Joy FM
Joy FM
18 March 2025, 15:56
Kamati ya ushauri ya Mkoa wa Kigoma imepitia na kuridhia kupeleka mapendekezo ya vikao vya DCC kuhusu ugawaji wa majimbo pamoja na kubadili majina ya baadhi ya majimbo kwa tume huru ya Taifa ya uchaguzi kulingana na muongozo waliotoa hivi…
18 March 2025, 14:34
Chuo cha Taifa cha usafirishaji NIT chatoa elimu ya usalama barabarani kwa wananchi mkoani Kigoma Na Hagai Ruyagila Chuo Cha taifa cha usafirishaji NIT kupitia kituo chake cha kikanda cha umahiri katika usalama barabarani kimeandaa mafunzo ya usalama barabarani kwa…
17 March 2025, 15:27
Serikali yabaini Utekelezaji hafifu wa njia za kuimarisha usalama wa wanafunzi kuwa miongoni mwa changamoto zinazowakabili wanafunzi shuleni hasa wenye mahitaji maalumu Na Hagai Ruyagila Serikali ya Tanzania kupitia Wizara ya Elimu sayansi na Taknolojia kwa kushirikiana na Ofisi ya…
17 March 2025, 13:17
Kukamilika kwa ujenzi mradi wa reli ya kisasa SGR kwa kipande cha Tabora-Kigoma unatarajiwa kuwa chachu ya ukuaji wa uchumi na kufungua shughuli za usafirishaji Na Tryphone Odace Kamati ya kudumu ya Bunge ya uwekezaji na mitaji ya umma PIC…
14 March 2025, 16:43
Mkoani Kigoma Serikali imeendelea kutoa elimu pamoja na kupambana na kudhibiti ugonjwa wa maralia Na Lucas Hoha Vyandarua zaidi ya laki moja na thelathini vinatarajiwa kugawiwa bure kwa wakazi wa Manispaa ya Kigoma Ujiji kwa lengo lakudhibiti na kupambana na…
14 March 2025, 12:23
Halmashauri ya wilaya ya Kasulu inatarajia kupokea vyandarua vyenye dawa bila malipo zaidi ya laki 3 kwa wananchi watakao jiandikisha Na Hagai Ruyagila Watendaji wa kata halmashauri ya wilaya ya Kasulu mkoani Kigoma wametakiwa kusimamia kampeni ya ugawaji wa vyandarua…
11 March 2025, 15:11
Uhamasishaji na utoaji elimu endelevu ya matumizi ya nishati safi ya kupikia ni muhimu katika utekelezaji mpango wa serikali kwa mtanzania kutumia nishati hiyo ifikapo 2034 Na Hagai Ruyagila Serikali kuu kupitia Wakala wa Nishati Vijijini REA imetoa majiko banifu…
10 March 2025, 13:43
Serikali na mashirika yanayohudumia wakimbizi katika kambi ya Nyarugusu iliyopo Wilayani Kasulu Mkoani Kigoma wamewataka vijana kuachana na makundi yanayoweza kuwaingiza katika kufanya vitendo viovu ambavyo vinaweza kusababisha uvunjifu wa amani ndani ya kambi na nje. Na Tryphone Odace Vijana…
7 March 2025, 14:40
Mawakala wa mabasi wanaofanya shughuli zao katika mkoa wa Kigoma na Tabora wanaofanya shughuli za usafirishaji wameaswa kuzingatia kanuni za ushafirishaji. Na Orisa Sayon Chama cha Mawakala wa mabasi Kigoma na Tabora (KITA) kwa kushirikiana na Jumuiya ya wacongomani waishio…
7 March 2025, 09:43
Jamii mkoani Kigoma imeaswa kuwa na desturi ya kupanda miti ili kusaidia kuendelea kutunza mazingira na kupunguza mabadiliko ya tabianchi. Na Timotheo Leonad Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira NEMC Kanda ya Magharibi, imegawa miti zaidi ya…
Radio JOY 90.5 FM Kigoma is the community radio station broadcasting in Kigoma, which JOY owns IN THE HARVEST organization. We started full Broadcasting in February 2016. Radio JOY FM provides information that caters to the interest of the Kigoma region, Radio Joy broadcasts content that is popular to a local audience community. Radio Joy Fm carries news and information programming geared toward the local area, particularly where other media cannot reach the area and minority groups that are poorly served by other major media outlets. Radio joy as a platform to enable participation of communities in developing activities like
building schools, hospitals and influencing behavior change. We produce programs like Good morning Kigoma, “Harakati za Vijana”, Mashua, “Dimba la Michezo”, East Africa Show, Lunch Time and so on, to keep the value, languages and cultures of Kigoma Society alive on a daily basis. Radio Joy Fm Kigoma work as a means to promote values of access to education, economic and social justice, against class, gender, race, and caste based violence, and transparency in governance.
Missions
Visions
The Owner – The organization owns Radio JOY FM, Kigoma, called Joy in the Harvest, which has been in Kigoma for more than twenty-five years; Radio Joy has a special emphasis on helping the poor, the disabled, and the disadvantaged through the program we produce. Not only that but also we are glad to be part of something big, through the programs Radio Joy producing is able to bring positive change to the Kigoma community.
Radio JOY Location – Radio JOY 90.5 Fm Kigoma, has studios located on Kibirizi Road, Kigoma Town. We are just very few kilometers from Kigoma Railway Station. Our broadcast tower is located on the highest point in the area.