Chai FM

Recent posts

28 May 2025, 9:06 pm

Rushwa yatajwa kuwa chanzo viongozi wasiowajibika

Wajumbe wanaopokea rushwa kwa wagombea wamekuwa chanzo cha viongozi wasiowajibika kwa wananchi. Na Cleef Mlelwa Uwepo wa mifumo ya kisiasa ambayo inaamini katika kugawa vitu kwa wananchi badala ya kuwajengea uwezo utakao wasaidia kujiletea maendeleo na kujitegemea imetajwa kuwa ndio…

27 May 2025, 4:49 pm

Jiko la mkaa chanzo Cha kifo Makambako

licha ya wataalamu kutoa elimu juu ya matumizi ya majiko ya mkaa bado imekua changamoto kwa wakazi wengi wa Njombe hususani masimu huu wa majira ya baridi Na Cleef Mlelwa Yohana Kilowoko mwenye umri wa miaka 37 mkazi wa mtaa…

26 May 2025, 1:08 pm

Miaka 20 ya mapambano dhidi ya Usubi tumefika?

Mapambano dhidi ya ugonjwa wa usubi katika wilaya za Rungwe, Kyela na Ileje yaliyodumu kwa kipindi cha miaka ishirini sasa yamezaa matunda kwa kupunguza maambukizi ya ugonjwa huo. Na Sabina Martin Serikali kupitia wizara ya afya kwashirikiana na Taasisi ya…

16 May 2025, 10:18 am

Tamasha la DSW lawanufaisha vijana Rungwe

ili kukabiliana na vitendo vya ukatili nchini jamii imetakiwa kuwa mstari wa mbele kupinga vitendo hivyo RUNGWE-MBEYA Na Lennox Mwamakula Wanaofanyiwa  vitendo  vya  ukatili kwenye jamii wanatakiwa kujenga utaratibu wa kutoa taarifa kwenye vyombo vya kisheria ili  waweze kupatiwa msaada…

16 May 2025, 9:51 am

Wizara ya Kilimo kutatua kilio cha wakulima Rungwe

serikali kupitia wizara ya kilimo imekuja na mpango wa kusaidia amccos nchini RUNGWE-MBEYA Na Lennox Mwamakula Mbunge wa viti maalum mkoa wa mbeya mh, Sophia Mwakagenda ameishukuru serikali kupitia wizara ya kilimo kwa kujenga Packhouse wilayani Rungwe mkoani Mbeya  ili…

11 May 2025, 3:47 pm

Wanawake wampongeza mkurugenzi wa She Can Foundation Rungwe

wanawake wametakiwa kutumia furusa zilizopo kwenye maeneo yao ili kujikwamua kiuchumi RUNGWE-MBEYA Na Lennox Mwamakula Richa ya serikali kutoa mikopo kwa vikundi vya wanawake ,vijana na watu wenyeulemavu  mkurugenzi wa Taasisi isiyo kuwa ya kiserikali ya SHE CAN FOUNDATION na…

6 May 2025, 5:21 pm

Kikundi cha mwanamke shujaa chamchangia Rais Samia Rungwe

Kwa kutambua kazi zinazofanywa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania jamii imeendelea kuungana na Dkt,samia kuendelea kuwatumikia wananchi kwa kipindi kingine cha miaka mitano ijayo RUNGWE – MBEYA Na Lennox Mwamakula Mkuu wawilaya ya Rungwe Mh,Jaffar Hanniu amepokea…

5 May 2025, 5:27 pm

Wananchi wametakiwa kushiriki kwenye mikutano ya kisheria Rungwe

ili kujiletea maendeleo wananchi wanatakiwa kushiriki kwenye mikutano kawenye maeneo yao RUNGWE-MBEYA Na Derick Gwakisa Wananchi wametakiwa kushiriki kwenye mikutano ya kimaendeleo  inayohitishwa na viongozi kwenye maeneo yao ili kupanga mikakati mbalimbali ya kimaendeleo Wito huo umetolewa na afisa mtendaji wa…

5 May 2025, 4:24 pm

Mikopo ya halmashauri mkombozi kwa vijana Rungwe

serikali imeombwa kupunguza masharti ya kupata mikopo kwa vikundu vya vijana.wanawake na watu wenye ulemavu RUNGWE-MBEYA Na Neema Nyirenda Baada ya serikali kufungua dirisha la mikopo awamu ya kwanza ya asilimia kumi ya halmashauri kwa vikundi vya wanawake,vijana na watu…

5 May 2025, 2:50 pm

Wanawake wakumbushwa kugombea nafasi za uongozi Rungwe

Katika kuelekea uchaguzi mkuu mwaka huu wanawake wametakiwa ushiriki kugombea nafasi mbalimbali za uongozi ndani ya vyama vyao vya siasa RUNGWE -MBEYA Na Bertha Izengo Wanawake nchini wametakiwa kujitokeza kugombea nafasi mbalimbali za uongozi wakati Taifa tunaelekea kwenye uchagaguzi mkuu…

Kuhusu Chai FM

Chai FM radio ni radio inayomilikiwa na Umoja wa wakulima wa Chai Rungwe, Ilianzishwa kwa lengo la kuhakikisha mkulima wa Chai wilaya ya Rungwe anapata taarifa sahihi ambazo zitasaidia kuendeleza zao la Chai pamoja na shughuli zake za kiuchumi, Elimu na Kijamii.

Uwepo wa radio Chai FM umesaidia mkulima wa zao la Chai wilaya ya Rungwe kupata taarifa kwa wakati zinazohusu zao la chai na mwenendo wake pamoja na elimu juu ya kilimo biashara kwa zao la chai na mazao mengine pamoja na ufugaji.

Hii ni kutokana na uguu wa kufikisha taarifa ya masuala ya kilimo kwa wakulima wa chai jiografia ya wilaya ikiwa ni kikwazo kwa wakulima kupata taarifa mbalimbali za ndani na nje ya wilaya pamoja na mpango wa kilimo endelevu.

Dira

Kuona jamii ya wakulima na wafugaji wa wilaya ya Rungwe wanakuwa na maisha bora

Dhamira

Kushirikiana na wadau mbalimbali wa maendeleo wa ndani na nje ya Wilaya ya Rungwe kuelimisha na kutoa taarifa za kilimo, mifugo, biashara,viwanda na habari za kijamii kupitia vipindi vya redio.

Chai Fm Radio inasikika maeneo tofauti kama ifuatavyo

Mkoa wa Mbeya – Wilaya za Rungwe, Busokelo, Kyela, na Mbeya Vijijini kwa baadhi ya maeneo

Mkoa wa Njombe – Wilaya za Makete, Ludewa

Mkoa wa Songwe – Wilaya za Ileje na Songwe kwa baadhi ya maeneo

Mkoa wa Ruvuma – Wilaya za Mbinga na Nyasa.

Lakini pia chai Fm inapatikana ukiwa popote duniani kupitia radiotadio.co.tz/chaifm/