Chai FM
Chai FM
10 September 2025, 11:25 am
Baada ya utendaji mzuri wa miaka mitano wana ileje bado wanaimani na Kasekenya Na Sabina Martin Tanzania ikiwa inajianda na uchaguzi mkuu oktoba 29 Mwaka huu kampeni zinaendelea katika maeneo tofauti nchini ambapo mgombea ubunge jimbo la ileje kupitia chama…
8 June 2025, 11:26 am
Ndugu Aliko Mwaiteleke akizungumza na vyombo vya habari {picha na Lennox Mwamakula} katika kuelekea kwenye uchaguzi mkuu watu mbalimbali wameanda kujitokeza kuwania nafasi mbalimbali za uongozi RUNGWE-MBEYA Na Lennox Mwamakula Ikiwa Tanzania ikielekea kwenye uchaguzi mkuu mwaka huu Mdau wa…
2 June 2025, 1:37 pm
Ni jukumu la kila mtu kutunza na kuvilinda vyanzo vya maji kwani hakuna mtu anayeweza ishi bila maji. Na Sabina Martin Wenyeviti wa vijiji na vitongoji wametajwa kuwa chanzo cha wananchi wengi kufanya shughuli za ibinadamu ndani ya mita sitini…
30 May 2025, 9:49 am
wauguzi wakiwa kwenye maandamano kwenye siku ya kuadhimisha siku ya wauguzi Duniani [picha na Lennox Mwamakula] Baada ya wauguzi kulalamikiwa madai yao serikali imeamua kushughulikia ili kuwawezesha kufanya kazi kwa ufanisi mkubwa Na Lennox Mwamakula Tanzania ikiungana na mataifa mengine…
28 May 2025, 9:06 pm
Wajumbe wanaopokea rushwa kwa wagombea wamekuwa chanzo cha viongozi wasiowajibika kwa wananchi. Na Cleef Mlelwa Uwepo wa mifumo ya kisiasa ambayo inaamini katika kugawa vitu kwa wananchi badala ya kuwajengea uwezo utakao wasaidia kujiletea maendeleo na kujitegemea imetajwa kuwa ndio…
27 May 2025, 4:49 pm
licha ya wataalamu kutoa elimu juu ya matumizi ya majiko ya mkaa bado imekua changamoto kwa wakazi wengi wa Njombe hususani masimu huu wa majira ya baridi Na Cleef Mlelwa Yohana Kilowoko mwenye umri wa miaka 37 mkazi wa mtaa…
26 May 2025, 1:08 pm
Mapambano dhidi ya ugonjwa wa usubi katika wilaya za Rungwe, Kyela na Ileje yaliyodumu kwa kipindi cha miaka ishirini sasa yamezaa matunda kwa kupunguza maambukizi ya ugonjwa huo. Na Sabina Martin Serikali kupitia wizara ya afya kwashirikiana na Taasisi ya…
16 May 2025, 10:18 am
ili kukabiliana na vitendo vya ukatili nchini jamii imetakiwa kuwa mstari wa mbele kupinga vitendo hivyo RUNGWE-MBEYA Na Lennox Mwamakula Wanaofanyiwa vitendo vya ukatili kwenye jamii wanatakiwa kujenga utaratibu wa kutoa taarifa kwenye vyombo vya kisheria ili waweze kupatiwa msaada…
16 May 2025, 9:51 am
serikali kupitia wizara ya kilimo imekuja na mpango wa kusaidia amccos nchini RUNGWE-MBEYA Na Lennox Mwamakula Mbunge wa viti maalum mkoa wa mbeya mh, Sophia Mwakagenda ameishukuru serikali kupitia wizara ya kilimo kwa kujenga Packhouse wilayani Rungwe mkoani Mbeya ili…
11 May 2025, 3:47 pm
wanawake wametakiwa kutumia furusa zilizopo kwenye maeneo yao ili kujikwamua kiuchumi RUNGWE-MBEYA Na Lennox Mwamakula Richa ya serikali kutoa mikopo kwa vikundi vya wanawake ,vijana na watu wenyeulemavu mkurugenzi wa Taasisi isiyo kuwa ya kiserikali ya SHE CAN FOUNDATION na…
Chai FM radio ni radio inayomilikiwa na Umoja wa wakulima wa Chai Rungwe, Ilianzishwa kwa lengo la kuhakikisha mkulima wa Chai wilaya ya Rungwe anapata taarifa sahihi ambazo zitasaidia kuendeleza zao la Chai pamoja na shughuli zake za kiuchumi, Elimu na Kijamii.
Uwepo wa radio Chai FM umesaidia mkulima wa zao la Chai wilaya ya Rungwe kupata taarifa kwa wakati zinazohusu zao la chai na mwenendo wake pamoja na elimu juu ya kilimo biashara kwa zao la chai na mazao mengine pamoja na ufugaji.
Hii ni kutokana na uguu wa kufikisha taarifa ya masuala ya kilimo kwa wakulima wa chai jiografia ya wilaya ikiwa ni kikwazo kwa wakulima kupata taarifa mbalimbali za ndani na nje ya wilaya pamoja na mpango wa kilimo endelevu.
Dira
Kuona jamii ya wakulima na wafugaji wa wilaya ya Rungwe wanakuwa na maisha bora
Dhamira
Kushirikiana na wadau mbalimbali wa maendeleo wa ndani na nje ya Wilaya ya Rungwe kuelimisha na kutoa taarifa za kilimo, mifugo, biashara,viwanda na habari za kijamii kupitia vipindi vya redio.
Chai Fm Radio inasikika maeneo tofauti kama ifuatavyo
Mkoa wa Mbeya – Wilaya za Rungwe, Busokelo, Kyela, na Mbeya Vijijini kwa baadhi ya maeneo
Mkoa wa Njombe – Wilaya za Makete, Ludewa
Mkoa wa Songwe – Wilaya za Ileje na Songwe kwa baadhi ya maeneo
Mkoa wa Ruvuma – Wilaya za Mbinga na Nyasa.
Lakini pia chai Fm inapatikana ukiwa popote duniani kupitia radiotadio.co.tz/chaifm/