saada kwa kutoa elimu kwa jamii ili kuwa na hofu ya mungu. Na, Lucas Hoha Wakiristo mkoani Kigoma wameshauriwa kuzingatia…
3 November 2023, 16:39
Watu wasiojulikana wavunja vibanda 13 vya biashara manispaa ya Kigoma
Kubomolewa kwa vibanda hivyo kunatajwa kuwarudisha nyuma wafanyabiashara wakubwa na wadogo kwani ndio sehemu pekee walitegeme kujipatia kipato. Na Emmanuel Matinde Watu wasiojulikana wanaokisiwa idadi yao kuwa ishirini wamevunja kuta za vibanda vya biashara 13 kati ya 25 vinavyojengwa katika…
1 November 2023, 15:32
Serikali kuendelea kutatua changamoto za wafanyabiashara Kigoma
Wafanyabiashara wameomba serikali kuweka mazingira rafiki ili waweze kufanya vizuri katika kufanya baishara ndani na nje ya nchi. Na Lucas Hoha Serikali imewahakikishia wafanyabiashara wa mkoa wa Kigoma kuwa inaendelea kutatua changamoto na vikwazo vinavyowafanya kushindwa kufanya biashara ikiwemo kuboresha…
25 October 2023, 16:07
Sababu ya kutoa chanjo ya polio watoto chini ya miaka 8 yabainishwa
Zaidi ya watoto Laki tatu na elfu hamsini wenye umri chini ya miaka 8 Wilaya ya Kasulu Mkoani Kigoma wanatarajiwa kupatiwa chanjo ya polio awamu ya pili ili kuwakinga na ugonjwa wa polio. Na, Hagai Ruyagila Hayo yamebainishwa na katibu…