Chai FM

Recent posts

11 July 2024, 8:51 am

Wakulima kunufaika na soko jipya Rungwe

Katibu wa mbunge jimbo la Rungwe ndg Gabriel Mwakagenda akiongea na vyombo vya habari katika kukabiliana na changamoto ya masoko mbunge wa jimbo la Rungwe amesema kwamba serikali inatarajia kujenga soko la ndizi ili kuinua uchumi wa mkulima. RUNGWE-MBEYA Na…

10 July 2024, 12:45 pm

Maji chanzo zahanati ya Ngeleka kutofunguliwa

Na Lennox Mwamakula Kutokana na kukosekana kwa huduma ya maji katika zahanati ya Ngeleka katika kata ya Kisegese imesababisha zahanati hiyo kutoanza kufanya kazi kwa wakati ambapo mbunge wa jimbo la Busokelo Mh. Fredy Atupele Mwakibete amewaagiza RUWASA kushughulikia suala…

10 July 2024, 10:50 am

Aliyechoma picha ya Rais alipa faini

Ni takribani siku tano zimepita tangu mahakama ya wilaya ya Rungwe ilivyomtia hatiani na kumhukumu kifungo cha miaka miwili gerezani au kulipa faini ya shilingi milioni tano kijana Shadrack Chaula (24) sasa yupo huru baada ya kulipa faini. Na Ezekiel…

10 July 2024, 9:44 am

Halmashauri kuzuia magari kushusha na kupakia mizigo soko kuu Makambako

Na Cleef Mlelwa – Makambako Wafanyabiashara 112 wa mazao ambao waliingia ubia  na halmashauri ya mji wa Makambako katika ujenzi wa soko la mazao kiumba lilopo kata ya Lyamkena wametakiwa kuhamia kwenye soko hilo huku halmashauri ikikitakiwa kuzuia  magari makubwa…

4 July 2024, 4:49 pm

Aliyechoma picha ya rais ahukumiwa

“Kwakua umeshindwa kutetea taifa lako lisiathirike na ushoga hii video inakuhusu wewe na si mtu mwingine” Na Sabina Martin – Rungwe Mahakama ya wilaya ya Rungwe mapema leo julai 4. 2024 imemtia hatiani Bw. Shedrack Yusuph Chaula mwenye umri wa…

3 July 2024, 6:20 pm

Kiwango cha ufaulu chaongezeka Rungwe

Ili kuwa na jamii yenye uelewa walimu wameshauriwa kuwa mstari wa mbele kutoa elimu bora kwa wanafunzi kwa lengo la kujenga kizazi chenye elimu Rungwe-Mbeya Na Bahati Obel Mkuu wa Wilaya ya Rungwe Jaffar Haniu amekemea tabia ya baadhi ya…

16 June 2024, 8:45 pm

Vitendo vya ukatili kwa watoto kukomeshwa Rungwe

wadau wa kupinga vitendo vya ukatili kushirikiana na wazazi kutokomeza vitendo vya vya ukatili vilivyopo kwenye maeneo mbalimbali wilayani Rungwe RUNGWE-MBEYA Na Lennox Mwamakula Ikiwa kila ifikapo juni  16 Tanzania inaungana na mataifa mengine ya nchi za Afrika kuadhimisha siku…

7 June 2024, 10:25 am

Shilingi milioni 90 kuboresha miundombinu Lupata

Ili kuhakikisha wanafunzi wanaendelea kupata elimu katika mazingira mazuri serikali imeendelea kuboresha miundombinu ya elimu nchini. RUNGWE-MBEYA Na Mwandishi wetu Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mhe. Juma Zuberi Homera ameridhishwa na utekelezaji wa miradi ya maendeleo  katika Halmashauri ya Wilaya…

6 June 2024, 9:23 am

Wakulima wa parachichi walia na walanguzi Rungwe

Makampuni yanayo nunua parachichi yamaeonywa kufutiwa vibali kutoka na tabia iliyop ya kuto walipa wakulima fedha zao kwa wakati RUNGWE-MBEYA Na Lennox Mwamakula Kutokana na kuwepo kwa malalamiko ya wakulima wa zao la parachichi kuto lipwa fedha zao serikali imeagiza…

4 June 2024, 5:14 pm

Mkandarasi apewa wiki tatu kukamilisha stendi Rungwe

Ili kuboresha miundombinu wananchi wametakiwa kuwa mstari wa mbele kutoa ushirikiano kwa serikali pindi inapotekelezwa miradi mbalimbali kwenye maeneo yao    RUNGWE-MBEYA Na Lennox Mwamakula Mkuu wa mkoa wa Mbeya Mh, Juma Homera  amemwagiza mkandarasi anayejenga stendi ya Mabasi Tukuyu…

Kuhusu Chai FM

Chai FM radio ni radio inayomilikiwa na Umoja wa wakulima wa Chai Rungwe, Ilianzishwa kwa lengo la kuhakikisha mkulima wa Chai wilaya ya Rungwe anapata taarifa sahihi ambazo zitasaidia kuendeleza zao la Chai pamoja na shughuli zake za kiuchumi, Elimu na Kijamii.

Uwepo wa radio Chai FM umesaidia mkulima wa zao la Chai wilaya ya Rungwe kupata taarifa kwa wakati zinazohusu zao la chai na mwenendo wake pamoja na elimu juu ya kilimo biashara kwa zao la chai na mazao mengine pamoja na ufugaji.

Hii ni kutokana na uguu wa kufikisha taarifa ya masuala ya kilimo kwa wakulima wa chai jiografia ya wilaya ikiwa ni kikwazo kwa wakulima kupata taarifa mbalimbali za ndani na nje ya wilaya pamoja na mpango wa kilimo endelevu.

Dira

Kuona jamii ya wakulima na wafugaji wa wilaya ya Rungwe wanakuwa na maisha bora

Dhamira

Kushirikiana na wadau mbalimbali wa maendeleo wa ndani na nje ya Wilaya ya Rungwe kuelimisha na kutoa taarifa za kilimo, mifugo, biashara,viwanda na habari za kijamii kupitia vipindi vya redio.

Chai Fm Radio inasikika maeneo tofauti kama ifuatavyo

Mkoa wa Mbeya – Wilaya za Rungwe, Busokelo, Kyela, na Mbeya Vijijini kwa baadhi ya maeneo

Mkoa wa Njombe – Wilaya za Makete, Ludewa

Mkoa wa Songwe – Wilaya za Ileje na Songwe kwa baadhi ya maeneo

Mkoa wa Ruvuma – Wilaya za Mbinga na Nyasa.

Lakini pia chai Fm inapatikana ukiwa popote duniani kupitia radiotadio.co.tz/chaifm/