Chai FM
Chai FM
28 May 2025, 9:06 pm
Wajumbe wanaopokea rushwa kwa wagombea wamekuwa chanzo cha viongozi wasiowajibika kwa wananchi. Na Cleef Mlelwa Uwepo wa mifumo ya kisiasa ambayo inaamini katika kugawa vitu kwa wananchi badala ya kuwajengea uwezo utakao wasaidia kujiletea maendeleo na kujitegemea imetajwa kuwa ndio…
27 May 2025, 4:49 pm
licha ya wataalamu kutoa elimu juu ya matumizi ya majiko ya mkaa bado imekua changamoto kwa wakazi wengi wa Njombe hususani masimu huu wa majira ya baridi Na Cleef Mlelwa Yohana Kilowoko mwenye umri wa miaka 37 mkazi wa mtaa…
26 May 2025, 1:08 pm
Mapambano dhidi ya ugonjwa wa usubi katika wilaya za Rungwe, Kyela na Ileje yaliyodumu kwa kipindi cha miaka ishirini sasa yamezaa matunda kwa kupunguza maambukizi ya ugonjwa huo. Na Sabina Martin Serikali kupitia wizara ya afya kwashirikiana na Taasisi ya…
16 May 2025, 10:18 am
ili kukabiliana na vitendo vya ukatili nchini jamii imetakiwa kuwa mstari wa mbele kupinga vitendo hivyo RUNGWE-MBEYA Na Lennox Mwamakula Wanaofanyiwa vitendo vya ukatili kwenye jamii wanatakiwa kujenga utaratibu wa kutoa taarifa kwenye vyombo vya kisheria ili waweze kupatiwa msaada…
16 May 2025, 9:51 am
serikali kupitia wizara ya kilimo imekuja na mpango wa kusaidia amccos nchini RUNGWE-MBEYA Na Lennox Mwamakula Mbunge wa viti maalum mkoa wa mbeya mh, Sophia Mwakagenda ameishukuru serikali kupitia wizara ya kilimo kwa kujenga Packhouse wilayani Rungwe mkoani Mbeya ili…
11 May 2025, 3:47 pm
wanawake wametakiwa kutumia furusa zilizopo kwenye maeneo yao ili kujikwamua kiuchumi RUNGWE-MBEYA Na Lennox Mwamakula Richa ya serikali kutoa mikopo kwa vikundi vya wanawake ,vijana na watu wenyeulemavu mkurugenzi wa Taasisi isiyo kuwa ya kiserikali ya SHE CAN FOUNDATION na…
6 May 2025, 5:21 pm
Kwa kutambua kazi zinazofanywa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania jamii imeendelea kuungana na Dkt,samia kuendelea kuwatumikia wananchi kwa kipindi kingine cha miaka mitano ijayo RUNGWE – MBEYA Na Lennox Mwamakula Mkuu wawilaya ya Rungwe Mh,Jaffar Hanniu amepokea…
5 May 2025, 5:27 pm
ili kujiletea maendeleo wananchi wanatakiwa kushiriki kwenye mikutano kawenye maeneo yao RUNGWE-MBEYA Na Derick Gwakisa Wananchi wametakiwa kushiriki kwenye mikutano ya kimaendeleo inayohitishwa na viongozi kwenye maeneo yao ili kupanga mikakati mbalimbali ya kimaendeleo Wito huo umetolewa na afisa mtendaji wa…
5 May 2025, 4:24 pm
serikali imeombwa kupunguza masharti ya kupata mikopo kwa vikundu vya vijana.wanawake na watu wenye ulemavu RUNGWE-MBEYA Na Neema Nyirenda Baada ya serikali kufungua dirisha la mikopo awamu ya kwanza ya asilimia kumi ya halmashauri kwa vikundi vya wanawake,vijana na watu…
5 May 2025, 2:50 pm
Katika kuelekea uchaguzi mkuu mwaka huu wanawake wametakiwa ushiriki kugombea nafasi mbalimbali za uongozi ndani ya vyama vyao vya siasa RUNGWE -MBEYA Na Bertha Izengo Wanawake nchini wametakiwa kujitokeza kugombea nafasi mbalimbali za uongozi wakati Taifa tunaelekea kwenye uchagaguzi mkuu…
Chai FM radio ni radio inayomilikiwa na Umoja wa wakulima wa Chai Rungwe, Ilianzishwa kwa lengo la kuhakikisha mkulima wa Chai wilaya ya Rungwe anapata taarifa sahihi ambazo zitasaidia kuendeleza zao la Chai pamoja na shughuli zake za kiuchumi, Elimu na Kijamii.
Uwepo wa radio Chai FM umesaidia mkulima wa zao la Chai wilaya ya Rungwe kupata taarifa kwa wakati zinazohusu zao la chai na mwenendo wake pamoja na elimu juu ya kilimo biashara kwa zao la chai na mazao mengine pamoja na ufugaji.
Hii ni kutokana na uguu wa kufikisha taarifa ya masuala ya kilimo kwa wakulima wa chai jiografia ya wilaya ikiwa ni kikwazo kwa wakulima kupata taarifa mbalimbali za ndani na nje ya wilaya pamoja na mpango wa kilimo endelevu.
Dira
Kuona jamii ya wakulima na wafugaji wa wilaya ya Rungwe wanakuwa na maisha bora
Dhamira
Kushirikiana na wadau mbalimbali wa maendeleo wa ndani na nje ya Wilaya ya Rungwe kuelimisha na kutoa taarifa za kilimo, mifugo, biashara,viwanda na habari za kijamii kupitia vipindi vya redio.
Chai Fm Radio inasikika maeneo tofauti kama ifuatavyo
Mkoa wa Mbeya – Wilaya za Rungwe, Busokelo, Kyela, na Mbeya Vijijini kwa baadhi ya maeneo
Mkoa wa Njombe – Wilaya za Makete, Ludewa
Mkoa wa Songwe – Wilaya za Ileje na Songwe kwa baadhi ya maeneo
Mkoa wa Ruvuma – Wilaya za Mbinga na Nyasa.
Lakini pia chai Fm inapatikana ukiwa popote duniani kupitia radiotadio.co.tz/chaifm/