Joy FM

Recent posts

1 February 2024, 10:49

Kigoma: Miradi ya kimkakati kuimarisha uchumi nchini, nchi jirani

Serikali imesema inaendelea kuhakikisha inaboresha miradi ya kimkakati kwenye sekta ya usafiri iliyopo ili kusaidia katika ukuaji wa uchumi hasa kupitia sekta ya usafirishaji kwa njia ya maziwa.  Na, Tryphone Odace. Meneja Mipango kutoka kampuni ya huduma za meli nchini…

1 February 2024, 10:11

Nyamori kupata shule ya sekondari kwa mara ya kwanza

Wananchi wa kijiji cha Nyamori kata ya Simbo katika wilaya ya Kigoma  wameipongeza serikali kwa juhudi za uboreshaji wa miundombinu ya elimu hasa ujenzi wa shule katika maeneo mbalimbali mkoani Kigoma. Wameeleza hayo wakati wakipokea mifuko 50 ya saruji kwa…

1 February 2024, 09:25

TAKUKURU yabaini mapungufu kwenye miradi 25 ya maendeleo Kigoma

Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Takukuru mkoani Kigoma imebaini mapungufu kwenye miradi 25 ya maendeleo yenye thamani ya zaidi ya shilingi bilioni 9 iliyofuatiliwa katika kipindi cha mwezi Oktoba hadi Desemba 2023. Na, Lucas Hoha Hayo yamebainishwa na…

31 January 2024, 12:47

Wananchi watakiwa kuendeleza maeneo yao Kasulu

Wananchi watakiwa kuendeleza maeneo yao ili yasitumike kutupwa takataka. Na Emmanuel Kamangu. Wananchi katika halmashauri ya mji wa Kasulu mkoani Kigoma wametakiwa kuendeleza maeneo yao ya viwanja ambayo yako wazi ili kuepuka kuwa na vichaka ambavyo haviakisi dhana ya usafi…

31 January 2024, 08:51

Wanawake, vijana kunufaika na mikopo kwa wakati

Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Mungano  wa  Tanzania Dkt.  Philip  Mpango  ameziagiza halmashauri zote  nchini  kuharakisha   mchakato wa  upatikanaji fedha  za maendeleo  ya  vijana,  wanawake   na watu wenye ulemavu  kwa lengo la kuchochea uchumi kwa jamii na taifa. Kadislaus…

26 January 2024, 15:51

Wananchi kunufaika na elimu ya sheria Buhigwe

Wakati tukiwa katika wiki ya sheria, Wananchi Wilayani Buhigwe Mkoani Kigoma wametakiwa kuendelea kufika katika vituo maalumu ambavyo vimeandaliwa kwa ajili ya kupata elimu ya kisheria. Na Emmanuel Kamangu.

26 January 2024, 10:01

Wananchi Kasulu wakerwa kuchangishwa 3,500 ujenzi wa daraja

Wananchi wa kata ya Nyansha wilaya ya Kasulu wameilalamikia serikali kwa kuwachangisha fedha kiasi cha shilingi 3,500 kila kaya ili kununua mawe ya kujengea daraja ikiwa huu ni mwaka wa tatu na hakuna kinachoendelea licha ya kila kaya kutoa kiasi…

25 January 2024, 16:23

Wapiga ramli chonganishi kukamatwa Kigoma

Wakuu wa Wilaya za Buhigwe na Kigoma wameagiza kukamatwa mara moja watu wote wanaojihusisha na Ramli Chonganishi maarufu kama Kamchape au Rambaramba, Wanaodaiwa Kupiga Ramli za chonganishi kwenye jamii. Mwanahabari Wetu Kadisilaus Ezekiel Anaripoti zaidi.

25 January 2024, 16:12

Wafanyabiashara walia na mpangilio mbovu wa masoko Kigoma

Wafanyabiashara katika manispaa ya Kigoma Ujiji, wamelalamikia mpangilio mbovu wa masoko ya kufanyia biashara, hali inayozorotesha uchumi na kushidwa kulipa Kodi baada ya Kuvunjwa soko la Mwanga na kuanzishwa masoko pasipokuwa na mkakati maalumu wa kuyaendeleza. Kadislaus Ezekiel na Taarifa…

25 January 2024, 16:04

Bilioni 30 kutumika mradi wa maji wa miji 28 Kasulu

Zaidi ya bilioni 30 zimetengwa na Serikali katika halmashauri ya mji kasulu kwa ajili ya ujenzi wa mradi wa maji wa miji 28 kasulu mjini ambao unajengwa kata ya kumnyika katika halmashauri hiyo. Michael Mpunije Kutoka Wilaya ya Kasulu ametuandalia…