Zenj FM

Recent posts

13 September 2025, 8:41 pm

Dk. Mwinyi: Ajira kwa vijana na uchumi imara ndiyo kipaumbele

Na Mary Julius. Mgombea urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), ambaye pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, ameahidi kuwa endapo atachaguliwa serikali yake itahakikisha inalivuka lengo la kuwaajiri vijana…

12 September 2025, 6:18 pm

Polisi wamshikilia kijana kwa mauaji baada ya ugomvi wa biashara

Na Omar Hassan. Jeshi la Polisi Mkoa wa Kusini Unguja linamshikilia Mohamed Khamis Hamadi maarufu Edi Mkono(25) Mkazi wa Tunguu Mchamvyani kwa tuhuma za mauaji.Akizungumza na waandishi wa habari Kamanda wa PolisI Mkoani Tunguu – Kusini Unguja (SACP) Daniel Shillah…

11 September 2025, 8:39 pm

Magari mapya 25 kuongeza ufanisi wa polisi Zanzibar

Na Omar Hassan. Kamishna wa Polisi Zanzibar CP Kombo Khamis Kombo amekabidhi magari mapya 25 kwa Makamanda wa Polisi wa Mikoa na Wakuu wa Vitengo vya Polisi ambazo zimetolewa na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwaajili ya kuboresha…

11 September 2025, 8:11 pm

Mbio za Ikulu Zanzibar zaanza rasmi, ZEC yabariki

Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC), Jaji George Joseph Kazi ,amesema Tume hiyo imewateua rasmi wagombea kumi na mmoja (11) wanaowania nafasi ya Rais wa Zanzibar katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025 na kuwakabidhi vyeti vyao vya uteuzi…

10 September 2025, 9:42 pm

Magari yenye namba feki yakamatwa Zanzibar

Na Mary Julius. Jeshi la Polisi Kamisheni ya Zanzibar limewakumbusha wananchi wanaotaka kuweka namba au majina binafsi kwenye magari yao kuhakikisha wanazingatia utaratibu uliowekwa kwa kwenda kusajili namba hizo katika Mamlaka ya Mapato Zanzibar (ZRA).Akizungumza na waandishi wa habari, huko…

10 September 2025, 7:29 pm

ZEC: Vyama 12 vyarudisha fomu za urais Zanzibar, CUF yaenguliwa

Ikiwa leo ni siku ya mwisho ya kuwasilisha fomu za kugombea urais kwa upande wa Zanzibar, Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC) imethibitisha kuwa jumla ya vyama 12 kati ya 17 vimerudisha fomu, huku chama kimoja, CUF, kikienguliwa kwa kutotimiza…

9 September 2025, 7:53 pm

Wagombea 5 wa urais Zanzibar wakamilisha masharti, warejesha fomu ZEC

Na Mary Julius Wagombea watano wa nafasi ya Urais wa Zanzibar wamerejesha fomu zao kwa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) baada ya kukamilisha masharti yote ya kisheria, ikiwemo kupata wadhamini wasiopungua 1,000 kutoka katika mikoa yote mitano ya Zanzibar.Akizungumza mara…

8 September 2025, 8:16 pm

ZEC: Wanahabari zinagatieni maadili katika kuripoti uchaguzi

Na Mary Julius. Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), Jaji George Joseph Kazi, amewataka waandishi wa habari kuepuka kutumia lugha za chuki, uchochezi, au zinazoleta mgawanyiko wa kijamii kwa misingi ya ukabila, dini, au itikadi.Akizungumza katika ukumbi wa Tume…

5 September 2025, 6:51 pm

ACT Wazalendo yapongeza polisi, yatoa wito wa uhuru wa kazi

Na Omar Hassan. Mwenyekiti wa Chama cha ACT Wazalendo ambae pia ni Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Othman Masoud Othman amewapongeza watendaji wa Jeshi la Polisi kwa utendaji mzuri na amehimiza Jeshi hilo lifanye kazi kwa uhuru na…

4 September 2025, 5:09 pm

Uchaguzi wa 2025 kuwa rafiki kwa watu wenye mahitaji maalum

Na Mary Julius. Mkuu wa Mkurugenzi wa Elimu ya Wapiga Kura na Mawasiliano kwa Umma wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar ZEC, Juma S. Sheha, amesema tume hiyo imejipanga kikamilifu kuhakikisha watu wenye mahitaji maalum wanashiriki ipasavyo katika Uchaguzi Mkuu wa…

We are the Voice of the Coast…

Zenji 96.90 FM is the first private radio station in the Tanzania isles. Currently, Zenji FM is rated as the leading radio station in Zanzibar in total listenership according to various media research reports.
Launched in 2005, Zenji FM integrates education and business in a professional media setting having well researched and tailored programs to cater for different ages and ethnic groups, and at large, capturing the hearts and minds of youth of ages 15 years to adults of 45 years.
Ours is the only Radio station in the isles having partnership with world major broadcasters such as BBC, VOA and Deutsche Welle.
Serviced by professional staff, we deliver popular local radio with a powerful social agenda, and being the oldest radio in Zanzabar, Zenji FM is the only radio with a very strong regional as well as local presence.

VISION: 

EDU INFO TAINMENT(Education,information and entertainment) through ….<sauti ya pwani>

MISSION:  by providing Educative, reliable information and Entertaining program to all age group