Joy FM

Recent posts

2 July 2024, 16:28

Volkano la tope lalipuka, hofu yatanda kwa wananchi Kigoma

Serikali katika halmashauri ya wilaya Kigoma imewataka wananchi kutulia wakati ikiendelea kufuatilia hali ilivyo baada ya volkano la tope kulipuka. Na Josephine Kiravu – Kigoma Wananchi wa kijiji cha Pamila kata ya Matendo wametakiwa kuondoa hofu kufuatia kuwepo kwa tope…

2 July 2024, 15:57

Zaidi ya shule 9 Uvinza zina uhaba wa madawati 1,000

Wananchi wa kata ya Ilagala wilayani Uvinza mkoani Kigoma wameomba serikali kuwasaidia kupunguza tatizo la madawati linazozikubwa shule za kata hiyo ili kuwasaidia watoto kuondokana na tatizola kukaa chini Na Kadislaus Ezekiel – Uvinza Shule za msingi zaidi ya tisa…

2 July 2024, 11:29

Madiwani wamtaka DED Kasulu kutoa taarifa ya mapato

Mkurugenzi wa Halmashauri ya mji Kasulu ametakiwa kutoa taarifa ya mapato ya soko la Kigondo ili kufahamu mapato yanapatikana kwenye soko hilo kama sehemu ya chanzo cha mapato ya halmashauri hiyo. Na Hagai Ruyagila – Kasulu Baraza la Madiwani katika…

2 July 2024, 10:57

Wananchi Kasulu waomba doria kudhibiti uhalifu

Jeshi la polisi wilayani Kasulu limesema litaendelea kufanya doria muda wote ili kuweza kuwatia hatiani watu wanaojihusisha na vitendo vya uhalifu kwenye makazi ya watu. Na Michael Mpunije – Kasulu Wananchi wa kata ya Mwilamvya halmashauri ya mji Kasulu mkoani…

2 July 2024, 10:42

Wananchi Kasulu walia mabomba kutoa maji machafu

Wananchi wa kata ya Kumunyika wamelalamikia serikali kupitia mamlaka ya maji Kasulu kuruhusu mabomba ya ya maji kuwa na tope hali inayoweza kusababisha magonjwa ikiwemo kuhara. N a Emmanuel Kamangu – Kasulu Diwani wa kata ya Kumunyika Bw. Selaman Kwirusha…

2 July 2024, 08:42

Wananchi Mwilamvya wachanga milioni 14 kujenga shule mpya

Ili kukabiliana na chamgamoto ya watoto kutembea umbali mrefu kwa wananchi wa kata ya Mwilamvya wilayani Kasulu, hatimaye wananchi wamekubaliana kushirikiana na wadau wa maendeleo kuchanga pesa kwa ajili ya kuanza ujenzi wa shule mpya katani hapo. Na Emmanuel Kamangu…

28 June 2024, 16:43

Nyumba yateketea kwa moto na mali zote Kasulu

Nyumba moja imeteketea kwa moto na vitu vyote vilivyokuwemo ndani katika mtaa wa Soko Jipya kata ya Murubona halmashauri ya mji Kasulu mkoani Kigoma huku chanzo cha moto  kikitajwa na baadhi ya mashuhuda kuwa ni hitilafu ya umeme. Ripoti zaidi…

28 June 2024, 12:32

Wafanyabiashara watakiwa kutumia vifaa vya kuzimia moto

Jeshi la zimamoto na uokoaji wilayani kasulu mkoani kigoma limesema wafanyabiashara na jamii kwa ujumla hawana budi kutumia vifaa vya kuzima moto hasa kwenye nyumba zao ili kusaidia pale majanga yanapotokea. Na Michael Mpunije – Kasulu Wafanyabiashara wilayani Kasulu Mkoani…

27 June 2024, 09:25

Shule zatakiwa kulima ili kupata chakula cha wanafunzi

Katika kukabiliana na tatizo la chakula kwa wanafunzi shuleni wilayanikasulu, shule za msingi na sekondari wametakiwa kuanzisha mashamba ili waweze kulima na kupata chakula cha kutosha. Na Michael Mpunije – Kasulu Shule za msingi na Sekondari katika halmashauri ya wilaya…

27 June 2024, 09:00

Walimu waaswa kutofanya kazi kwa mazoea

Halmashauri ya wilaya Kibondo imetakiwa kutatua mahitaji ya walimu na kuacha kutumia lugha zisizo rafiki kwa walimu wanapopeleka changamoto zao  ili zitatuliwe. Na James Jovin – Kibondo Katika kurekebisha upatikanaji wa elimu bora hapa nchini walimu wilayani Kibondo  wameaswa kuacha…

Radio JOY Profile

Radio JOY 90.5 FM Kigoma is the community radio station broadcasting in Kigoma, which JOY owns IN THE HARVEST organization. We started full Broadcasting in February 2016. Radio JOY FM provides information that caters to the interest of the Kigoma region, Radio Joy broadcasts content that is popular to a local audience community. Radio Joy Fm carries news and information programming geared toward the local area, particularly where other media cannot reach the area and minority groups that are poorly served by other major media outlets. Radio joy as a platform to enable participation of communities in developing activities like

building schools, hospitals and influencing behavior change. We produce programs like Good morning Kigoma, “Harakati za Vijana”, Mashua, “Dimba la Michezo”, East Africa Show, Lunch Time and so on, to keep the value, languages and cultures of Kigoma Society alive on a daily basis. Radio Joy Fm Kigoma work as a means to promote values of access to education, economic and social justice, against class, gender, race, and caste based violence, and transparency in governance.

Missions

  • To be a voice to the voiceless
  • To influence behavior change from bad character to good character
  • To inspire Kigoma society to participate in development activities.
  • To create an awareness of local interests, views and cultures
  • To be a bridge of communication between government and society.

Visions

  • To bring Kigoma society together
  • To facilitate the sharing of information in Kigoma society.
  • To become a local radio that connects all people from different cultures to share their ideas and lifestyles.
  • To implement sustainable radio programs that improve access to information, and opportunity, and participate in and contribute to all aspects of life.

The Owner – The organization owns Radio JOY FM, Kigoma, called Joy in the Harvest, which has been in Kigoma for more than twenty-five years; Radio Joy has a special emphasis on helping the poor, the disabled, and the disadvantaged through the program we produce. Not only that but also we are glad to be part of something big, through the programs Radio Joy producing is able to bring positive change to the Kigoma community.

Radio JOY Location – Radio JOY 90.5 Fm Kigoma, has studios located on Kibirizi Road, Kigoma Town. We are just very few kilometers from Kigoma Railway Station. Our broadcast tower is located on the highest point in the area.