Chai FM
Chai FM
4 August 2024, 3:10 pm
Zao la parachichi linakwenda kuongezewa thamani baada ya serilikali kujenga kituo cha kuhifadhia mbogamboga na matunda. RUNGWE-MBEYA Na Lennox Mwamakula Mkandarasi wa mradi wa ujenzi wa kituo jumuishi cha kuongeza thamani ya mazao ya bustani hususani parachichi amekabidhiwa eneo la…
4 August 2024, 1:26 pm
Mkuu wa Wilaya ya Rungwe Jafarr Hanniu akimkabidhi cheti Mkurugenzi Mtendaji wa halmashauri ya Busokeo Bi, Loema Peter [Picha na Lennox Mwamakula] Kutokana na kuwepo kwa vitendo vya ukatili jamii imetakiwa kutoa taarifa kwa vingozi wa serikali ili kuweza kuwabaini…
30 July 2024, 3:47 pm
ASP Mstapher akitoa kwa wananchielimu juu ya vitendo ukatili ili kukabiliana na vitendo ya ukatili kwenye jamii jeshi la polisi limeomba ushirikiano ili kuwabaini wanao fanya vitendo hivyo. RUNGWE-MBEYA Na Lennox mwamakula Jamii imeshauriwa kutoa ushirkiano kwenye jeshi la polisi…
28 July 2024, 11:47 am
kutokana na kuwamaa kwa ujenzi wa zahanati wananchi wametoa malalamiko yao mbele ya mbunge ili aweze kuwaondolea mtendaji wa kijiji RUNGWE-MBEYA Na Lennox mwamakula Wananchi wa kijiji cha lulasi kata ya Mpombo halmashauri ya busokelo wameviomba vyombo vya uchunguzi kumchunguza…
26 July 2024, 1:12 pm
Wakati vilabu mbalimbali vya mpira vinavyoshiriki Ligi Kuu Tanzania Bara ya NBC vikijiandaa na msimu mpya wa ligi mashabiki wa mpira wamekuwa na maoni tofauti kulingana na sajili zilizofanywa na vilabu vyao. Na Gwamaka Mwakisyala – Rungwe Kuelekea msimu mpya…
14 July 2024, 12:22 pm
Kuwepo kwa watumishi wa umma wasio waaminifu kunapelekea kurudisha nyuma maendeleo ya nchi. BUSOKELO-MBEYA Na Lennox Mwamakula Mbunge wa Jimbo la Busokelo Atupele Freddy Mwakibete amemwagiza Meneja wa Tanesco wa halmashauri ya Busokelo kuzirejesha nguzo za umeme zilizoibwa kwenye makazi…
11 July 2024, 8:51 am
Katibu wa mbunge jimbo la Rungwe ndg Gabriel Mwakagenda akiongea na vyombo vya habari katika kukabiliana na changamoto ya masoko mbunge wa jimbo la Rungwe amesema kwamba serikali inatarajia kujenga soko la ndizi ili kuinua uchumi wa mkulima. RUNGWE-MBEYA Na…
10 July 2024, 12:45 pm
Na Lennox Mwamakula Kutokana na kukosekana kwa huduma ya maji katika zahanati ya Ngeleka katika kata ya Kisegese imesababisha zahanati hiyo kutoanza kufanya kazi kwa wakati ambapo mbunge wa jimbo la Busokelo Mh. Fredy Atupele Mwakibete amewaagiza RUWASA kushughulikia suala…
10 July 2024, 10:50 am
Ni takribani siku tano zimepita tangu mahakama ya wilaya ya Rungwe ilivyomtia hatiani na kumhukumu kifungo cha miaka miwili gerezani au kulipa faini ya shilingi milioni tano kijana Shadrack Chaula (24) sasa yupo huru baada ya kulipa faini. Na Ezekiel…
10 July 2024, 9:44 am
Na Cleef Mlelwa – Makambako Wafanyabiashara 112 wa mazao ambao waliingia ubia na halmashauri ya mji wa Makambako katika ujenzi wa soko la mazao kiumba lilopo kata ya Lyamkena wametakiwa kuhamia kwenye soko hilo huku halmashauri ikikitakiwa kuzuia magari makubwa…
Chai FM radio ni radio inayomilikiwa na Umoja wa wakulima wa Chai Rungwe, Ilianzishwa kwa lengo la kuhakikisha mkulima wa Chai wilaya ya Rungwe anapata taarifa sahihi ambazo zitasaidia kuendeleza zao la Chai pamoja na shughuli zake za kiuchumi, Elimu na Kijamii.
Uwepo wa radio Chai FM umesaidia mkulima wa zao la Chai wilaya ya Rungwe kupata taarifa kwa wakati zinazohusu zao la chai na mwenendo wake pamoja na elimu juu ya kilimo biashara kwa zao la chai na mazao mengine pamoja na ufugaji.
Hii ni kutokana na uguu wa kufikisha taarifa ya masuala ya kilimo kwa wakulima wa chai jiografia ya wilaya ikiwa ni kikwazo kwa wakulima kupata taarifa mbalimbali za ndani na nje ya wilaya pamoja na mpango wa kilimo endelevu.
Dira
Kuona jamii ya wakulima na wafugaji wa wilaya ya Rungwe wanakuwa na maisha bora
Dhamira
Kushirikiana na wadau mbalimbali wa maendeleo wa ndani na nje ya Wilaya ya Rungwe kuelimisha na kutoa taarifa za kilimo, mifugo, biashara,viwanda na habari za kijamii kupitia vipindi vya redio.
Chai Fm Radio inasikika maeneo tofauti kama ifuatavyo
Mkoa wa Mbeya – Wilaya za Rungwe, Busokelo, Kyela, na Mbeya Vijijini kwa baadhi ya maeneo
Mkoa wa Njombe – Wilaya za Makete, Ludewa
Mkoa wa Songwe – Wilaya za Ileje na Songwe kwa baadhi ya maeneo
Mkoa wa Ruvuma – Wilaya za Mbinga na Nyasa.
Lakini pia chai Fm inapatikana ukiwa popote duniani kupitia radiotadio.co.tz/chaifm/