Joy FM
Joy FM
18 July 2025, 11:22
Viongozi wa Serikali za vijiji na mitaa wameshauriwa kutoa taarifa na njia zinazotumiwa na wahamiaji haraumu wanazotumia kuingia nchini kunyume cha sheria Na Orida Sayon Wananchi Mkoani Kigoma wameomba Serikali kupitia ofisi ya uhamiaji kushirikiana na viongozi wa ngazi za…
15 July 2025, 13:20
Wakati zikiwa zimesalia siku chache kabla ya uchaguzi Mkuu wa mwezi oktoba viongozi na wafuasi wa vyama vya siasa wametakiwa kutenda haki Na Hagai Ruyagila Wajumbe wa vyama vya siasa mkoani Kigoma wanaoshiriki katika mchakato wa kura za maoni kwa…
15 July 2025, 11:35
Serikali imesema inaendelea na uboreshaji wa miundombinu ya usafiri na usafirishaji kwa kuhakikisha inaboresha na kupanua uwanja wa ndege Kigoma ili uweze kuwa na hadhi ya kimataifa. Na Josephine Kiravu Mradi wa Upanuzi na Uboreshaji wa uwanja wa ndege Kigoma…
14 July 2025, 15:26
Idara ya uhamiaji Mkoa wa Kigoma imeendelea na misako ya kuwabaini na kuwakamata raia wa kigeni wanaoingia Nchini kinyume cha sheria. Jumla ya wahamiaji haramu 419 wamekamatwa na Jeshi la Uahamiaji mkoa wa Kigoma katika oparesheni ya siku tano hadi…
14 July 2025, 13:03
Serikali ya Mkoa wa Kigoma imesema itahakikisha hakuna mtu atakayevunja amani na kuhakikisha Mkoa wa Kigoma unakuwa salama. Na Josephine Kiravu Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Balozi Simon Sirro amewatahadharisha wenye nia ya kuvuruga amani na kuwataka kuacha mara moja…
14 July 2025, 12:39
Wajibu wa wananchi katika kudhibiti rushwa ni muhimu sana ili kuhakikisha kuwepo kwa utawala bora, uwazi, na maendeleo ya kweli katika jamii. Na Timotheo Leonard Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa TAKUKURU Mkoa wa Kigoma imesema miongoni mwa majukumu…
11 July 2025, 09:02
Imani za kishirikina zasababisha watuhumiwa kufungwa kifungo cha maisha jela. Na Bukuru Daniel Mahakama kuu ya Bujumbura imewahukumu watu kumi kifungo cha maisha jela kwa kuhusika katika mauaji ya kutisha ya wakaazi sita katika kijiji cha Gasarara wilaya ya Nyabiraba,…
10 July 2025, 13:09
Madaktari bingwa kutoka nchi Tanzania wanatarajia kuweka kambi ya matibabu katika maeneo mbalimbali nchini Burundi kwa lengo la kutoa matibabu kwa wananchi Burundi. Na Bukuru Daniel Ubalozi wa Tanzania nchini Burundi kwa kushirikiana na wizara ya afya na VVU/UKIMWI nchini…
10 July 2025, 12:46
Halmashauri ya Wilaya Kakonko Mkoani Kigoma imetakiwa kuweka mikakati ya kuzalisha mazao ya biashara yenye ushindani ndani na nje ya nchi kwa maendeleo ya wananchi na Taifa kwa ujumla. Na Josephine Kiravu Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Balozi Simon Sirro…
10 July 2025, 11:50
Serikali imeahidi kuendelea kutoa mikopo kwa makundi ya watu wenye ulemavu, vijana na wanawake wilayani Kasulu mkoani Kigoma. Na Hagai Ruyagila Watu wenye ulemavu katika Halmashauri ya Mji wa Kasulu Mkoani Kigoma, wametakiwa kuchangamkia fursa ya mikopo ya asilimia kumi…
Radio JOY 90.5 FM Kigoma is the community radio station broadcasting in Kigoma, which JOY owns IN THE HARVEST organization. We started full Broadcasting in February 2016. Radio JOY FM provides information that caters to the interest of the Kigoma region, Radio Joy broadcasts content that is popular to a local audience community. Radio Joy Fm carries news and information programming geared toward the local area, particularly where other media cannot reach the area and minority groups that are poorly served by other major media outlets. Radio joy as a platform to enable participation of communities in developing activities like
building schools, hospitals and influencing behavior change. We produce programs like Good morning Kigoma, “Harakati za Vijana”, Mashua, “Dimba la Michezo”, East Africa Show, Lunch Time and so on, to keep the value, languages and cultures of Kigoma Society alive on a daily basis. Radio Joy Fm Kigoma work as a means to promote values of access to education, economic and social justice, against class, gender, race, and caste based violence, and transparency in governance.
Missions
Visions
The Owner – The organization owns Radio JOY FM, Kigoma, called Joy in the Harvest, which has been in Kigoma for more than twenty-five years; Radio Joy has a special emphasis on helping the poor, the disabled, and the disadvantaged through the program we produce. Not only that but also we are glad to be part of something big, through the programs Radio Joy producing is able to bring positive change to the Kigoma community.
Radio JOY Location – Radio JOY 90.5 Fm Kigoma, has studios located on Kibirizi Road, Kigoma Town. We are just very few kilometers from Kigoma Railway Station. Our broadcast tower is located on the highest point in the area.