Chai FM
Chai FM
4 July 2024, 4:49 pm
“Kwakua umeshindwa kutetea taifa lako lisiathirike na ushoga hii video inakuhusu wewe na si mtu mwingine” Na Sabina Martin – Rungwe Mahakama ya wilaya ya Rungwe mapema leo julai 4. 2024 imemtia hatiani Bw. Shedrack Yusuph Chaula mwenye umri wa…
3 July 2024, 6:20 pm
Ili kuwa na jamii yenye uelewa walimu wameshauriwa kuwa mstari wa mbele kutoa elimu bora kwa wanafunzi kwa lengo la kujenga kizazi chenye elimu Rungwe-Mbeya Na Bahati Obel Mkuu wa Wilaya ya Rungwe Jaffar Haniu amekemea tabia ya baadhi ya…
16 June 2024, 8:45 pm
wadau wa kupinga vitendo vya ukatili kushirikiana na wazazi kutokomeza vitendo vya vya ukatili vilivyopo kwenye maeneo mbalimbali wilayani Rungwe RUNGWE-MBEYA Na Lennox Mwamakula Ikiwa kila ifikapo juni 16 Tanzania inaungana na mataifa mengine ya nchi za Afrika kuadhimisha siku…
7 June 2024, 10:25 am
Ili kuhakikisha wanafunzi wanaendelea kupata elimu katika mazingira mazuri serikali imeendelea kuboresha miundombinu ya elimu nchini. RUNGWE-MBEYA Na Mwandishi wetu Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mhe. Juma Zuberi Homera ameridhishwa na utekelezaji wa miradi ya maendeleo katika Halmashauri ya Wilaya…
6 June 2024, 9:23 am
Makampuni yanayo nunua parachichi yamaeonywa kufutiwa vibali kutoka na tabia iliyop ya kuto walipa wakulima fedha zao kwa wakati RUNGWE-MBEYA Na Lennox Mwamakula Kutokana na kuwepo kwa malalamiko ya wakulima wa zao la parachichi kuto lipwa fedha zao serikali imeagiza…
4 June 2024, 5:14 pm
Ili kuboresha miundombinu wananchi wametakiwa kuwa mstari wa mbele kutoa ushirikiano kwa serikali pindi inapotekelezwa miradi mbalimbali kwenye maeneo yao RUNGWE-MBEYA Na Lennox Mwamakula Mkuu wa mkoa wa Mbeya Mh, Juma Homera amemwagiza mkandarasi anayejenga stendi ya Mabasi Tukuyu…
3 June 2024, 3:47 pm
Mdau wa maendeleo wilayani Rungwe Ndg Aliko Mwaiteleke Wadau wa maendeleo wameendelea kuunga mkono juhudi za serikali ili kutatua changamoto kwenye jamii RUNGWE- MBEYA Na Noah Kibona Jumla ya Kompyuta 200 zinatarajia kuzinufaisha shule za sekondari 10 kutoka Shirika lisilo…
30 May 2024, 6:37 pm
Mwakilishi wa Mwaiteleke itika nkoba akikabidhi kwaniaba vifaa kwa viongozi wa soko kutokana na uwepo wa taarifa za magonjwa ya mlipuko jamii imeshauliwa kuchukua taadhari ili kuweza kuyaupuka RUNGWE-MBEYA Na Lennox Mwamakula Ili kukabialiana na magonjwa ya milipuko taasisi isiyo…
29 May 2024, 3:39 pm
Mganga mkuu wa hospital ya wilaya ya Rungwe akimshukuru mwenyekiti wa chamata [picha na Lennox Mwamakula] wakazi wa Rungwe wameshauriwa kujenga tabia ya kuwatembelea wagonjwa kwenye hospitali na hata majumbani kwa dhumuni la kufarijiana RUNGWE-MBEYA Na Lennox Mwamakula Jamii imetakiwa…
14 May 2024, 12:07 pm
Wananchi wa kimsikiliza waziri mkuu kasim majaliwa kwenye viwanja vya AMCOS Zao la kakao limekuwa mkobozi kwa mkulima kwa miaka ya hivi karibuni. Na Lennox Mwamakula Serikali imewapiga marufuku viongozi wa chama kikuu Cha ushirika wilayani kyela mkoani mbeya kwenda…
Chai FM radio ni radio inayomilikiwa na Umoja wa wakulima wa Chai Rungwe, Ilianzishwa kwa lengo la kuhakikisha mkulima wa Chai wilaya ya Rungwe anapata taarifa sahihi ambazo zitasaidia kuendeleza zao la Chai pamoja na shughuli zake za kiuchumi, Elimu na Kijamii.
Uwepo wa radio Chai FM umesaidia mkulima wa zao la Chai wilaya ya Rungwe kupata taarifa kwa wakati zinazohusu zao la chai na mwenendo wake pamoja na elimu juu ya kilimo biashara kwa zao la chai na mazao mengine pamoja na ufugaji.
Hii ni kutokana na uguu wa kufikisha taarifa ya masuala ya kilimo kwa wakulima wa chai jiografia ya wilaya ikiwa ni kikwazo kwa wakulima kupata taarifa mbalimbali za ndani na nje ya wilaya pamoja na mpango wa kilimo endelevu.
Dira
Kuona jamii ya wakulima na wafugaji wa wilaya ya Rungwe wanakuwa na maisha bora
Dhamira
Kushirikiana na wadau mbalimbali wa maendeleo wa ndani na nje ya Wilaya ya Rungwe kuelimisha na kutoa taarifa za kilimo, mifugo, biashara,viwanda na habari za kijamii kupitia vipindi vya redio.
Chai Fm Radio inasikika maeneo tofauti kama ifuatavyo
Mkoa wa Mbeya – Wilaya za Rungwe, Busokelo, Kyela, na Mbeya Vijijini kwa baadhi ya maeneo
Mkoa wa Njombe – Wilaya za Makete, Ludewa
Mkoa wa Songwe – Wilaya za Ileje na Songwe kwa baadhi ya maeneo
Mkoa wa Ruvuma – Wilaya za Mbinga na Nyasa.
Lakini pia chai Fm inapatikana ukiwa popote duniani kupitia radiotadio.co.tz/chaifm/