Joy FM
Joy FM
6 February 2025, 11:56
Wadau mbalimbali wa maendeleo wametakiwa kuwa na desturi kuchangia kwenye maendeleo ya shule ili kuhakikisha wanafunzi wanasoma katika mazingira mazuri na kuongeza ufaulu Na Emmanuel Kamangu Jumla ya madawati 210 yenye thamani ya zaidi ya milioni 11 zimetengenezwa na diwani…
4 February 2025, 11:47
Mahakama kuu Masjala ndogo ya Geita Mkoani Geita imesema matumizi ya teknolojia imesaidia kuharakisha na kumaliza mashauri kwa wakati Imeelezwa kuwa matumizi ya mfumo wa tekonojia TEHAMA katika uendeshaji wa shughuli za kimahakama umesaidia kumaliza mashauri ndani ya wakati na kwa haraka…
4 February 2025, 11:26
Serikali katika Halmashauri ya Mji Kasulu imesema kupitia bajeti iliyopitishwa kuweka kipaumbele cha ununuzi wa madawati katika halmashauri hiyo ili kusaidia kupunguza uhaba wa madawati uliopo katika shule mbalimbali. Na Michael Mpunije Idara ya Elimu halmashauri ya mji Kasulu mkoani…
4 February 2025, 10:53
Madereva wa maroli katika Halmashauri ya Mji wa Kasulu wametakiwa kuzingatia sheria na kuacha kupaki magari yao pembezoni mwa barabara. Na Emmanuel Kamangu Baraza la madiwani halamshauri ya mji wa Kasulu limemuagiza mkurugenzi wa mji kasulu kuhakikisha anawashugulikia madereva wote…
4 February 2025, 10:13
Zikiwa zimetamatika siku 10 za kampeni ya msaada wa kisheria kwa mkoa wa Kigoma, wananchi wameiomba mamlaka zinazohusika kuwachukulia hatua za kisheria wanaotekeleza vitendo vya ukatili ikiwemo utelekezaji wa watoto. Na, Josephine Kiravu Kwenye kampeni ya msaada wa kisheria kwa…
4 February 2025, 09:45
Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa TAKUKURU mkoa wa Geita imebaini mapungufu makubwa kwenye miradi 4 yenye thaani ya shilingi bilioni 1 milioni 45 na laki 6 kati ya miradi 34 yenye thamani ya shilingi bilioni 16.6 iliyofanyiwa ufuatiliaji mkoani humo…
4 February 2025, 09:24
Jaji Mfawidhi wa Mahakama kuu Tanzania kanda ya kigoma Agostine Rwezile ameomba kufanyika kwa marekebisho ya sheria ya hukumu ili kuhakikisha wananchi wanapata haki zao. Na Orida Sayon Amebainisha hayo mapema leo katika maadhimisho ya kilele cha wiki ya sheria yaliyofanyika…
31 January 2025, 13:07
Watumishi wa umma Wilayani Buhigwe Mkoani Kigoma wametakiwa kufanya kazi kwa kuzingatia utawala bora ili kuhakikisha wanafikia azma ya kufikisha maendeleo kwa wananchi. Na Emmanuel Kamangu Katibu tawala wa Wilaya ya Buhigwe Utefta Mahega amewataka Watumishi wa umma Wilaya ya…
31 January 2025, 12:11
Madiwani katika Halmashauri ya Manispaa ya Geita wamesema bajeti hiyo itaenda kusaidia katika utekelezaji wa miradi ya maendeleo kwa wananchi Na Samwel Masunzu – Geita Baraza la madiwani la halmashauri ya manispaa ya Geita mkoani Geita limepitisha rasmu ya makadirio…
31 January 2025, 11:25
Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa (TAKUKURU) mkoa wa Kigoma imebaini mapungufu madogo madogo katika miradi 31 ya maendeleo kati ya miradi 32. Na Orida Sayon Akitoa taarifa ya ufuatiliaji wa miradi ya maendeleo katika kipindi cha kuanzia mwezi…
Radio JOY 90.5 FM Kigoma is the community radio station broadcasting in Kigoma, which JOY owns IN THE HARVEST organization. We started full Broadcasting in February 2016. Radio JOY FM provides information that caters to the interest of the Kigoma region, Radio Joy broadcasts content that is popular to a local audience community. Radio Joy Fm carries news and information programming geared toward the local area, particularly where other media cannot reach the area and minority groups that are poorly served by other major media outlets. Radio joy as a platform to enable participation of communities in developing activities like
building schools, hospitals and influencing behavior change. We produce programs like Good morning Kigoma, “Harakati za Vijana”, Mashua, “Dimba la Michezo”, East Africa Show, Lunch Time and so on, to keep the value, languages and cultures of Kigoma Society alive on a daily basis. Radio Joy Fm Kigoma work as a means to promote values of access to education, economic and social justice, against class, gender, race, and caste based violence, and transparency in governance.
Missions
Visions
The Owner – The organization owns Radio JOY FM, Kigoma, called Joy in the Harvest, which has been in Kigoma for more than twenty-five years; Radio Joy has a special emphasis on helping the poor, the disabled, and the disadvantaged through the program we produce. Not only that but also we are glad to be part of something big, through the programs Radio Joy producing is able to bring positive change to the Kigoma community.
Radio JOY Location – Radio JOY 90.5 Fm Kigoma, has studios located on Kibirizi Road, Kigoma Town. We are just very few kilometers from Kigoma Railway Station. Our broadcast tower is located on the highest point in the area.