Joy FM
Joy FM
27 August 2025, 16:36
Vijana waliohitimu mafunzo ya awali ya Jeshi la akiba wameaswa kuwa wazalendo Na Lucas Hoha Mkuu wa Wilaya ya Kigoma Dkt Rashird Chuachua amewataka vijana waliohitimu mafunzo ya awali ya jeshi la akiba kuwa wazalendo katika kulinda na kuhakikisha nchi…
27 August 2025, 13:56
Idadi ya watoto wa kike wanaosoma masomo ya sayansi imeendelea kuongezeka na hiii ni kutokana na jitihadi mbalimbali za Serikali na wadau wengine katika kuwahamasisha kupenda masomo ya sayansi Na Hagai Ruyagila Halmashauri ya Mji Kasulu mkoani Kigoma imefanikiwa kutumia…
25 August 2025, 16:37
Mmiliki wa shule za Hekima zilizopo Mjini Kasulu Mkoani Kigoma Fedia Yaredi amesema ataendelea kusimamia shule hizo ili zieweze kutoa elimu bora kwa watoto Na Hagai Ruyagila Wamiliki wa shule binafsi wilayani Kasulu mkoani Kigoma wameshauriwa kukubaliana na mabadiliko ya…
25 August 2025, 14:08
Wito umetolewa kwa shule binafsi kuanza kufuata mabadiliko ya mtaala mpya ambao umetolewa na serikali ili kuboresha sekta ya elimu nchini. Na Sofia Cosmas Watumishi wa umma na sekta binasi katika Manispaa ya Kigoma Ujiji wametakiwa kuondoa utengano na chuki…
25 August 2025, 13:00
Serikali Mkoani Kigoma imesema itaendelea kuhamasisha wananchi kuhakikisha wanaweka mazingira wezeshi kwa ajili watoto hasa wa kike ili waweze kupata elimu. Na Hagai Ruyagila Maafisa elimu na Waalimu kutoka halmashauri mbalimbali za mkoa wa Kigoma wametakiwa kuhakikisha wanazingatia na kutumia…
20 August 2025, 16:08
Wagombea waendelea kuchukua fomu za kugombea na kuahidi kushirikiana na wananchi Na HagaiRuyagila Wananchi wa Kata ya Mwilamvya, wilayani Kasulu Mkoani Kigoma wametakiwa kudumisha umoja, mshikamano na kuachana na makundi ya kisiasa yanayoweza kusababisha migogoro, Badala yake wametakiwa kushirikiana katika…
19 August 2025, 17:33
Katika jamii yoyote ile, watoto ni nguzo muhimu ya maendeleo ya sasa na baadaye na maadili ni msingi wa malezi bora yanayomuwezesha mtoto kuwa raia mwema na mwenye mchango chanya kwa jamii hata hivyo, katika siku za hivi karibuni, kumekuwa…
19 August 2025, 16:53
Ujenzi wa chuo kikuu cha afya na Sayansi shirikishi MUHAS kampasi ya Kigoma unatajwa kuongeza tafiti na matibabu kwa kwa wananchi wa mkoa wa Kigoma na maeneo mengine. Na Mwandishi wetu Serikali ya Mkoa wa Kigoma imesema kukamilila kwa ujenzi…
18 August 2025, 14:46
Wanawake wameshauriwa kushiriki katika katika shughuli mbalimbali ikiwemo uongozi Na Hagai Ruyagila Wanawake wa kata ya Muzye Halmashauri ya wilaya ya Kasulu mkoani Kigoma wametakiwa kuwa na msimamo thabiti na kujitokeza kwa wingi kushiriki shughuli za maendeleo pamoja na kuchangamkia…
18 August 2025, 08:49
Wafugaji wanatarajia kunufaika na uzalishaji wa chumvi lishe kwa ajili ya mifugo na kuongeza thamani ya mifugo na kunufaika na masoko ya ndani na nje ya nchi. Na Tryphone Odace Waziri wa Madini Anthony Mavunde amesema kuwa hatua ya kiwanda…
Radio JOY 90.5 FM Kigoma is the community radio station broadcasting in Kigoma, which JOY owns IN THE HARVEST organization. We started full Broadcasting in February 2016. Radio JOY FM provides information that caters to the interest of the Kigoma region, Radio Joy broadcasts content that is popular to a local audience community. Radio Joy Fm carries news and information programming geared toward the local area, particularly where other media cannot reach the area and minority groups that are poorly served by other major media outlets. Radio joy as a platform to enable participation of communities in developing activities like
building schools, hospitals and influencing behavior change. We produce programs like Good morning Kigoma, “Harakati za Vijana”, Mashua, “Dimba la Michezo”, East Africa Show, Lunch Time and so on, to keep the value, languages and cultures of Kigoma Society alive on a daily basis. Radio Joy Fm Kigoma work as a means to promote values of access to education, economic and social justice, against class, gender, race, and caste based violence, and transparency in governance.
Missions
Visions
The Owner – The organization owns Radio JOY FM, Kigoma, called Joy in the Harvest, which has been in Kigoma for more than twenty-five years; Radio Joy has a special emphasis on helping the poor, the disabled, and the disadvantaged through the program we produce. Not only that but also we are glad to be part of something big, through the programs Radio Joy producing is able to bring positive change to the Kigoma community.
Radio JOY Location – Radio JOY 90.5 Fm Kigoma, has studios located on Kibirizi Road, Kigoma Town. We are just very few kilometers from Kigoma Railway Station. Our broadcast tower is located on the highest point in the area.