Joy FM
Joy FM
30 January 2025, 15:17
Serikalikatika halmashauri ya wilaya Kasulu imesema itaendelea kusimamia miradi ya maendeleo ili iweze kusaidia wananchi Na Hagai Ruyagila Baraza la madiwani halmashauri ya wilaya ya Kasulu mkoani Kigoma limepitisha bajeti ya zaidi ya shilingi bilioni 35 kwa mwaka wa fedha…
30 January 2025, 12:53
Serikali imewataka wakimbizi kutoka nchini Burundi ambao wanahifadhiwa katika kambi ya wakimbizi Nduta kurejea nchini kwao kwani kwa sasa usalama wa nchi hiyo umekwisha imarika. Na Lucas Hoha Wakimbizi wanaohifadhiwa kwenye kambi ya wakimbizi Nduta iliyopo Wilaya ya Kibondo wamekubali…
28 January 2025, 14:37
Serikali imesema itahakikisha inawafikia watoto katika zoezi la usambazaji wa chanzo katika wilaya za mkoa wa kigoma Na Josephine Kiravu Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Thobias Andengenye amekabidhi pikipiki 12 pamoja na gari moja kwa ajili ya kusambaza chanjo katika…
24 January 2025, 17:38
Wadau mbambaili wa maendeleo nchini wameaswa kuendelea kujitokeza kuwasaidia watu wanaoishi katika mazingira magumu wakiwemo wakimbizi wanaoishi katika kambi ya wakimbizi Nyarugusu. Na Emmanuel kamangu Kampuni ya simu ya itel nchini Tanzania imetoa vitu vyenye thamani ya zaidi million 100…
24 January 2025, 12:48
Utoaji wa mikopo kwa vikundi vya vijana, wanawake na watu wenye ulemavu inatajwa kuwa mkombozi kwa wanufaika wa mikopo hiyo kiuchumi. Na Hagai Ruyagila Halmashauri ya Mji Kasulu mkoani Kigoma imekabidhi hundi ya mkopo wa zaidi ya shilingi milioni 34…
24 January 2025, 09:06
Serikali imesema kuwa itaendelea kuboresha bandari nchi kwa lengo la kuwavutia wawekezaji kutoka ndani na nje ya nchi. Na Kadislaus Ezekiel Waziri wa Uchukuzi Profesa Makame Mbarawa amesema Serikali imedhamiria kuufungua mkoa wa kigoma kupitia sekta ya usafirishaji kwa njia…
24 January 2025, 08:42
Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Thobias Andengenye amewataka wananchi kujitokeza kushiriki kwenye kampeni ya Mama Samia Legal Aid ili waweze kupata elimu ya masuala ya kisheria. Na Josephine Kiravu Imeelezwa kuwa uelewa wa kisheria kwa wananchi hasa wanaoishi maeneo ya…
22 January 2025, 12:15
Changia damu okoa maisha ni kaulimbiu ambayo imekuwa ikitumika ili kuhamasisha uchangiaji damu kwa lengo la kuokoa maisha. Na Michael Mpunije Waumini wa dini ya Kiislamu kutoka Jumuiya ya Jai wilayani Kasulu mkoani Kigoma wamefanya matendo ya huruma kwa kuchangia…
22 January 2025, 11:04
Zaidi ya Bil.42 makadirio mapato na matumizi Bil 5.2 zinatokana na mapato ya ndani mwaka wa fedha 2025-2026 zikitarjiwa kuelekezwa kwenye miradi ya kimkakati Na Luas Hoha Baraza la madiwani katika Manispaa ya Kigoma Ujiji limepitisha rasimu ya bajeti ya…
21 January 2025, 16:07
Wavuvi wanaofanya shughuli zao katika ziwa Tanganyika wametakiwa kutumia zana za uvuvi zilizoruhusiwa na kuainishwa wakati wa kuvua ili kulinda mazalia ya samaki. Na Josephine Kiravu – Kigoma Waziri wa Mifugo na Uvuvi Dkt. Ashatu Kijaji amezindua kiwanda cha kuchakata…
Radio JOY 90.5 FM Kigoma is the community radio station broadcasting in Kigoma, which JOY owns IN THE HARVEST organization. We started full Broadcasting in February 2016. Radio JOY FM provides information that caters to the interest of the Kigoma region, Radio Joy broadcasts content that is popular to a local audience community. Radio Joy Fm carries news and information programming geared toward the local area, particularly where other media cannot reach the area and minority groups that are poorly served by other major media outlets. Radio joy as a platform to enable participation of communities in developing activities like
building schools, hospitals and influencing behavior change. We produce programs like Good morning Kigoma, “Harakati za Vijana”, Mashua, “Dimba la Michezo”, East Africa Show, Lunch Time and so on, to keep the value, languages and cultures of Kigoma Society alive on a daily basis. Radio Joy Fm Kigoma work as a means to promote values of access to education, economic and social justice, against class, gender, race, and caste based violence, and transparency in governance.
Missions
Visions
The Owner – The organization owns Radio JOY FM, Kigoma, called Joy in the Harvest, which has been in Kigoma for more than twenty-five years; Radio Joy has a special emphasis on helping the poor, the disabled, and the disadvantaged through the program we produce. Not only that but also we are glad to be part of something big, through the programs Radio Joy producing is able to bring positive change to the Kigoma community.
Radio JOY Location – Radio JOY 90.5 Fm Kigoma, has studios located on Kibirizi Road, Kigoma Town. We are just very few kilometers from Kigoma Railway Station. Our broadcast tower is located on the highest point in the area.