Recent posts
10 May 2021, 7:04 pm
MTAKUWWA Ubangaa waandaa eneo la Ujenzi wa Zahanati
Kamati ya MTAKUWWA ya Kijiji cha Ubangaa wilayani Pangani Mkoani Tanga kwa kushirikina na Serikali ya kijiji hicho inandaa eneo kwa ajili ya ujenzi wa zahanati. Wakizungumza na Pangani FM wakati wa zoezi la kufyeka eneo lililotengwa kwa ajili ya…
7 May 2021, 7:57 pm
Jamii inawajibika vipi kupunguza hewa Ukaa
Maisha ya Binadamu na viumbe wengine ulimwenguni yanategemea sana hali nzuri ya hewa safi na salama, kadhalika na mgawanyo mzuri wa hewa hizo. Anga ya dunia inatoa mchango muhimu katika hali ya hewa ya siku husika. Iwapo tunakuwa na joto…
23 April 2021, 8:53 pm
Malipo ya fidia kwa Wananchi Barabara ya Tanga-Pangani.
Serikali imeidhinisha malipo ya fidia kwa Wananchi wanaopisha ujenzi wa Barabara ya Tanga-Pangani Saadan- Bagamoyo kwa kiwango cha lami. Katika mahojiano maalum Mbunge wa Jimbo la Pangani ambaye pia ni Waziri wa Maji wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh…
23 April 2021, 8:34 pm
Je wewe ni Mkulima? hii ni muhimu sana kwako.
Dalili za wazi na athari za kiuchumi na kijamii zitokanazo na mabadiliko ya tabianchi zinazoongezeka kote duniani , huku sekta ya kilimo nayo ikionekana kuelemewa kwa kuwa misimu ya mvua haitabiriki na nchi zinazoendelea ikiwemo Tanzania zimekuwa zikitegemea kilimo cha…
14 April 2021, 12:34 pm
Sheikh Mkuu Pangani atoa neno bei za vyakula msimu wa Ramadhani
Baraza kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA) kupitia kwa Sheikh Mkuu wa Wilaya ya Pangani limetoa wito kwa Wafanyabiashara wa bidhaa za vyakula Wilayani Pangani kutopandisha bei za bidhaa za hizo katika kipindi cha Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.. Akizungumza na Pangani…
13 April 2021, 1:41 pm
Ujenzi Kituo cha Polisi Mivumoni
Kamishina wa Polisi Jamii Tanzania Mussa Ali Mussa amefanya ziara wilayani Pangani mkoani Tanga na kuweka jiwe la msingi katika kituo kidogo cha Polisi kilichopo kijiji cha Mivumonini wilayani humo. Akizungumza wakati wa tukio la uwekaji jiwe kwa ajili ya…
6 April 2021, 7:33 pm
Pumzika kwa amani JPM tunaonana baadaye.
Leo Aprili 6 ndio tamati ya siku 21 za maombolezo ya kifo cha aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania hayati Dr. John Joseph Pombe Magufuli. sikiliza hapa chini ujumbe maalum wa Pangani FM katika kutamatisha maombolezo ya msiba…
6 April 2021, 6:51 pm
Kumuenzi Magufuli kwa kuandikisha Wanafunzi shule.
Wananchi Wilayani Pangani Mkoani Tanga wametakiwa kumuenzi Hayati Dkt Magufuli kwa kuweka Malengo ya kuongeza idadi ya Uandikishaji wa wanafunzi na kuongeza ufaulu kutokana na Sera ya Elimu Bila Malipo iliyoachwa na muasisi huyo. Sikiliza hapa taarifa iliyoadaliwa na mwandishi…
30 March 2021, 6:41 pm
Mpango kuapishwa kesho
Makamu wa Rais Mteule wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Philip Mpango kesho tarehe 31 Machi, 2021 ataapishwa kuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Hafla ya kuapishwa kwa Dkt. Mpango itafanyika Ikulu, Chamwino Mkoani Dodoma…
19 March 2021, 11:42 am
Historia mpya.
Leo, Machi 19, 2021 saa nne asubuhi aliyekuwa Makamu wa Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ameapishwa na Jaji Mkuu wa Tanzania Profesa Ibrahim Hamis Juma, Ikulu mkoani Dar es Salaam kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.Historia Mpya:…