Recent posts
30 May 2022, 6:54 pm
Kilimo cha umwagiliaji chawanusuru wanawake dhidi ya ukatili Pangani.
Baadhi ya wanawake wanaojishughulisha na kilimo cha umwagiliaji katika bonde la mauya lililopo katika kijiji cha mseko wilayani pangani mkoani Tanga wameshukuru kwa kuwezeshwa kufanya kilimo hicho kwa faida kwani kwa sasa kimekua kikichangia kuwainua kiuchumi. Wakizungumza na Pangani FM…
24 May 2022, 8:08 pm
Ubalozi wa Ireland wafanya ziara Pangani.
Ubalozi wa Ireland nchini Tanzania jana umefika hapa wilayani Pangani Mkoani Tanga ili kujionea Shughuli mbalimbali zinazofanywa na Shirika la UZIKWASA ambalo linafadhiliwa na mpango maalum wa Serikali ya Ireland wa misaada ya maendeleo ya kimataifa [Irish Aid]. …
14 May 2022, 5:43 pm
Vikundi vya Pangani kunufaika na Uchumi wa Bluu
Mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya ya Pangani Bwana Isaya Mbenje amesema wilaya imeanza kujiandaa kunufaika na sera ya uchumi wa blue kwa kuunda vikundi mbalimbali vinavyohusika na rasimimali za bahari. Akizungumza na Pangani Bwana Mbenje amesema kuwa tayari kwa wilaya…
15 April 2022, 7:46 pm
Wanafunzi watakiwa kuwa makini kipindi cha likizo ya Pasaka.
Wito umetolewa kwa wanafunzi wa shule za msingi na sekondari wilayani Pangani mkoani Tanga kuwa makini na kuzingatia tahadhari zote dhidi ya vishawishi vibaya katika kipindi hiki ambacho wapo kwenye mapumziko mafupi ya sikukuu za Pasaka. Wito huo umetolewa…
4 April 2022, 4:59 pm
Halmashauri ya Pangani yazindua kampeni ya upandaji miti.
Halmashuri ya wilaya ya pangani mkoani Tanga imezindua kampeni ya upandaji miti kiwilaya kwa kuhimiza wananchi kupanda miche ya miti mitano kwa kila kaya na kuhakikisha miche hiyo inatunzwa ilikuleta ustawi himilivu wa mazingira . Wakizungumza wakati wa kuzindua kampeni…
29 March 2022, 6:04 pm
DRC kujiunga rasmi na Jumuiya ya Afrika Mashariki
Hatimaye miezi mitatu baada ya Mkutano wa 18 wa wakuu wa nchi za jumuiya ya Afrika Mashariki kuridhia ombi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo kujiunga na jumuiya hiyo, baada ya kujiridhisha na kuona zipo faida za moja kwa moja…
28 March 2022, 4:14 pm
Jela miaka 20 kwa kuwadhalilisha kingono watoto Pangani.
Mahakama ya wilaya Pangani imemhukumu kifungo cha miaka 20 jela Sideti Itekno baada ya kupatikana na shataka la kufanya udhalilishaji wa kingono. Katika hati ya mashtaka iliyowasilishwa na polisi mahakamani hapo ilidaiwa kuwa mnamo tarehe 7 mwezi wa 2 mwaka…
23 February 2022, 8:05 pm
Tembo ahisiwa kuua mtu Pangani
Mwanaume mmoja anayefahamika kwa jina Shaa Omari mwenye umri wa miaka 30 amekutwa akiwa amefariki katika eneo la Kumba Mtoni lililopo wilayani Pangai Mkoani Tanga. Pangani FM imezungumza na kamanda wa Polisi wilaya ya Pangani bwana Cristopher Msofe ambaye amethibitisha…
22 February 2022, 7:13 pm
Majeruhi ajali ya Saadani wapokelewa Pangani.
Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Wilaya ya Pangani Mkoani Tanga Dkt. HASSANI MSAFIRI amesema Majeruhi Wawili katika Ajali iliyotokea Jana maeneo ya SAADANI wamepewa Rufaa ya kwenda Hospitali ya Mkoa BOMBO na wengine bado wanaendelea kupatiwa Matibabu Hospitalini hapo. Akizungumza…
22 February 2022, 7:03 pm
Halmashauri Pangani yatoa ufafanuzi kupanda kwa bei ya nafaka na vifaa vya ujenz…
Halmashauri ya Wilaya ya Pangani Mkoani Tanga imeendelea kushuhudia kupanda kwa bei za baadhi ya bidhaa ikiwemo za Nafaka na Vifaa vya Ujenzi huku ongezeko hilo likitajwa kuwa ni kutokana na hali ya uzalishaji nchini. Hayo yameelezwa hii leo na…