Pangani FM

Recent posts

5 February 2021, 1:45 pm

Wanaume watakiwa kuvunja ukimya vitendo vya Ukatili

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Dorothy Gwajima amewataka wanaume kutoa taarifa kwenye mamlaka husika kuhusu ukatili wanaofanyiwa ili kutokomeza matukio ya ukatili nchini. Dkt. Gwajima ametoa kauli hiyo leo jijini Dodoma alipotoa tamko kuhusu…

4 February 2021, 7:55 pm

Baraza la Wazee Tanga rasmi, Pangani ina wazee wachache zaidi.

WATUMISHI wa ngazi zote mkoani Tanga wameaswa kuacha kudharau na kuwanyanyapaa wazee pindi wanapofuata huduma kwenye ofisi zao badala yake kuwanyenyekea na kuwapa kipaumbele ili kupata Baraka. Hayo yamesemwa jana na Mkuu wa Mkoa wa Tanga Mhe.Martin Shigela wakati akizindua…

2 February 2021, 9:14 pm

Waziri Ummy Mwalimu: NEMC ongezeni kasi ya kutoa Elimu.

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira, Mhe. Ummy Mwalimu ameliagiza Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira nchini kuongeza kasi ya utoaji elimu kwa umma ili kuwasaidia wenye viwanda na wawekezaji kuzingatia Sheria…

2 February 2021, 8:38 pm

Halmashauri ya Wilaya ya Pangani yaanzisha ‘Benki ya Matofali’

Halmashauri ya Wilaya ya Pangani Mkoani Tanga imeanzisha kampeni maalum ya ‘Benki ya matofali’ kwa lengo kuwezesha kila kijiji kuandaa matofali kwa ajili ya miradi mbalimbali ya kimaendeleo. Hayo yamesemwa na mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Pangani BW…

1 February 2021, 7:16 pm

Viongozi wa Dini watakiwa kuendelea kukemea vitendo vya Ukatili.

Viongozi wa dini wilayani Pangani wametakiwa kuendelea kukemea vitendo vya ukatili katika jamii. Akizungumza kwenye maadhimisho ya Wiki ya Sheria na Miaka 100 ya Mahakama  Katibu tawala wa wilaya kwa niaba ya Mkuu wa wilaya ,Mwalimu Hassani Nyange amehimiza juu…

26 January 2021, 12:18 pm

Uhusiano kati ya Chakula Shuleni na Utoro.

Ukosefu wa chakula cha uhakika katika shule za msingi na Sekondari hapa Wilayani Pangani mkoani Tanga unatajwa kuchangia utoro kwa wanafunzi. Hayo yamesemwa na Afisa Elimu Msingi Wilayani hapa ndugu JUMA HASSANI MBOHELA katika kikao cha kamati ya lishe ya…

25 January 2021, 6:26 pm

Siri ya Wakandarasi kutumia vibarua toka nje ya Pangani yatajwa.

Wananchi wilayani Pangani mkoani Tanga hususani vijana wametakiwa kuchangamkia fursa za miradi ya ujenzi inayotekelezwa wilayani humo badala ya kukaa vijiweni na kuchagua kazi. Wito huo umetolewa kwa vijana ili kuhakikisha wanajikwamua kiuchumi na kuimarisha mapato ya Halmashauri Hayo yamesemwa…

21 January 2021, 2:51 pm

Bima ya Afya CHF: Wigo umeongezwa sasa huduma hadi nje ya Halmashauri.

Wananchi wamehimizwa kujiunga kwa wingi katika Mfuko wa Bima ya Afya ya Jamii CHF iliyoboreshwa ili wapate vitambulisho vitakavyowasaidia kupata matibabu kwa mwaka mzima katika vituo vya kutolea huduma za Afya ikiwemo na Hospitali za Rufaa. Hayo yamesemwa leo na…

Coverage

Comprising a Pangani cultural diversity of the radio reach a population of 2,045,205 ranging from community members to of 33 villages of Pangani district from small business entrepreneurs, local government representatives and neighboring districts of Muheza, Tanga Town, Korogwe, Handeni, Lushoto, Amani and some parts of Zanzibar.

Vision

Pangani district is a place where people enjoy good health and sociol economic well being and are empowered to utilise the benefits of their culture.

Mission

To be committed to a development process that facilitates the Pangani communities towards promotion and ownership of their development agenda through participatory program approaches and collaborations with partners.

“Facilitator for development approaches that listen to people and engage them to find solutions for themselves”

Through participatory approaches and engaging potential stakeholders, Pangani FM ensures balanced content over its 7-days 18-hours each day, Pangani FM broadcast schedule engages in participative dialogue on key social issues with community leaders, and the community at large provides a wide range of edutainment programs such as banjabeat, a popular Tulizana program focusing on the family, intimate partners issues; youth-participation forums; educational, community health, and cultural programs; sports coverage, and the opportunity for all to interact on air with current issues affecting themselves, their families and communities towards development and growth.

Contents.

Pangani FM radio platform plays a major role of making sure UZIKWASA’s
interventions are shared with the entire community and engage them in active social-dialogue.
The radio facilitates and informs communities about success and challenges in their lives and mobilizes them to take charge of their own development.
Through participatory approaches and strategically live broadcasting of community events and through interactive radio programs such advantageous manner which results to;

Empower community to take charge of their own development using local resources and promote good leadership.
Sharing the learning from intervention approaches that build self-awareness.

Empower community to take charge of their own development using local resources and promote good leadership.
Sharing the learning from intervention approaches that build self-awareness.
Pangani FM facilitates reflective leadership to foster change in contributing to a growing movement of transformation beyond Pangani District.