Pangani FM

Recent posts

8 March 2021, 2:01 pm

Sauti za Wanawake tu Kusikika Pangani FM.

Kila ifikapo Machi 8 Dunia huadhimisha siku ya Kimataifa ya Wanawake Siku hii huadhimishwa kwa namna mbalimbali Ulimwenguni ikiwa na Lengo la kutambua mchango wa Mwanamke katika Nyanja mbalimbali. Katika kuzingatia hili Sauti za Watangazaji wa kike tu ndio zitasikika…

6 March 2021, 9:26 pm

Unafanya Kilimo?Unategemea Kilimo? Sikiliza hapa.

Upo umuhimu mkubwa wa kufuatilia taarifa za hali ya hewa  kwa ajili ya shughuli za Kilimo,Uvuvi,Ufugaji na kwa maisha ya kila siku. Taarifa hizi hutolewa na Mamlaka ya Hali ya Hewa Nchini TMA kupitia mbalimbali vya Habari ikiwemo Pangani FM…

5 March 2021, 10:49 pm

Wanawake Pangani waadhimisha siku ya Maombi.

Wanawake wa madhehebu mbalimbali ya  Kikristo  wilayani Pangani mkoani Tanga leo wameshiriki katika  maadhimisho ya siku ya maombi ya Wanawake duniani yenye lengo la kuombea Amani na mambo mengine. Akizungumza na PANGANI FM  mchungaji FELIX ELIASI MSUMARI wa kanisa la…

5 March 2021, 9:38 pm

Angalizo la Upepo Mkali lawafikia wavuvi Pangani.

Kufuatia Mamlaka ya hali ya hewa nchini Tanzania TMA hapo jana kutoa angalizo la uwepo wa vipindi vya upepo mkali unaofikia kilimita 40 kwa saa na mawimbi makubwa yanayofikia ukubwa wa mita 200 kuanzia tarehe 4 hadi 8 mwezi wa…

2 March 2021, 3:25 pm

Sekondari ya Funguni yajipanga kuongeza Ufaulu 2021

Katika kuhakikisha wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya  Funguni iliyopo Wilayani Pangani Mkoani Tanga wanafanya vizuri katika matokeo yao ya kidato cha pili na cha nne kwa mwaka 2021, Uongozi wa shule hiyo umekutana na wazazi, walezi pamoja na viongozi…

2 March 2021, 11:19 am

TANGA UWASA Kufufua Visima vya Maji Pangani.

Mamlaka ya usimamizi wa Maji  Wilayani Pangani kupitia TANGA UWASA imejipanga katika uboreshaji wa miundombinu ya umeme ili kuboresha upatikanaji wa huduma ya maji wilayani hapa. Hayo yameelezwa na Meneja wa maji TANGA UWASA Ndugu JOHN FUSSI wakati akizungumza na…

1 March 2021, 1:25 pm

Ofisi ya Mbunge Pangani yazionya Bodi za Maji.

Uongozi wa Ofisi ya Mbunge Jimbo la Pangani Mkoani Tanga umezionya Bodi za Maji Wilayani humo  juu ya swala la kusuasua kwa Miradi ya Maji kwenye maeneo yao. Akizungumza na PANGANI FM  Mwishoni mwa wiki iliyopita moja ya viongozi waandamizi…

22 February 2021, 8:14 pm

Viwanda Mkoani Tanga vyatakiwa kuzingatia Sheria ya Mazingira.

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamo wa Rais Muungano na Mazingira, Mh Ummy Mwalimu leo amefanya ziara katika jiji la Tanga ambapo amehimiza utunzaji wa Mazingira hususani kwa kuvitaka Viwanda kujiepusha na uchafuzi wa Mazingira. Akziungumza katika Ofisi ya Mkuu…

8 February 2021, 1:09 pm

Wazazi wa Wanafunzi waombwa kufanikisha upatikanaji wa Chakula.

Wazazi na walezi wa wanafunzi wa shule za msingi wilayani Pangani Mkoani Tanga wameombwa kufanikisha utaratibu wa kambi ya kutwa kwa wanafunzi wa darasa la saba kwa kutoa michango ya chakula katika kambi hizo. Ombi hilo limetolewa na Afisa Elimu…

5 February 2021, 7:57 pm

Miaka 44 ya CCM yajivunia mambo haya Pangani.

Chama cha Mapinduzi CCM Wilaya ya Pangani Mkoani Tanga katika kuadhimisha miaka 44 ya chama hicho kimeeleza mafanikio yake katika kuisimamia serikali. Akizungumza na Pangani FM Mwenyekiti wa chama hicho ngazi ya Wilaya BW RAJABU ABRAHAMAN amesema chama hicho kinajivunia…

Coverage

Comprising a Pangani cultural diversity of the radio reach a population of 2,045,205 ranging from community members to of 33 villages of Pangani district from small business entrepreneurs, local government representatives and neighboring districts of Muheza, Tanga Town, Korogwe, Handeni, Lushoto, Amani and some parts of Zanzibar.

Vision

Pangani district is a place where people enjoy good health and sociol economic well being and are empowered to utilise the benefits of their culture.

Mission

To be committed to a development process that facilitates the Pangani communities towards promotion and ownership of their development agenda through participatory program approaches and collaborations with partners.

“Facilitator for development approaches that listen to people and engage them to find solutions for themselves”

Through participatory approaches and engaging potential stakeholders, Pangani FM ensures balanced content over its 7-days 18-hours each day, Pangani FM broadcast schedule engages in participative dialogue on key social issues with community leaders, and the community at large provides a wide range of edutainment programs such as banjabeat, a popular Tulizana program focusing on the family, intimate partners issues; youth-participation forums; educational, community health, and cultural programs; sports coverage, and the opportunity for all to interact on air with current issues affecting themselves, their families and communities towards development and growth.

Contents.

Pangani FM radio platform plays a major role of making sure UZIKWASA’s
interventions are shared with the entire community and engage them in active social-dialogue.
The radio facilitates and informs communities about success and challenges in their lives and mobilizes them to take charge of their own development.
Through participatory approaches and strategically live broadcasting of community events and through interactive radio programs such advantageous manner which results to;

Empower community to take charge of their own development using local resources and promote good leadership.
Sharing the learning from intervention approaches that build self-awareness.

Empower community to take charge of their own development using local resources and promote good leadership.
Sharing the learning from intervention approaches that build self-awareness.
Pangani FM facilitates reflective leadership to foster change in contributing to a growing movement of transformation beyond Pangani District.