Joy FM

Recent posts

14 January 2025, 14:09

Akina mama watakiwa kuheshimu wenza wao

Ni katika Sherehe Maalumu ya kumkabidhi zawadi ya Gari Askofu mstaafu wa Kanisa la Pentecostal Assemblies of God Tanzania P.A.G Michael Kulwa ambayo imenunuliwa na idara ya akina Mama wa Kanisa Na Lucas Hoha Idara ya akina Mama  wa Kanisa…

14 January 2025, 12:47

Miradi shikizi kukamilika kwa wakati Kigoma

Wananchi wa Kakonko wanatarajia kupata huduma za maji, afya, shule ikiwa ni miradi shikizi katika ujenzi wa barabara kuu ya Kabingo – Manyovu. Na Josephine Kiravu Naibu Waziri wa ujenzi Mhandisi Godfrey Kasekenya amewataka wakandarasi wanaosimamia miradi shikizi kupitia ujenzi…

13 January 2025, 14:27

Wavuvi ziwa Tanganyika walia na upepo mkali mitumbwi ikipotea

Wavuvi Mkoani Kigoma wametakiwa wametakiwa kufuatailia utabiri wa hali ya hewa ili kuweza kufahamu muda gani wa kuingia ziwani kuvua na kuepuka dhoruba za upepo wawapo ziwani. Baadhi ya wavuvi katika Ziwa Tanganyika wamelalamikia changamoto ya upepo mkali na mvua…

13 January 2025, 13:35

Ahukumiwa kunyongwa kwa kosa la mauaji Kigoma

Mahakama Kuu kanda ya Kigoma imemuhukumu kijana mmoja kunyogwa hadi kufa kwa kosa la mauaji huku vijana wengine wawili wakihukumiwa kwenda jela miaka 30 kila mmoja kwa makosa ya ubakaji.

13 January 2025, 13:01

Viongozi wa vijiji watakiwa kusoma mapato na matumizi

Uomaji wa mapato na matumizi kwa wananchi ni miongoni mwa viyu ambavyo vinatajwa kuwa sehemu ya kushawishi wananchi kushiriki kikamilifu kwenye suala la maendeleo kwenye maeneo yao. Na Michael Mpunije – Kasulu Viongozi Serikali za vijiji halmashauri ya wilaya ya…

11 January 2025, 12:19

DC Kigoma ashughulikia changamoto za bodaboda

Siku chache baada ya madereva pikipiki maarufu bodaboda mjiji Kigoma kufanya maandamano kufuatia Oparesheni ya Jeshi la Polisi ya kamatakamata madereva ambao wanakiuka sheria za usalama barabarani iliyosababisha vurugu hatimaye Mkuu wa wilaya Kigoma ameitisha kikao na madereva hao ambapo…

10 January 2025, 13:41

Wenyeviti wa vijiji na vitongoji watakiwa kutatua kero za wananchi Kasulu

Serikali imesema itaendelea kuhakikisha wananchi wanashirikiana na viongozi wa Serikali za mitaa katika utekelezaji wa miradi ya maendeleo na kutatua changamoto za wananchi. Na Hagai Ruyagila – Kasulu Wenyeviti wa vijiji na Vitongoji halmashauri ya wilaya ya Kasulu mkoani Kigoma…

10 January 2025, 12:39

DED Buhigwe atakiwa kusimamia ujenzi sekondari Kahimba.

wakati shule zikitarajiwa kufunguliwa wiki ijayo jumatatu ya januari 13 ambapo maelengo ya serikali ni kuhakikisha miundombinu ya madarasa inakuwa tayari na wanafunzi kuanza kuyatumia. Na Josephine Kiravu. Katibu Tawala mkoa wa Kigoma Hassan Rugwa amemtaka Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri…

9 January 2025, 16:38

Bodaboda walia na kamatakamata ya polisi Kigoma

Baadhi ya madereva Bodaboda katika Manispaa ya Kigoma Ujiji Mkoani Kigoma wamefanya maandamano kupinga kamatakamata ya vyombo  vya  moto inayoendelea Mjini Kigoma na kuomba Jeshi la Polisi kikosi cha usalama barabarani kulitafutia ufumbuzi suala hilo. Wakizungumza na Radio Joy Fm,…

8 January 2025, 13:05

Wavuvi washauriwa kufuga samaki kutumia vizimba

Ili kuhakikisha samaki zinaongezeka ndani ya ziwa Tanganyika, serikaliimeendelea kuweka mikakati mbalimbali ya kuwawezesha wavuvi na kuwahimiza kutumia vizimba ambavyo vitatumika kwa ajili ya ufugaji wa samaki na kusaidia kuharibu mazalia ya samaki ndani ya ziwa hilo. Na Timotheo Leonard…

Radio JOY Profile

Radio JOY 90.5 FM Kigoma is the community radio station broadcasting in Kigoma, which JOY owns IN THE HARVEST organization. We started full Broadcasting in February 2016. Radio JOY FM provides information that caters to the interest of the Kigoma region, Radio Joy broadcasts content that is popular to a local audience community. Radio Joy Fm carries news and information programming geared toward the local area, particularly where other media cannot reach the area and minority groups that are poorly served by other major media outlets. Radio joy as a platform to enable participation of communities in developing activities like

building schools, hospitals and influencing behavior change. We produce programs like Good morning Kigoma, “Harakati za Vijana”, Mashua, “Dimba la Michezo”, East Africa Show, Lunch Time and so on, to keep the value, languages and cultures of Kigoma Society alive on a daily basis. Radio Joy Fm Kigoma work as a means to promote values of access to education, economic and social justice, against class, gender, race, and caste based violence, and transparency in governance.

Missions

  • To be a voice to the voiceless
  • To influence behavior change from bad character to good character
  • To inspire Kigoma society to participate in development activities.
  • To create an awareness of local interests, views and cultures
  • To be a bridge of communication between government and society.

Visions

  • To bring Kigoma society together
  • To facilitate the sharing of information in Kigoma society.
  • To become a local radio that connects all people from different cultures to share their ideas and lifestyles.
  • To implement sustainable radio programs that improve access to information, and opportunity, and participate in and contribute to all aspects of life.

The Owner – The organization owns Radio JOY FM, Kigoma, called Joy in the Harvest, which has been in Kigoma for more than twenty-five years; Radio Joy has a special emphasis on helping the poor, the disabled, and the disadvantaged through the program we produce. Not only that but also we are glad to be part of something big, through the programs Radio Joy producing is able to bring positive change to the Kigoma community.

Radio JOY Location – Radio JOY 90.5 Fm Kigoma, has studios located on Kibirizi Road, Kigoma Town. We are just very few kilometers from Kigoma Railway Station. Our broadcast tower is located on the highest point in the area.