Pangani FM

Recent posts

28 June 2022, 6:30 pm

Marufuku Bidhaa za Misitu kubebwa kwenye Pikipiki Pangani.

Wakala wa Huduma za Misitu (TFS) wilayani Pangani mkoani Tanga imepiga marufuku ubebaji wa mazao ya misitu ikiwemo mkaa kwa kutumia pikipiki ikiwa ni sehemu ya kupunguza mianya ya utoroshaji wa mazao hayo kwa njia za magendo. Afisa mhifadhi wa…

22 June 2022, 1:31 pm

Wazazi wa Pangani na matumizi ya Simu kwa watoto wao.

Wazazi na Walezi Wilayani Pangani Mkoani Tanga wametakiwa kutowapa watoto wao uhuru wa kupitiliza kwenye Matumizi ya simu za mkononi sababu zinaweza kuwa moja sababu ya kuwaharibu kimaadili. Pangani FM imezungumza na wazazi pamoja na walezi wa kijiji cha Kimang’a…

20 June 2022, 7:09 pm

Pangani FM kuongeza nguvu katika Sensa 2022

Kituo cha Redio Pangani FM kilichopo wilayani Pangani mkoani Tanga kinatarajia kuongeza nguvu katika kuisaidia serikali kufanikisha zoezi la sensa ya watu na makazi ya mwaka 2022. Hayo yameelezwa na mhariri wa kituo hicho Bw. Erick Mallya kufuatia mafunzo maalum…

20 June 2022, 6:32 pm

Wanaume wa Pangani na malezi ya Watoto.

Wanaume wilayani Pangani Mkoan Tanga wamepewa wito wa kutimiza vyema wajibu wao katika malezi ya watoto bila ubaguzi wa kijinsia. Wito huo umetolewa na baadhi ya kina mama wilayani humo ambao kwa wamezungumza na Pangani FM. Wanawake hao wamedai kuwa…

14 June 2022, 1:38 pm

Wenye Ualbino waeleza matarajio yao kwenye Bajeti ya 2022/2023

Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Mwigulu Nchemba leo anatarajiwa kuwasilisha bungeni bajeti kuu ya serikali kwa mwaka wa fedha wa 2022/2023. – Katika mwaka wa fedha wa 2022/2023, serikali inatarajia kutumia shilingi trilioni 41 sawa na ongezeko la asilimia…

7 June 2022, 1:46 pm

Halmashauri ya Pangani kugawa miche 544,000 ya Mkonge.

Halmashauri ya wilaya ya Pangani mkoani Tanga kupitia idara ya Kilimo imefanikiwa kukuza miche 544,000 ya zao la Mkonge. Akizungumza katika mahojiano na Pangani FM leo Afisa kilimo wa Halmashauri hiyo Bw. Ramadhani Zuberi amesema miche hiyo imekuzwa katika vitalu…

6 June 2022, 7:12 pm

IRISH AID yafurahishwa na kazi za UZIKWASA Pangani.

Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Ireland, Bw. Joe Hackett, amefanya  ziara wilayani Pangani Mkoani Tanga  akiambatana na Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Maendeleo ya Ireland (Irish Aid), Bw. Michael Gaffey. Katibu huyo amefika katika kijiji cha…

6 June 2022, 5:10 pm

Miche 300 ya Mivinje yapandwa Pangani kuadhimisha siku ya mazingira.

  Viongozi mbalimbali wa wilaya ya Pangani wamejitokeza katika zoezi maalum la upandaji miti kama sehemu ya kuadhimisha  siku ya mazingira mwaka 2022. Zoezi hilo lililofanyika katika fukwe za eneo la Pangadeco limewezesha upandaji wa miche  300 ya miti aina…

30 May 2022, 6:54 pm

Kilimo cha umwagiliaji chawanusuru wanawake dhidi ya ukatili Pangani.

Baadhi ya wanawake wanaojishughulisha na kilimo cha umwagiliaji katika bonde la mauya lililopo katika kijiji cha mseko wilayani pangani mkoani Tanga wameshukuru kwa kuwezeshwa kufanya kilimo hicho kwa faida kwani kwa sasa kimekua kikichangia kuwainua kiuchumi. Wakizungumza na Pangani FM…

Coverage

Comprising a Pangani cultural diversity of the radio reach a population of 2,045,205 ranging from community members to of 33 villages of Pangani district from small business entrepreneurs, local government representatives and neighboring districts of Muheza, Tanga Town, Korogwe, Handeni, Lushoto, Amani and some parts of Zanzibar.

Vision

Pangani district is a place where people enjoy good health and sociol economic well being and are empowered to utilise the benefits of their culture.

Mission

To be committed to a development process that facilitates the Pangani communities towards promotion and ownership of their development agenda through participatory program approaches and collaborations with partners.

“Facilitator for development approaches that listen to people and engage them to find solutions for themselves”

Through participatory approaches and engaging potential stakeholders, Pangani FM ensures balanced content over its 7-days 18-hours each day, Pangani FM broadcast schedule engages in participative dialogue on key social issues with community leaders, and the community at large provides a wide range of edutainment programs such as banjabeat, a popular Tulizana program focusing on the family, intimate partners issues; youth-participation forums; educational, community health, and cultural programs; sports coverage, and the opportunity for all to interact on air with current issues affecting themselves, their families and communities towards development and growth.

Contents.

Pangani FM radio platform plays a major role of making sure UZIKWASA’s
interventions are shared with the entire community and engage them in active social-dialogue.
The radio facilitates and informs communities about success and challenges in their lives and mobilizes them to take charge of their own development.
Through participatory approaches and strategically live broadcasting of community events and through interactive radio programs such advantageous manner which results to;

Empower community to take charge of their own development using local resources and promote good leadership.
Sharing the learning from intervention approaches that build self-awareness.

Empower community to take charge of their own development using local resources and promote good leadership.
Sharing the learning from intervention approaches that build self-awareness.
Pangani FM facilitates reflective leadership to foster change in contributing to a growing movement of transformation beyond Pangani District.