Chai FM
Chai FM
28 April 2025, 4:28 pm
Kwenye kikao cha wadau wa Parachichi kilichofanyika hivi karibuni mkoani Dodoma bei itapangwa na wizara na sio Halmashauri.bei itakuwa moja kwa nchi nzima Na Lennox Mwamakula Ili kukabiliana na kilio cha wakulima wa zao la parachichi wilayani Rungwe mkoani Mbeya…
17 April 2025, 10:22 am
Uwepo wa sheria ya uhifadhi wa mazingira namba 20 ya mwaka 2004 inalenga kuhifadhi mazingira na si vinginevyo. Na Sabina Martin- Rungwe Imeelezwa kuwa uwepo wa sheria ya mazingira inayokataza shughuli za kibinadamu ndani ya mita sitini kutoka katika chanzo…
28 March 2025, 9:16 am
serikali imetakiwa kutatua changamoto ya bei ya zao la parachichi wilayani Rungwe ili mkulima aweze kunufaika na zao hilo RUNGWE-MBEYA Na Erick Gwakisa Makamu mwenyekiti wa Demokrasia na maendeleo CHADEMA bara Mh.John Heche amemtaka waziri wa kilimo Mh.Hussein Bashe kueleza…
28 March 2025, 8:32 am
RUNGWE –MBEYA Na Bertha Izengo Katika msimu huu wa mfungo wa Eid el Fitr Wafanyabiashara wilayani Rungwe mkoani Mbeya waeleza changamoto upatikanaji wa bidhaa kwenye maeneo mbalimbali katika kipindi hiki. Mmoja wa wafanyabiashara soko la nafaka Tandale Bi.Edina Sanga akizungumza…
25 March 2025, 11:33 am
RUNGWE -MBEYA Na Neema Nyirenda Serikali imeombwa kuboresha miundombinu ya masoko yote nchini kwani kutasaidia kuinua uchumi wa watumiaji wa masoko hayo na Taifa kwa ujumla Hayo yameelezwa na wafanyabiashara wa ndizi soko la mabonde lililopo kata ya Msasani wilayani…
19 March 2025, 8:57 pm
Ili kukabiliana na changamoto ya uchumi kwenye jamii taasisi binafsi nchini zinatakiwa kutambua nafasi ya mwanamke. RUNGWE-MBEYA Na Lennox Mwamakula Shirika la SHE CAN Foundation chini ya mkurugenzi wake, ambaye pia ni Mbunge wa viti Maalumu Mkoa wa Mbeya, Sophia…
2 March 2025, 2:29 pm
Katibu tawala wa wilaya ya Rungwe Ally Kiumwa akizungumza na wanufaika wa mikopo serikali ya awamu ya sita imefungua dirisha jipya ya mkopo usiokuwa na riba kwa wanawake,vijana na watuwalemavu RUNGWE-MBEYA Na Lennox Mwamakula Halmashauri ya wilaya ya Rungwe imetoa…
2 March 2025, 11:55 am
Afisa uthibiti ubora wa shule Halmashauri ya Busokelo Bi,Asha Kibiki akiwa ofisini kweke [picha na Peter Tungu] katika kwendana na mabadiliko ya sanyasi na teknolojia jamii imetakiwa kuendana na mabadiliko hayo ili kuweza kuanda watoto kuweza kujiajili BUSOKELO- MBEYA Na…
28 February 2025, 6:54 pm
Wakati binadamu hawezi kuishi bila maji hali ni kinyume chake kwayo maji huweza kuendelea kuwepo hata bila uwepo wa binadamu, kwa umuhimu huo wa maji ni jukumu la kila mmoja kuhakikisha, anatunza, analinda na kuhifadhi vyanzo vya maji. Na Sabina…
11 February 2025, 11:24 am
RUNGWE-MBEYA Mikopo ya serikali inawasaidia wananchi kujikwamua kiuchumi kwa ngazi ya familia na kuinua chumi wa halmashauri kwa ujumla. Na Lennox Mwamakula Zaidi ya shilingi Milioni 177 zimetolewa na Halmashauri ya wilaya ya Busokelo kwa vikundi vya wanawake,vijana na watu…
Chai FM radio ni radio inayomilikiwa na Umoja wa wakulima wa Chai Rungwe, Ilianzishwa kwa lengo la kuhakikisha mkulima wa Chai wilaya ya Rungwe anapata taarifa sahihi ambazo zitasaidia kuendeleza zao la Chai pamoja na shughuli zake za kiuchumi, Elimu na Kijamii.
Uwepo wa radio Chai FM umesaidia mkulima wa zao la Chai wilaya ya Rungwe kupata taarifa kwa wakati zinazohusu zao la chai na mwenendo wake pamoja na elimu juu ya kilimo biashara kwa zao la chai na mazao mengine pamoja na ufugaji.
Hii ni kutokana na uguu wa kufikisha taarifa ya masuala ya kilimo kwa wakulima wa chai jiografia ya wilaya ikiwa ni kikwazo kwa wakulima kupata taarifa mbalimbali za ndani na nje ya wilaya pamoja na mpango wa kilimo endelevu.
Dira
Kuona jamii ya wakulima na wafugaji wa wilaya ya Rungwe wanakuwa na maisha bora
Dhamira
Kushirikiana na wadau mbalimbali wa maendeleo wa ndani na nje ya Wilaya ya Rungwe kuelimisha na kutoa taarifa za kilimo, mifugo, biashara,viwanda na habari za kijamii kupitia vipindi vya redio.
Chai Fm Radio inasikika maeneo tofauti kama ifuatavyo
Mkoa wa Mbeya – Wilaya za Rungwe, Busokelo, Kyela, na Mbeya Vijijini kwa baadhi ya maeneo
Mkoa wa Njombe – Wilaya za Makete, Ludewa
Mkoa wa Songwe – Wilaya za Ileje na Songwe kwa baadhi ya maeneo
Mkoa wa Ruvuma – Wilaya za Mbinga na Nyasa.
Lakini pia chai Fm inapatikana ukiwa popote duniani kupitia radiotadio.co.tz/chaifm/