Chai FM
Chai FM
4 October 2024, 6:29 pm
vyama vya ushika vimetakiwa kuwa mstari wa mbele kusimamia maslai ya wakulima RUNGWE-MBEYA Na Lennox Mwamakula Ili kuhakikisha wakulima wanalima kilimo chenye tija wakulima wanao zalisha mazao ya kahawa na kakao wilayani Rungwe wamepatiwa mafunzo ya kuwajengea uwezo wa namna…
3 October 2024, 6:08 pm
Ili kuinua uchumi wa wananchi serikali imejenga barabara ya kiwango cha lami kwa lengo la mkulima kuweza kusafirisha mazao yake kwa urahisi. Na Lennox Mwamakula Waziri wa Katiba na Sheria Prof. Palamagamba John Kabudi ametembelea na kukagua mradi wa barabara …
2 October 2024, 8:13 pm
Katika kuadhimisha Siku ya Wazee Duniani wazee wameiomba serikali kuweka utaratibu wa kuyatambua mabaraza ya wazee nchini NA Lennox Mwamakula Baraza la Ushauri la Wazee wilaya ya Rungwe limeiomba serikali kuanzisha utaratibu maalum wa kuyatambua mabaraza ya wazee kuanzia ngazi…
5 September 2024, 4:45 pm
ili kuendelea kulinda misitu yetu jamii imetakiwa kupewa elimu juu ya utunzaji wa mitu ikiwa ni pamoja kutokukata miti ovyo bali ilindwe kwa kutunzwa kwa dhumini la kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi. RUNGWE-MBEYA Na Lennox Mwamakula Mbunge wa viti maalumu…
27 August 2024, 4:13 pm
Jamii imeshauriwa kuendelea kutunza mazingira kwa kupanda miti rafiki ili kukabiliana ma mabadiliko ya tabianchi. RUNGWE-MBEYA Na Sabina Martin Wananchi wilayani Rungwe mkoani Mbeya wametakiwa kujitokeza kupiga kura na kuchagua viongozi wenye weledi na sifa siku ya uchaguzi wa serikali…
24 August 2024, 12:48 pm
Miradi mbamlibali inatarajiwa kuzinduliwa na mwenge wa uhuru katika halmashauri ya wilaya ya Rungwe RUNGWE-MBEYA Na Lennox Mwamakula Wananchi wilayani Rungwe mkoani Mbeya wameombwa kujitokeza kupokea mwenge wa uhuru unaotarajiwa kungia siku ya tarehe 27 mwezi huu na kutembelea miradi…
24 August 2024, 11:48 am
Mwenyekiti wa jumuiya ya wazazi Issa mwakagenda akiongea kwenye baraza la wazazi la chama cha mapinduzi jamii imeshauriwa kushiriki kikamilifu kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa ili kupata viongozi bora RUNGWE-MBEYA Na lennox Mwamakula Kamati za utekelezaji za kata zimatakiwa…
20 August 2024, 9:47 am
Wivu wa mapenzi na tatizo la uchumi imetajwa kuwa chanzo cha watu wengi kufanya mamuzi magumu hata kuondoa uhai wao wenyewe Na Sabina Martin – Rungwe Kijana mmoja aliyefahamika kwa jina la Shafki Mkwama amekutwa amejingonga nyumbani kwake kijiji cha…
8 August 2024, 11:11 am
kutokana na jamii kutokuwa na uwelewa juu ya masuala ya sheria serikali inatakiwa kuweka utaratibu wa kuelimisha wananchi wake RUNGWE-MBEYA Na Gwamaka Mwakisyala Ili kuhakikisha kuna kuwa na uwelewa wa sheria mbalimbali za nchi kwa wananchi,taasisi za kiraia na za…
6 August 2024, 11:56 am
Watumishi wa uma wametakiwa kuwa mstari wa mbele kusimamia maadili ya kazi kwa lengo la kuleta ufanisi katika utendaji. RUNGWE-MBEYA Na Lennox Mwamakula Kufuatia halmashauri ya wilaya ya Rungwe kukusanya asilimia 102 ya makusayo ya fedha kwa mapato ya ndani…
Chai FM radio ni radio inayomilikiwa na Umoja wa wakulima wa Chai Rungwe, Ilianzishwa kwa lengo la kuhakikisha mkulima wa Chai wilaya ya Rungwe anapata taarifa sahihi ambazo zitasaidia kuendeleza zao la Chai pamoja na shughuli zake za kiuchumi, Elimu na Kijamii.
Uwepo wa radio Chai FM umesaidia mkulima wa zao la Chai wilaya ya Rungwe kupata taarifa kwa wakati zinazohusu zao la chai na mwenendo wake pamoja na elimu juu ya kilimo biashara kwa zao la chai na mazao mengine pamoja na ufugaji.
Hii ni kutokana na uguu wa kufikisha taarifa ya masuala ya kilimo kwa wakulima wa chai jiografia ya wilaya ikiwa ni kikwazo kwa wakulima kupata taarifa mbalimbali za ndani na nje ya wilaya pamoja na mpango wa kilimo endelevu.
Dira
Kuona jamii ya wakulima na wafugaji wa wilaya ya Rungwe wanakuwa na maisha bora
Dhamira
Kushirikiana na wadau mbalimbali wa maendeleo wa ndani na nje ya Wilaya ya Rungwe kuelimisha na kutoa taarifa za kilimo, mifugo, biashara,viwanda na habari za kijamii kupitia vipindi vya redio.
Chai Fm Radio inasikika maeneo tofauti kama ifuatavyo
Mkoa wa Mbeya – Wilaya za Rungwe, Busokelo, Kyela, na Mbeya Vijijini kwa baadhi ya maeneo
Mkoa wa Njombe – Wilaya za Makete, Ludewa
Mkoa wa Songwe – Wilaya za Ileje na Songwe kwa baadhi ya maeneo
Mkoa wa Ruvuma – Wilaya za Mbinga na Nyasa.
Lakini pia chai Fm inapatikana ukiwa popote duniani kupitia radiotadio.co.tz/chaifm/