Recent posts
12 May 2022, 1:03 pm
MKURABITA yaja na mpango kwa wafanyabiashara Rungwe
RUNGWE-MBEYA Mpango wa kurasimisha rasirimali na biashara Tanzania (MKURABITA) umekuja na mpango wenye lengo kuwawezesha wamiliki wote wenye biashara nje ya mfumo rasmi ili waweze kurasimishwa Wilayani Rungwe hali itakayo saidia kupata mitaji na kuendeleza shughuli zao za kiuchumi. Hayo…
27 April 2022, 12:34 pm
Wadau watakiwa kuibeba sekta ya elimu kwa wenye uhitaji
Mkurugenzi wa Shule za Paradise na Patrick Mission ambaye ni mdau wa maendeleo Mkoa wa Mbeya ,Ndele Mwaselela ameguswa kusaidia wanafunzi wenye uhitaji wapate elimu na kufungua milango ili wadau wengine waweze kujitokeza kusaidia wanafunzi wenye uhitaji . Amesema kumekuwa…
22 April 2022, 1:03 pm
MH. ANTON MWANTONA ametoa vifaa ukarabati na ujenzi wa vyoo shule ya msingi Mab…
RUNGWE-MBEYA Mbunge wa Jimbo la Rungwe MH. ANTON MWANTONA ametoa msaada wa vifaa kwa ajiri ya ukarabati na ujenzi wa vyoo katika shule ya msingi Mabonde iliyopo kata ya Msasani wilayani Rungwe. Akimwakilisha Mbunge kukabidhi vifaa katibu wa mbunge wa…
15 April 2022, 11:34 am
Ukosefu wa pembejeo pamoja na vikundi tazizo wakulima wa Parachichi
RUNGWE-MBEYA Mkuu wa wilaya ya Rungwe Dr.VICENT ANNEY amefanya ziara ya kuwatembelea wakulima wa mapachichi kwa lengo la kujua changamoto zinazowakabili katika zao hilo. Wakulima zao la palachichi wa kijiji cha Ibungila kata ya Malindo wameeleza changamoto zinazowakabili katika zao…
8 April 2022, 7:43 am
Watumiaji wa vyombo vya moto wametakiwa kujua umuhimu wa fidia ya bima
RUNGWE-MBEYA Watumiaji wa vyombo vya moto wametakiwa kujua umuhimu wa fidia ya bima ya gari baada ya kupata ajali ilikuweza kupata fidia pindi apatapo matibabu. Hayo yamejiri baada ya mkuu wa kitengo cha usalama barabarani wilaya ya Rungwe Felix Kakolanya…
3 April 2022, 6:24 am
Jamii itoe taarifa vitendo vya ukatili kwenye madawati
RUNGWE-MBEYA Taasisi isiyo ya kiserikali inayotekeleza mradi wa mwanamke imara WiLDAF imetaka jamii kutoa taarifa kwenye madawati ya kijinsia pindi vitendo vya ukatili vinapojitokeza katika jamii. kauli hiyo imetolewa wana Mwanasheria SUZAN KAWANGA pamoja na mwelimishaji Ndg THOMAS MPONDA waliopokuwa…
22 March 2022, 8:47 am
Wanunuzi parachichi wafuate bei elekezi ya serikali
RUNGWE-MBEYA Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Rungwe MPOKIGWA MWANKUGA amewataka wakulima wa zao la parachichi kuuza zao hilo kwa kufuta bei elekezi iliyotolewa na serikali ya shilingi 1600 kwa kilo. Ametoa kauli hiyo alipo kuwa akitoa elimu kwa wananchi…
18 March 2022, 9:19 am
Watumiaji wa barabara watakiwa kuzingatia sheria za usalama barabarani
RUNGWE Na Lennox Mwamakula Mkuu wa kikosi cha usalama Barabarani wilayani Rungwe mkoani Mbeya FELIX KAKOLANYA amewataka waendesha vyombo vya moto kufuata sheria za barabarani wanapo tumia vyombo hivyo. Kauli hiyo ameitoa wakati akizungunza na madereva pamoja na watumiaji wengine…
16 March 2022, 11:11 am
Jicho la mama mkombozi wa watoto yatima na wasiojiweza Rungwe
RUNGWE, Na Sabina Martin Msaada wa mahitaji mbalimbali wenye thamani ya zaidi ya shilingi laki sita umetolewa kwa watoto yatima katika kituo cha kulelea watoto hao cha Igongwe wilayani Rungwe mkoani Mbeya. Mwenyekiti wa kikundi cha wanawake cha jicho la…
16 March 2022, 10:41 am
Kamati ya Bunge ya uongozi ya serikali za mitaa [TAMISEMI ] yaridhishwa ujenzi w…
RUNGWE Na Lennox Mwamakula Kamati ya Bunge ya uongozi ya serikali za mitaa [TAMISEMI ] imefanya ziara wilayani Rungwe mkoani Mbeya ya ukaguzi wa barabara ya kutoka Masebe-Bugoba hadi Lutete yenye urefu wa kilometa 12 iliyo jengwa kwa kiwango cha…