Recent posts
10 September 2022, 9:26 am
TOZO ya miamala ya simu yasaidia upatikanaji wa madarasa
RUNGWE-MBEYA Kupitia TOZO ya miamala ya simu, Serikali imetoa jumla ya shilingi Million 12.5 kwa ajili ya ukamilishaji wa chumba Cha darasa katika shule ya Sekondari Ndembela one iliyopo kata ya Makandana. Aidha Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe imetoa kiasi…
10 September 2022, 7:47 am
Jamii iwapeleke watoto wapate chanjo ya polio
RUNGWE-MBEYA NA:WANDE BUSHU Mratibu Wa Chanjo Katika Halmashauri Ya Wilaya Rungwe Mkoani Mbeya Ezekiel Mvile Amewaomba Wazazi Kuwapeleka Watoto Wao Katika Vituo Vya Afya Waweze Kukamilisha Dozi Ya Polio ili Iweze Kuwakinga Na Ugonjwa Huo. Ameyasema Hayo Wakati Akizungumza Na…
10 September 2022, 7:43 am
Wananchi Rungwe mjitokeze kuupokea Mwenge
RUNGWE-MBEYA. NA:JUDITH MWAKIBIBI Wananchi wilayani RUNGWE MKOANI MBEYA wametakiwa kujitokeza kwa wingi katika kuupokea mwenge wa uhuru utakaofika 10sept 2022 ilikuweza kuzindua miradi mbalimbali katika halmashauri. Kauli hiyo imetolewa na mkuu wa wilaya ya Rungwe Dk Vicent Anney alipokuwa ametembelea…
9 September 2022, 10:15 am
kilio uhaba wa maji Rungwe kupata tiba mwezi oktoba
RUNGWE-MBEYA NA:WANDE BUSHU Wananchi wa Kitongoji cha Kawetele chini Wilaya ya Rungwe Mkoani Mbeya wameiomba serikali kuwatatulia changamoto ya huduma ya maji iliyo dumu kwa muda mrefu licha la kulipia bili ya maji kila mwezi Wakizungumza na Chai Fm wamesema …
9 September 2022, 9:57 am
Jamii itoe taarifa kuhusu vitendo vya ukatili
RUNGWE-MBEYA. NA:LETHISIA SHIMBI Baadhi ya Wanawake Wilayani Rungwe mkoani Mbeya wameeleza namna wanavyoshiriki kutoa taarifa za vitendo vya ukatili wa kijinsia katika jamii ili kuweza kutokomeza vitendo hivyo. Wakizungumza na chai fm BAHATI SIMON na MAIDASI NDAMU wamesema endapo vitendo…
9 September 2022, 9:51 am
wakulima elfu 17 tayari wamesajiliwa Mbolea ya ruzuku
RUNGWE-MBEYA NA:LETHISIA SHIMBI Wakulima wilayani rungwe Mkoani mbeya wametakiwa kufuata taratibu wa kujisajili kwenye mfumo Ili kuweza kupata Ruzuku za pembejeo. Akizungumza na kituo Chai FM afisa kilimo wilayani hapa JUMA MZARA amesema katika halmashauri ya Rungwe wamesajiri wakulima elfu…
26 May 2022, 9:49 am
RUNGWE-MBEYA NA:LETHISIA SHIMBI Jamii wilayani Rungwe mkoani Mbeya imetakiwa kuachana na mtazamo hasi kuhusu watu wenye ulemavu badala yake wametakiwa kujumuika kwa pamoja na kushirikiana katika mambo mbalimbali. Rai hiyo imetolewa na Meneja wa shirika la TRAIDCRAFT EXCHARGE Ndg Ledis…
25 May 2022, 10:24 am
Wafanyabiashara 1800 Rungwe wanufaika na mafunzo.
RUNGWE-MBEYA NA:BETRIDA ANYEGILE Wafanyabiashara elfu moja na mia nane kutoka kata takribani kumi Wilayani Rungwe Mkoani Mbeya wamepatiwa mafunzo ya urasimishaji biashara na Mpango wa kurasimisha rasirimali na biashara Tanzania ( MKURABITA). Akizungumza na vyombo vya habari katika kufunga…
22 May 2022, 5:57 am
Mradi wa pamoja wa Wakulima wa Chai Rungwe na Busokelo wafanya uchaguzi wa waju…
RUNGWE-MBEYA. NA:EZEKIEL KAPONELA Mradi wa pamoja wa Wakulima wa Chai Rungwe na Busokelo (RBTC-JE) Tarehe 20.5. 2022 kimefanya uchaguzi wa wajumbe wa bodi, mwenyekiti na makamu mwenyekiti baada ya uongozi uliokuwa madarakani kumaliza muda wake wa miaka mitatu tangu walipochaguliwa…
19 May 2022, 2:22 pm
Mkurabita awa Mkombozi kwa wafanyabiashara
Wafanyabiashara Wilayani Rungwe Mkoani Mbeya wametakiwa kurasimisha shughuli zao za biashara ili kupanua wigo wa kuzifikia fursa mbalimbali ikiwa ni pamoja na urahisi wa kupata mikopo na leseni za biashara. Hayo yamejiri katika ufunguzi wa mafunzo ya kurasimisha biashara za…