Chai FM

Recent posts

12 December 2023, 1:28 pm

Wananchi waomba kuanzishwa halmashauri mpya Makete

Na Mwandishi wetu – Makete Wananchi na wadau wa maendeleo wa kata 11 kati ya 23 za halmashauri ya wilaya ya Makete mkoani Njombe wameiomba serikali kuigawa halmashauri hiyo na kuazisha halmashauri mpya kutokana na jiografia ya wilaya hiyo. Kikao…

12 December 2023, 12:59 pm

Taasisi ya Tulia Trust yadhamiria kuondoa umasikini kwenye jamii

kutokana na kuto kuwepo kwa usawa ndani ya jamii taasisi ya Tulia Trust imeendelea na kampeni yake ya kukimbiza Bendera ikiwa imebeba ujumbe wa upendo, usawa na uwajibikaji wa kuwatembelea wenye mahitaji maalumu wilayani Rungwe. RUNGWE..MBEYA Na lennox Mwamakula Taasisi…

12 December 2023, 10:11 am

Wananchi wilayani Rungwe walia na mradi wa maji

Baada ya kukosekana kwa huduma ya maji katika kata ya ikuti mbunge wa jimbo la Rungwe amewaomba wananchi kuwa na subira serikali inapoendelea kutekeleza mradi wa maji wa ikuti na lyenje. Mbunge wa jimbo la Rungwe Albert Mwantona akiongea na…

9 December 2023, 5:07 pm

Wanawake wilayani wakomesha ukatili

kufuatia na kuwepo kwa vitendo vya ukatili kwenye jamii wanawake wanatakiwa kuwa mstari wa mbele kuripoti kwenye vyombo vya sheria. RUNGWE-MBEYA Na Lethicia Shimbi Ikiwa bado ni Mwendelezo wa kampeni za kupinga ukatili wa kinjinsia Duniani  Wanawake Wilayani Rungwe Mkoani…

7 December 2023, 4:54 pm

Wazazi, walezi watajwa chanzo cha mimba za utotoni

Malezi yasiyozingatia misingi bora pamoja na ukosefu wa elimu ya uzazi imetajwa kuwa chanzo cha mimba za utotoni wilayani Rungwe mkoani Mbeya. Na Sabina Martin Mimba katika umri mdogo imetajwa kuwa ni miongoni mwa ukatili uliokithiri katika jamii ya wananchi…

2 December 2023, 7:07 am

Rungwe yajinasua na maambukizi ya usubi

Baada ya kufanyika kwa tafiti mbalimbali kuhusu kuwepo kwa ugonjwa wa usubi mikoa ya nyanda za juu kusini jamii imehamasika na unywaji wa dawa na kuweza kutokomeza. wadau mbalimbali wakiwemo watendaji wa kata,wenyeviti wa vijiji , madiwani,maafisa tarafa na madaktari…

29 November 2023, 8:54 am

Polisi kukabiliana na vitendo vya kikatili Rungwe

ili kuweza kutokomeza vitendo vya unyanyasaji wa kijinsia ikiwa ni pamoja na ukatili kwa wanawake na watoto jamii imetakiwa kuwa mstari wa mbele kutoa taarifa kwenye vyombo vya kisheria. RUNGWE-MBEYA Na Lennox Mwamakula Jamii imeshauriwa kuachana na vitendo vyaa kikatili…

23 November 2023, 3:53 pm

Bei elekezi ya parachichi iliyotolewa na serikali yawanufaisha wakulima Rungwe

Kutokana na kuwepo kwa wanunuzi wanaowadanganya wakulima, serikali imeamua kutoa bei inayotakiwa kampuni zinunue parachichi ili kumkomboa mkulima. Mkuu wa mkoa akizungumza na wadau wa parachichi[picha na Lennox Mwamakula] Afisa kilimo wa wilaya Juma Mzala amebainisha utaratibu wakufuata kwa mnunuzi…

23 November 2023, 10:18 am

Rungwe yakusanya 122.22% ya mapato robo ya kwanza

Elimu ya ulipaji wa kodi inayotolewa kwa jamii imeonesha matokeo chanya kwa baadhi ya halmashauri hapa nchini kwa kuvuka malengo ya ukusanyaji wa mapato. RUNGWE-MBEYA Na lennox mwamakula Halmashauri ya wilaya ya Rungwe katika kipindi cha robo ya kwanza kuanzia…

21 November 2023, 3:17 pm

Tozo za maegesho zawakwamisha bodaboda

RUNGWE-MBEYA Sheria ndogo zinazopitishwa kwenye vikao vya mabaraza ya madiwani kukwamisha baadhi ya shughuli za kimaendeleo kwenye maeneo husika. Na Lennox mwamakula Kutokana na kuwepo kwa kamatakamata ya vyombo vya moto na kutozwa faini ya maegesho waendesha pikipiki maarufu bodadoda…

Kuhusu Chai FM

Chai FM radio ni radio inayomilikiwa na Umoja wa wakulima wa Chai Rungwe, Ilianzishwa kwa lengo la kuhakikisha mkulima wa Chai wilaya ya Rungwe anapata taarifa sahihi ambazo zitasaidia kuendeleza zao la Chai pamoja na shughuli zake za kiuchumi, Elimu na Kijamii.

Uwepo wa radio Chai FM umesaidia mkulima wa zao la Chai wilaya ya Rungwe kupata taarifa kwa wakati zinazohusu zao la chai na mwenendo wake pamoja na elimu juu ya kilimo biashara kwa zao la chai na mazao mengine pamoja na ufugaji.

Hii ni kutokana na uguu wa kufikisha taarifa ya masuala ya kilimo kwa wakulima wa chai jiografia ya wilaya ikiwa ni kikwazo kwa wakulima kupata taarifa mbalimbali za ndani na nje ya wilaya pamoja na mpango wa kilimo endelevu.

Dira

Kuona jamii ya wakulima na wafugaji wa wilaya ya Rungwe wanakuwa na maisha bora

Dhamira

Kushirikiana na wadau mbalimbali wa maendeleo wa ndani na nje ya Wilaya ya Rungwe kuelimisha na kutoa taarifa za kilimo, mifugo, biashara,viwanda na habari za kijamii kupitia vipindi vya redio.

Chai Fm Radio inasikika maeneo tofauti kama ifuatavyo

Mkoa wa Mbeya – Wilaya za Rungwe, Busokelo, Kyela, na Mbeya Vijijini kwa baadhi ya maeneo

Mkoa wa Njombe – Wilaya za Makete, Ludewa

Mkoa wa Songwe – Wilaya za Ileje na Songwe kwa baadhi ya maeneo

Mkoa wa Ruvuma – Wilaya za Mbinga na Nyasa.

Lakini pia chai Fm inapatikana ukiwa popote duniani kupitia radiotadio.co.tz/chaifm/