Pangani FM

Recent posts

19 March 2021, 10:52 am

Wasifu wa Mh. Rais Samia Suluhu Hassan

Mama Samia Suluhu Hassan alizaliwa Januari 27 mwaka 1960 huko visiwani Zanzibar. Alipata elimu ya msingi katika shule za msingi za Chawaka huko Unguja, Ziwani huko Pemba na Mahonda iliyopo Unguja  kati ya mwaka  1966 na 1972. Alisoma katika shule ya Sekondari  Ngambo iliyopo Unguja…

17 March 2021, 7:02 pm

Wasafirishaji wa Mchanga watakiwa kuchukua tahadhari za mazingira.

Wachimbaji wa vifusi vya Mchanga na Mawe Wilayani Pangani Mkoani Tanga wametakiwa kuhakikisha kuwa shughuli za uchimbaji zinazingatia usalama wa mazingira na afya za binadamu ili kuepusha madhara yanayoweza kuepukika. Wito huo umetolewa na Kaimu Afisa Mazingira Wilaya ya Pangani…

17 March 2021, 10:11 am

Kukatika Umeme sasa basi.

Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan amesema kuwa, tatizo la kukatika umeme mara kwa mara ambalo lilijitokeza katika maeneo mbalimbali nchini siku za hivi karibuni limemalizika. Akizungumza na wakazi wa wilaya ya Muheza mkoani Tanga ikiwa ni sehemu ya ziara…

15 March 2021, 12:46 pm

Serikali yaagiza kuzibwa kwa shimo lililoua Pangani.

Serikali Wilayani Pangani Mkoani Tanga imetoa maelekezo kwa uongozi wa kijiji cha Madanga Wilayani humo kuanza mchakato wa kziba shimo kubwa lililopo kijijini hapo linalofahamika kama ‘shimo la mreno’. Wenyeji wa kijiji hicho wamedai kuwa shimo hilo limekuwepo tangu kipindi…

12 March 2021, 11:48 pm

Zoezi la kuokoa mwili wa aliyetumbukia ‘shimo la mreno’ limesimama.

Mtu mmoja anasadikiwa kufariki dunia baada ya kutumbukia katika shimo lijulikanalo kama Shimo la  Mreno lililopo katika kijiji cha jaira kata ya madanga hapa wilayani pangani Mkoani Tanga. PANGANI FM imefika katika eneo hilo na kushuhudia jitihada mbalimbali za kuokoa…

11 March 2021, 9:24 am

TANESCO yaomba radhi kukatika kwa Umeme Pangani.

Shirika la Umeme Tanzania Wilayani Pangani Mkoani Tanga limewaomba radhi wateja wake kipindi hiki Matengenezo ya Miundombinu yakiendelea kwenye maeneo mbalimbali Wilayani humo. Akizungumza na PANGANI FM  Meneja wa TANESCO Wilayani Pangani Bwana Saidi Shabani Muhando amesema kuanzia Mwezi February…

10 March 2021, 7:27 pm

Makamu wa Rais kufanya Ziara Wilayani Pangani.

Mkuu wa wilaya ya Pangani Bi Zainab Abdallah ametangaza ujio wa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan Wilayani Pangani. Akizungumza na PANGANI FM leo Bi Zainab amesema kuwa Makamu wa Rais anatarajiwa kuwasili…

9 March 2021, 8:13 pm

Wazazi Wilayani Pangani washauriwa kuendeleza vipaji vya Watoto.

Wazazi na walezi wilayani Pangani Mkoani Tanga wameshauriwa kuwaendeleza vipaji mbalimbali vya watoto wao ili kuwawezesha kufikia ndoto zao. Hayo yameelezwa na Mwalimu mkuu msaidizi wa Shule ya Sekondari Funguni RAMADHANI KAKAI wakati akizungumza na PANGANI FM Mwalimu huyo amesema…

8 March 2021, 8:14 pm

DC PANGANI alia na mimba likizo ya Corona.

Ikiwa leo Ulimwengu unaadhimisha Siku ya Wanawake Duniani, Wanawake Wilayani Pangani Mkoani Tanga wameaswa kujizatiti kwenye Malezi ya Watoto wao hasa wa kike ili kufikia lengo la Dunia yenye Usawa. Maadhimisho hayo yamefanyika katika Viwanja vya Shule ya Msingi Funguni…

Coverage

Comprising a Pangani cultural diversity of the radio reach a population of 2,045,205 ranging from community members to of 33 villages of Pangani district from small business entrepreneurs, local government representatives and neighboring districts of Muheza, Tanga Town, Korogwe, Handeni, Lushoto, Amani and some parts of Zanzibar.

Vision

Pangani district is a place where people enjoy good health and sociol economic well being and are empowered to utilise the benefits of their culture.

Mission

To be committed to a development process that facilitates the Pangani communities towards promotion and ownership of their development agenda through participatory program approaches and collaborations with partners.

“Facilitator for development approaches that listen to people and engage them to find solutions for themselves”

Through participatory approaches and engaging potential stakeholders, Pangani FM ensures balanced content over its 7-days 18-hours each day, Pangani FM broadcast schedule engages in participative dialogue on key social issues with community leaders, and the community at large provides a wide range of edutainment programs such as banjabeat, a popular Tulizana program focusing on the family, intimate partners issues; youth-participation forums; educational, community health, and cultural programs; sports coverage, and the opportunity for all to interact on air with current issues affecting themselves, their families and communities towards development and growth.

Contents.

Pangani FM radio platform plays a major role of making sure UZIKWASA’s
interventions are shared with the entire community and engage them in active social-dialogue.
The radio facilitates and informs communities about success and challenges in their lives and mobilizes them to take charge of their own development.
Through participatory approaches and strategically live broadcasting of community events and through interactive radio programs such advantageous manner which results to;

Empower community to take charge of their own development using local resources and promote good leadership.
Sharing the learning from intervention approaches that build self-awareness.

Empower community to take charge of their own development using local resources and promote good leadership.
Sharing the learning from intervention approaches that build self-awareness.
Pangani FM facilitates reflective leadership to foster change in contributing to a growing movement of transformation beyond Pangani District.