Recent posts
19 March 2021, 10:52 am
Wasifu wa Mh. Rais Samia Suluhu Hassan
Mama Samia Suluhu Hassan alizaliwa Januari 27 mwaka 1960 huko visiwani Zanzibar. Alipata elimu ya msingi katika shule za msingi za Chawaka huko Unguja, Ziwani huko Pemba na Mahonda iliyopo Unguja kati ya mwaka 1966 na 1972. Alisoma katika shule ya Sekondari Ngambo iliyopo Unguja…
17 March 2021, 7:02 pm
Wasafirishaji wa Mchanga watakiwa kuchukua tahadhari za mazingira.
Wachimbaji wa vifusi vya Mchanga na Mawe Wilayani Pangani Mkoani Tanga wametakiwa kuhakikisha kuwa shughuli za uchimbaji zinazingatia usalama wa mazingira na afya za binadamu ili kuepusha madhara yanayoweza kuepukika. Wito huo umetolewa na Kaimu Afisa Mazingira Wilaya ya Pangani…
17 March 2021, 10:11 am
Kukatika Umeme sasa basi.
Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan amesema kuwa, tatizo la kukatika umeme mara kwa mara ambalo lilijitokeza katika maeneo mbalimbali nchini siku za hivi karibuni limemalizika. Akizungumza na wakazi wa wilaya ya Muheza mkoani Tanga ikiwa ni sehemu ya ziara…
15 March 2021, 12:46 pm
Serikali yaagiza kuzibwa kwa shimo lililoua Pangani.
Serikali Wilayani Pangani Mkoani Tanga imetoa maelekezo kwa uongozi wa kijiji cha Madanga Wilayani humo kuanza mchakato wa kziba shimo kubwa lililopo kijijini hapo linalofahamika kama ‘shimo la mreno’. Wenyeji wa kijiji hicho wamedai kuwa shimo hilo limekuwepo tangu kipindi…
12 March 2021, 11:48 pm
Zoezi la kuokoa mwili wa aliyetumbukia ‘shimo la mreno’ limesimama.
Mtu mmoja anasadikiwa kufariki dunia baada ya kutumbukia katika shimo lijulikanalo kama Shimo la Mreno lililopo katika kijiji cha jaira kata ya madanga hapa wilayani pangani Mkoani Tanga. PANGANI FM imefika katika eneo hilo na kushuhudia jitihada mbalimbali za kuokoa…
11 March 2021, 9:24 am
TANESCO yaomba radhi kukatika kwa Umeme Pangani.
Shirika la Umeme Tanzania Wilayani Pangani Mkoani Tanga limewaomba radhi wateja wake kipindi hiki Matengenezo ya Miundombinu yakiendelea kwenye maeneo mbalimbali Wilayani humo. Akizungumza na PANGANI FM Meneja wa TANESCO Wilayani Pangani Bwana Saidi Shabani Muhando amesema kuanzia Mwezi February…
10 March 2021, 7:27 pm
Makamu wa Rais kufanya Ziara Wilayani Pangani.
Mkuu wa wilaya ya Pangani Bi Zainab Abdallah ametangaza ujio wa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan Wilayani Pangani. Akizungumza na PANGANI FM leo Bi Zainab amesema kuwa Makamu wa Rais anatarajiwa kuwasili…
10 March 2021, 10:41 am
Kuelekea ziara ya Makamu wa Rais Tanga,RC Shigela atembelea Mradi ya Maji Korogw…
Mkuu wa Mkoa Tanga Mh.Martine Shigela akiwa na Kamati ya usalama ya Mkoa na wilaya ametembelea na kujionea ukamilifu wa Mradi wa Maji unaounganisha vijiji vya Kwasunga mpirani kata ya Makuyuni na Kwasung_A kilichopo kata ya Magiragereza wilayani Korogwe Mkoani…
9 March 2021, 8:13 pm
Wazazi Wilayani Pangani washauriwa kuendeleza vipaji vya Watoto.
Wazazi na walezi wilayani Pangani Mkoani Tanga wameshauriwa kuwaendeleza vipaji mbalimbali vya watoto wao ili kuwawezesha kufikia ndoto zao. Hayo yameelezwa na Mwalimu mkuu msaidizi wa Shule ya Sekondari Funguni RAMADHANI KAKAI wakati akizungumza na PANGANI FM Mwalimu huyo amesema…
8 March 2021, 8:14 pm
DC PANGANI alia na mimba likizo ya Corona.
Ikiwa leo Ulimwengu unaadhimisha Siku ya Wanawake Duniani, Wanawake Wilayani Pangani Mkoani Tanga wameaswa kujizatiti kwenye Malezi ya Watoto wao hasa wa kike ili kufikia lengo la Dunia yenye Usawa. Maadhimisho hayo yamefanyika katika Viwanja vya Shule ya Msingi Funguni…