Chai FM

Recent posts

12 September 2023, 8:11 am

Kukosekana kwa wosia chanzo cha migogoro ya ardhi

Utamaduni wa watu wengi kutoandika wosia imetajwa kuwa chanzo cha migogoro ya ardhi katika jamii nyingi nchini Tanzania huku mila na desturi zikitajwa. Na Lennox Mwamakula- Rungwe Jamii imeshauriwa kuwa na utaratibu wa kuandika wosia ili kuondokana na mkanganyiko juu…

11 September 2023, 12:00 pm

CHADEMA: Wananchi washughulikie viongozi wazembe

Kuelekea uchaguzi mdogo wa serikali za mitaa 2024 vyama vya upinzani wameeleza mbinu watakazozitumia kuking’oa chama tawala madarakani. Na Cleef Mlelwa- Makambako Wananchi wa halmashauri ya mji wa Makambako wametakiwa kuwaondoa madarakani viongozi wote wa kisiasa ambao wameshindwa kutatua changamoto…

6 September 2023, 11:39 am

Maadili yatajwa kuwa mwarobaini wa vitendo vya ukatili

RUNGWE – MBEYA Na Fadhili Mwaifulile Jamii wilayani Rungwe Mkoani Mbeya imetakiwa kusimamia maadili kwa watoto wao hususani watoto wa shule za misingi na sekondari. Kauli hiyo imetolewa na katibu tawala wa wilaya ya Rungwe ndg,ALLY KIUMWA kwenye sherehe za…

6 September 2023, 11:08 am

Mwenge wa uhuru kukimbizwa kilomita 156 Rungwe.

RUNGWE – Mbeya Wananchi wilayani Rungwe watakiwa kuchangamkia fursa ya uwepo wa mbio za mwenge kuongeza kipato chao.  Na Lennox Mwamakula Wananchi Wilayani Rungwe Mkoani Mbeya Wametakiwa Kujitokeza Kwa Wingi Wakati  Mapokezi Ya  Mwenge Wa Huru Katika Kijiji Cha Ikuti…

18 August 2023, 12:21 pm

Ujenzi daraja mto Lufilyo mkombozi kwa wakazi wa Luteba, Lufilyo

Na Lennox Mwamakula Wananchi wa kata ya Luteba Halmashauri ya Busokelo wameonesha kufurahishwa na ujenzi wa daraja ambalo linaunganisha kata ya Luteba na Lufilyo. Akiongea katika mkutano wa hadhara uliofanyika kijiji cha Lulasi kata ya Luteba Mbunge wa Jimbo la…

8 May 2023, 8:22 am

uhaba wa chakula shuleni chanzo cha matokeo mabaya Busokelo

RUNGWE Na, Robert Mwakyusa Walimu wilayani Rungwe wameaswa kuwa na mbinu mpya za ufundishaji ili kuboresha ufaulu wa wanafunzi wa masomo ya sayansi. Hayo yamejili kwenye baraza la madiwani  lililo fanyika mwishoni mwa juma katika ukumbi wa halmashuari ya Busokelo.…

20 December 2022, 11:18 am

Rungwe yavuka malengo chanjo ya Uviko-19

KIPINDI: Sikiliza kipindi cha mimi na afya yangu makala maalumu kuhusu Uvumi juu ya chanjo ya Uviko-19 wilayani Rungwe. sikiliza hapa sehemu ya kwanza .

16 December 2022, 12:16 pm

Mbolea ya ruzuku kilio kwa baadhi ya wakulima

RUNGWE- MBEYA NA JUDITH MWAKIBIBI Kutokana na kukosekana kwa mbolea ya ruzuku kwa baadhi ya maeneo Wilaya Rungwe Mkoani Mbeya wakulima wametakiwa kuwa na subira wakati serikali ikiendelea kulishughulikia suala hilo. Hayo yamebainishwa na afisa kilimo wilayani hapa Bw Juma…

16 December 2022, 12:09 pm

Usafi kiboko ya magonjwa ya mlipuko

RUNGWE- MBEYA NA: SABINA MARTIN Msimu huu wa mvua zilizoanza kunyesha wilayani Rungwe mkoani Mbeya wananchi wametakiwa kuchukua tahadhari na kuzingatia afua za afya ili kujikinga na magonjwa ya mlipuko kama vile kipindupindu. Akizungumza na Chai FM ofisini kwake afisa…

Kuhusu Chai FM

Chai FM radio ni radio inayomilikiwa na Umoja wa wakulima wa Chai Rungwe, Ilianzishwa kwa lengo la kuhakikisha mkulima wa Chai wilaya ya Rungwe anapata taarifa sahihi ambazo zitasaidia kuendeleza zao la Chai pamoja na shughuli zake za kiuchumi, Elimu na Kijamii.

Uwepo wa radio Chai FM umesaidia mkulima wa zao la Chai wilaya ya Rungwe kupata taarifa kwa wakati zinazohusu zao la chai na mwenendo wake pamoja na elimu juu ya kilimo biashara kwa zao la chai na mazao mengine pamoja na ufugaji.

Hii ni kutokana na uguu wa kufikisha taarifa ya masuala ya kilimo kwa wakulima wa chai jiografia ya wilaya ikiwa ni kikwazo kwa wakulima kupata taarifa mbalimbali za ndani na nje ya wilaya pamoja na mpango wa kilimo endelevu.

Dira

Kuona jamii ya wakulima na wafugaji wa wilaya ya Rungwe wanakuwa na maisha bora

Dhamira

Kushirikiana na wadau mbalimbali wa maendeleo wa ndani na nje ya Wilaya ya Rungwe kuelimisha na kutoa taarifa za kilimo, mifugo, biashara,viwanda na habari za kijamii kupitia vipindi vya redio.

Chai Fm Radio inasikika maeneo tofauti kama ifuatavyo

Mkoa wa Mbeya – Wilaya za Rungwe, Busokelo, Kyela, na Mbeya Vijijini kwa baadhi ya maeneo

Mkoa wa Njombe – Wilaya za Makete, Ludewa

Mkoa wa Songwe – Wilaya za Ileje na Songwe kwa baadhi ya maeneo

Mkoa wa Ruvuma – Wilaya za Mbinga na Nyasa.

Lakini pia chai Fm inapatikana ukiwa popote duniani kupitia radiotadio.co.tz/chaifm/