Joy FM
Joy FM
12 December 2024, 12:51
Mkuu wa wilaya ya Kasulu Kanal Isaac Mwakisu ameliagiza baraza la madiwani la halmashauri ya Mji Kasulu mkoani Kigoma kuhakikisha wanafuatilia watoto wenye umri wa kwenda shule wanaandikishwa ili kuanza elimu ya awali na msingi na wale waliofaulu kujiunga kidato…
12 December 2024, 09:21
Meneja wa mamlaka ya udhibiti wa nishati na maji EWURA Kanda ya Magharibi Mhandisi Walter Christopher amewataka wadau wa masuala ya uuzaji wa mafuta kutumia fursa ya kuwekeza katika maeneo ya vijijini ambako kuna uhaba mkubwa wa vituo vya mafuta.…
12 December 2024, 09:21
Idara ya elimu Wilayani Kasulu Mkoani Kigoma imetakiwa kuanza kufuatilia walimu ambao hawawajibiki ipasavyo katika suala la ufundishaji hali inayosababisha matokeo kuendelea kuporomoka katika wilaya hiyo hasa katika matokeo ya darasa la saba. Na Michael Mpunije – Kasulu Mkuu wa…
11 December 2024, 16:12
Ili kuwa na vionozi wenye maadili mema vijana wanapaswa kuandaliwa wakiwa bado katika umri mdogo Na Josephine Kiravu Baadhi ya vijana Mkoani Kigoma wameiomba Serikali kuwapatia elimu ya kujitegemea ili kuondokana na dhana ambayo imejengeka kwamba vijana wengi wamekuwa wapambe…
11 December 2024, 13:23
Wito umetolewa kwa wadau mbalimbali wa maendeleo kuendelea kushirkiana kutoa elimu na kuchukua hatua dhidi ya vitendo vya ukatili ambavyo vinaonekana kuendelea kuongezka Mkoani Kigoma Na Emmanuel Kamangu – Kasulu Zaidi ya matukio 1900 ya ukatili kwa wanawake na watoto…
11 December 2024, 11:32
Kuendelea kupiga vita vitendo vya ukatili Viongozi wa dini wameendelea kuwasisitiza waumini wa madhehebu mbalimbali kuliombea Taifa. Waumini wa dini ya kikristo Wilayani Kasulu Mkoani Kigoma wametakiwa kuliombea taifa la Tanzania kuendelea kuwa na amani ili kuepuka vitendo vya ukatili…
11 December 2024, 09:42
Katibu tawala Wilaya Kasulu Mkoani Kigoma amewataka viongozi kuhakikisha wanafanya juhudi zote za kuwashirikisha wananchi kwenye utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maenedeleo ili kusaidia kutogomea miradi au kuhujumiwa katika maeneo yao. Na Michael Mpunije – Kasulu Viongozi wa Serikali za…
10 December 2024, 16:36
Wakati elimu mbalimbali ikiendelea kutolewa juu ya vitendo vya ukatili, jamii imetakiwa kuwa pamoja na kutoa taarifa za vitendo hivyo. Na Hagai Ruyagila – Kasulu Inaelezwa kuwa kuongezeka kwa vitendo vya ukatili dhidi ya wanawake, watoto pamoja na wanaume kunatokana…
10 December 2024, 15:18
Jeshi la Kujenga Taifa JKT Mtabila wilayani Kasulu mkoani Kigoma wameshiriki zoezi la kuchangia damu kwa hiari katika hospitali ya halmashauri ya wilaya ya Kasulu Nyamnyusi ili kuwasaidia wahitaji wa damu wanaofika katika hospitali hiyo. Akizungumza mara baada ya kutamatika…
9 December 2024, 15:12
Wananchi katika Halmashauri ya Mji wa Kasulu Mkoani Kigoma wametakiwa kuzingatia suala la usafi wa mazingira ili kuhakikisha hakuna mlipuko wa magonjwa. Na Hagai Ruyagila – Kasulu Watendaji wa kata na mitaa halmashauri ya Mji Kasulu mkoani Kigoma wametakiwa kuhakikisha…
Radio JOY 90.5 FM Kigoma is the community radio station broadcasting in Kigoma, which JOY owns IN THE HARVEST organization. We started full Broadcasting in February 2016. Radio JOY FM provides information that caters to the interest of the Kigoma region, Radio Joy broadcasts content that is popular to a local audience community. Radio Joy Fm carries news and information programming geared toward the local area, particularly where other media cannot reach the area and minority groups that are poorly served by other major media outlets. Radio joy as a platform to enable participation of communities in developing activities like
building schools, hospitals and influencing behavior change. We produce programs like Good morning Kigoma, “Harakati za Vijana”, Mashua, “Dimba la Michezo”, East Africa Show, Lunch Time and so on, to keep the value, languages and cultures of Kigoma Society alive on a daily basis. Radio Joy Fm Kigoma work as a means to promote values of access to education, economic and social justice, against class, gender, race, and caste based violence, and transparency in governance.
Missions
Visions
The Owner – The organization owns Radio JOY FM, Kigoma, called Joy in the Harvest, which has been in Kigoma for more than twenty-five years; Radio Joy has a special emphasis on helping the poor, the disabled, and the disadvantaged through the program we produce. Not only that but also we are glad to be part of something big, through the programs Radio Joy producing is able to bring positive change to the Kigoma community.
Radio JOY Location – Radio JOY 90.5 Fm Kigoma, has studios located on Kibirizi Road, Kigoma Town. We are just very few kilometers from Kigoma Railway Station. Our broadcast tower is located on the highest point in the area.