Pangani FM

Recent posts

3 August 2021, 8:59 pm

Uelewa mdogo wa matumizi ya Barakoa Pangani.

Wauzaji wa barakoa Wilayani Pangani Mkoani Tanga wameeleza namna wanavyowaelimisha wananchi juu ya matumizi sahihi ya barakoa. Wakizungumza na Pangani FM kwa nyakati tofauti wauzaji wao licha ya kueleza umuhimu wa kuvaa barakoa wametaja kile walichokiita ni uelewa mdogo kwa…

20 July 2021, 8:06 pm

Mmoja ashukiwa kufariki kwa Corona Pangani

Hospitali ya Wilaya ya Pangani Mkoani Tanga imethibitisha kifo cha mtu mmoja kutokana na ugonjwa wa Covid-19 unaosababishwa na Virusi vya Corona ambavyo vimeripotiwa kuwa katika wimbi la tatu hivi sasa (DELTA). Hayo yamesemwa na Mganga Mfawidhi katika Hospitali ya…

14 July 2021, 11:07 pm

MTAKUWWA kijiji cha Sange yawashika mkono wanafunzi.

Kamati ya MTAKUWWA ya Kijiji cha Sange Wilayani Pangani Mkoani Tanga kwa kushirikiana baadhi ya wadau wa elimu wametoa vyakula kwa ajili ya wanafunzi wa shule za msingi Sange na Makorora kusaidia maendeleo ya elimu. Mwanahabari wetu Rajabu Mustapha amefika…

14 July 2021, 7:40 pm

UZIKWASA yawakutanisha wadau kujadili Mabadiliko ya Tabia Nchi Pangani.

Wadau wa Mazingira Wilayani Pangani Mkoani Tanga wamejadili suala ya mabadiliko ya tabianchi na uhusiano wake wa kijinsia, ambapo wanawake wanaelezwa kuguswa moja kwa moja na mabadiliko hayo, na hivyo kuna umuhimu wa kuwashirikisha katika ngazi ya majadiliano. Akizungumza na…

9 July 2021, 6:31 pm

DC Pangani aahidi kuhughulikia changamoto ya Maji Chumvi.

Mkuu wa wilaya ya Pangani Mkoani Tanga amekiri kuwepo kwa baadhi ya vyanzo vinavyotoa maji chumvi Wilayani humo, na kuahidi namna ya kuyatibu ili kuwasaidia wananchi waweze kupata maji safi na salama. Hayo yamejiri katika kikao kazi kupitia mkutano mkuu…

29 June 2021, 12:28 pm

MIA za Rais Samia Pangani-Wazee

Baadhi ya wazee Wilayani Pangani Mkoani Tanga wameuzungumzia Uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan tangu aingie Madarakani, huku wakieleza kufurahishwa na uongozi wake alio uonyesha kwa Siku 100 tangu aapishwe kuiongoza Nchi hii. Wakizungumza na Pangani fm, wazee hao wamesema…

29 June 2021, 12:26 pm

MIA za Rais Samia Pangani-Umeme

Shirika la Umeme TANESCO Wilayani Pangani Mkoani Tanga layaelezea Mafanikio yake katika kuwahudumia wananchi ndani ya Siku 100 za Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan. Akizungumza na Pangani FM leo Meneja wa TANESCO Wilayani humo…

29 June 2021, 11:42 am

MIA za Rais Samia Pangani-Barabara

Wakala wa huduma za barabara mjini na vijijini TARURA Wilayani Pangani Mkoani Tanga wamempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan kwa kufikisha Siku 100 Madarakani tangu aapishwe kuwa Rais wa awamu ya Sita JMT TARURA Pangani…

23 June 2021, 7:27 pm

Machozi ya wajane katika jamii za wafugaji .

Wakati leo Juni 23, 2021 Tanzania ikiungana na Mataifa mbalimbali kuadhimisha Siku ya Wajane Duniani, Wanawake Wajane kutoka Jamii za kifugaji Wilayani Pangani Mkoani Tanga wanaeleza changamoto wanazokabiliana nazo katika maisha yao ya ujane. Mwanamke katika Jamii hizo sio tu…

23 June 2021, 4:59 pm

Malima aagiza kuboreshwa upatikanaji wa mbegu za Korosho na minazi.

Mkuu wa Mkoa wa Tanga  Adam Kigoma Malima amemuagiza afisa kilimo wa halmashauri ya wilaya ya Pangani kuandaa mikakati ya upatikanaji wa mbegu za mazao ya minazi na korosho ili kuboresha mazao  hayo wilayani humo. Malima ameyasema hayo katika kikao…

Coverage

Comprising a Pangani cultural diversity of the radio reach a population of 2,045,205 ranging from community members to of 33 villages of Pangani district from small business entrepreneurs, local government representatives and neighboring districts of Muheza, Tanga Town, Korogwe, Handeni, Lushoto, Amani and some parts of Zanzibar.

Vision

Pangani district is a place where people enjoy good health and sociol economic well being and are empowered to utilise the benefits of their culture.

Mission

To be committed to a development process that facilitates the Pangani communities towards promotion and ownership of their development agenda through participatory program approaches and collaborations with partners.

“Facilitator for development approaches that listen to people and engage them to find solutions for themselves”

Through participatory approaches and engaging potential stakeholders, Pangani FM ensures balanced content over its 7-days 18-hours each day, Pangani FM broadcast schedule engages in participative dialogue on key social issues with community leaders, and the community at large provides a wide range of edutainment programs such as banjabeat, a popular Tulizana program focusing on the family, intimate partners issues; youth-participation forums; educational, community health, and cultural programs; sports coverage, and the opportunity for all to interact on air with current issues affecting themselves, their families and communities towards development and growth.

Contents.

Pangani FM radio platform plays a major role of making sure UZIKWASA’s
interventions are shared with the entire community and engage them in active social-dialogue.
The radio facilitates and informs communities about success and challenges in their lives and mobilizes them to take charge of their own development.
Through participatory approaches and strategically live broadcasting of community events and through interactive radio programs such advantageous manner which results to;

Empower community to take charge of their own development using local resources and promote good leadership.
Sharing the learning from intervention approaches that build self-awareness.

Empower community to take charge of their own development using local resources and promote good leadership.
Sharing the learning from intervention approaches that build self-awareness.
Pangani FM facilitates reflective leadership to foster change in contributing to a growing movement of transformation beyond Pangani District.