Pambazuko FM Radio
Pambazuko FM Radio
3 October 2025, 12:21
Wazazi waomba msaada wa kifedha kiasi cha Tsh.Mil 4 na laki tatu kwa ajili ya kufanikisha matibabu ya Mtoto anayetakiwa kufanyiwa upasuaji kutokana na changamoto nadra aliyozaliwa nayo jinsi inayoleta mkanganyiko Na Katalina Liombechi Katika kitongoji cha magoha Kata ya…
3 October 2025, 09:56
Wazee 300 na wajane 334 wa Ifakara wamepatiwa kadi za bima ya afya ya CHF ili kuboresha huduma za afya. Mkuu wa wilaya ameagiza maboresho ya huduma kwa wazee na kuwataka wawezeshwe mikopo ya asilimia 10. Na; Isidory Mtunda Wazee…
1 October 2025, 19:41
Mradi huu unatekelezwa katika Halmashauri ya Mlimba kwa gharama ya shilingi bilioni 6, huku kiasi kingine kikitekelezwa katika Wilaya mbili za Zanzibar Na Katalina Liombechi/Kuruthumu Mkata Kikao cha siku tatu cha uthibitishaji wa ripoti za tathmini ya mradi wa maboresho…
25 September 2025, 21:49
Jamii bado inahitajika kuchukua jukumu la ulinzi na uangalizi wa mtoto ili aweze kutimiza ndoto zake bila vikwazo Na Hija namsa/Katalina Liombechi Watoto wa kike wanne kati ya 67 wameshindwa kuhitimu Elimu ya Sekondari Katika shule ya Matundu hill iliyopo…
23 September 2025, 18:33
Wakulima Ifakara wamefundishwa umuhimu wa kupima udongo na kutumia mbolea kulingana na mahitaji halisi ya udongo. Na; Isidory Mtunda Wakulima katika halmashauri ya mji wa Ifakara, wilaya ya Kilombero, wamepatiwa mafunzo juu ya kanuni bora za kilimo, hususan umuhimu wa…
19 September 2025, 10:32
Wananchi wa Kijiji cha Sululu wilayani Kilombero wameeleza kero ya tembo kuharibu mazao na mzigo wa kuchangia walimu wa kujitolea. Mkuu wa wilaya, Wakili Dunstan Kyobya ameahidi hatua za haraka kutatua changamoto hizo. Na: Kuruthum Mkata Wananchi wa Kijiji cha…
18 September 2025, 23:05
SIDO yamaliza mafunzo ya siku 3 kwa wajasiriamali 250 Kilombero na kutunuku vyeti; DC atoa agizo la kufunguliwa kwa ofisi ya SIDO wilayani humo kusogeza huduma karibu na wananchi. Na; Isidory Mtunda Washiriki 250 wa semina ya wajasiriamali, wawekezaji na…
18 September 2025, 10:53
SIDO Mkoa wa Morogoro kwa kushirikiana na taasisi mbalimbali imeendesha semina ya siku tatu kwa wajasiriamali, wawekezaji na wenye viwanda Ifakara, kwa lengo la kuwawezesha kupata ujuzi wa kukuza biashara na kuepuka migogoro ya kikodi na changamoto za usajili wa…
17 September 2025, 22:50
TRA Mkoa wa Morogoro imeendelea kutoa elimu kwa wafanyabiashara wa Kilombero kuhusu mabadiliko ya sheria za kodi, matumizi ya mashine za EFD, na umuhimu wa usajili wa TIN, ikiwa ni sehemu ya kuongeza uelewa na kuimarisha ukusanyaji wa mapato. Na;…
16 September 2025, 08:53
TRA Mkoa wa Morogoro imetoa elimu kwa wafanyabiashara wa Ifakara kuhusu mabadiliko ya sheria za kodi na matumizi sahihi ya mashine za EFD, ikiwa ni sehemu ya juhudi za kuhamasisha ulipaji wa kodi kwa hiari na kuongeza uelewa wa majukumu…
Providing a radio broadcasting platform for advocacy,capacity bulding ,Information sharing and Dissemination to the community.
Becoming the best radio station by satisfying listeners needs through innovative and quality radio programs.