Joy FM
Joy FM
15 May 2025, 15:52
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amepewa pongezi na kuchangiwa fedha kwa ajili kuchukua fomu ya kugombea Urais baada ya kazi yake iliyotukuka katika utekelezaji wa miradi ya maendeleo. Na Hagai Ruyagila Baraza la Madiwani…
12 May 2025, 12:54
Viongozi wa dini na jamii wameaswa kuliombea Taifa dhidi ya matukio yanaendelea kwenye jamii ambayo yanaweza kuleta uvunjifu wa amani. Na Tryphone Odace Askofu wa Jimbo Katoliki la Kigoma Joseph Mlola amewataka waumini wa kanisa hilo na watanzania kwa ujumla…
9 May 2025, 16:54
Jamii Mkoani Kigoma imetakiwa kuzingatia suala la lishe bora kwa watoto. Na Michael Mpunije Shirika la umoja wa mataifa la Chakula na Kilimo FAO limetoa wito kwa wanaume mkoani Kigoma kushirikiana na wenza wao katika kufanya maandalizi ya chakula ili…
9 May 2025, 12:54
Serikali imesema itaendelea kuweka mazingira wezeshi kwa wakulima wa pamba ili waweze kulima pamba kwa wingi. Na Hagai Ruyagila Wakulima wa zao la pamba wilayani Kasulu, mkoani Kigoma, wameiomba serikali kuongeza bei ya ununuzi wa zao hilo ili wakulima waweze…
9 May 2025, 10:45
“misingi inayoendelea kuwekwa na chama cha chadema ni misingi inayorudisha uhai wa chama hicho kwa asilimia kubwa” Na Mwandishi wetu Chama cha Demokrasia na maendeleo Chadema wilayani kasulu kupitia Kikao cha baraza la mashauriano ambacho kimeshirikisha viongozi mbali mbali wa…
8 May 2025, 13:56
Kwa mujibu wa Takwimu za Ofisi ya Ustawi wa Jamii, kati ya mwezi March hadi April mwaka 2025 pekee kuna zaidi ya watoto 150 walitelekezwa katika Wilaya ya Kigoma. Hii leo wengi wa watoto hawa wanaishi mtaani, hawawajui wazazi wao…
7 May 2025, 13:27
6 May 2025, 12:24
Licha ya shuruba wanazokutana nazo wananchi wanaoishi katika maeneo yaliyoathirika mafuriko Katika Manispaa ya Kigoma Ujiji, baadhi ya vijana wametumia mafuriko hayo kuwa fursa kwa kujipatia kipato kupitia kuwabeba watu wanaovuka. Na Josephine Kiravu Baadhi ya vijana katika eneo la…
5 May 2025, 15:17
Halmashauri ya Mji wa Kasulu Mkoani Kigoma imevuka lengo la ukasanyaji wa mapato ya ndani kwa asilimia 102. Na Hagai Ruyagila Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Mji Kasulu mkoani Kigoma limempongeza Mkurugenzi wa halmashauri hiyo Mwl, Vumilia Simbeye kwa…
5 May 2025, 13:01
Serikali imekabidhi msaada wa vitumbalimbali kwa waathirika wa mafuriko eneo la Katubuka Manispaa ya Kiagoma Ujiji. Na Emmanuel Senny Idara ya Menejimenti ya Maafa Ofisi ya Waziri Mkuu imekabidhi msaada wa vifaa mbalimbali kwa Mkuu wa Mkoa wa Kigoma kwa…
Radio JOY 90.5 FM Kigoma is the community radio station broadcasting in Kigoma, which JOY owns IN THE HARVEST organization. We started full Broadcasting in February 2016. Radio JOY FM provides information that caters to the interest of the Kigoma region, Radio Joy broadcasts content that is popular to a local audience community. Radio Joy Fm carries news and information programming geared toward the local area, particularly where other media cannot reach the area and minority groups that are poorly served by other major media outlets. Radio joy as a platform to enable participation of communities in developing activities like
building schools, hospitals and influencing behavior change. We produce programs like Good morning Kigoma, “Harakati za Vijana”, Mashua, “Dimba la Michezo”, East Africa Show, Lunch Time and so on, to keep the value, languages and cultures of Kigoma Society alive on a daily basis. Radio Joy Fm Kigoma work as a means to promote values of access to education, economic and social justice, against class, gender, race, and caste based violence, and transparency in governance.
Missions
Visions
The Owner – The organization owns Radio JOY FM, Kigoma, called Joy in the Harvest, which has been in Kigoma for more than twenty-five years; Radio Joy has a special emphasis on helping the poor, the disabled, and the disadvantaged through the program we produce. Not only that but also we are glad to be part of something big, through the programs Radio Joy producing is able to bring positive change to the Kigoma community.
Radio JOY Location – Radio JOY 90.5 Fm Kigoma, has studios located on Kibirizi Road, Kigoma Town. We are just very few kilometers from Kigoma Railway Station. Our broadcast tower is located on the highest point in the area.