Chai FM
Chai FM
1 February 2024, 4:28 pm
Serikali yandelea kutafuta vyanzo mbalimbali vya mapato ili kuweza kupeleka huduma kwa wananchi. Na mwanahabari wetu Hii ni shule ya Msingi Nuru iliyopo Kata ya Bagamoyo Tukuyu Mjini yenye mchepuo wa kingereza ambayo inatajwa kupanua maarifa na ujuzi kwa wanafunzi…
1 February 2024, 4:15 pm
Jamii imetakiwa kutunza mazingira ili kuepukana na mangojwa ya mlipuko kama kipindupindu. Na Lennox mwamakula Wananchi wametakiwa kuchukua Tahadhari ya ugonjwa wa mlipuko wa kipindupindu ulioripotiwa sehemu za mikoa mbalimbali pamoja na mkoa wa jirani wa songwe. Kauli imetolewa na…
1 February 2024, 2:47 pm
katika kuadhimisha siku ya sheria jamii pamoja na wadau mbalimbali wameaswa kuwa na utaratibu wa kutoa ushirikiano kwa vyombo vya maamuzi kama mahakama. Aakimu mkazi mfawidhi wa mahakama ya wilaya akizungumza na wadau washeria[picha na Lennox Mwamakula] RUNGWE-MBEYA Na Lennox…
31 January 2024, 1:35 pm
Jamii imeshauriwa kuzingatia lishe bora kwa watoto ili kujenga mwili pamoja na kuimarisha afya ya akili kwa ujumla. Na Sabina Martin Wanafunzi waliopatiwa elimu ya lishe bora halmashauri ya wilaya ya Rungwe mkoani Mbeya wametakiwa kuwa mabalozi wa lishe katika…
30 January 2024, 5:51 pm
Halmashauri imejizatiti kukusanya zaidi ya kiasi cha shilingi bilioni 60.672 ili kuendelea kukamilisha miradi yote ya kipaombele na kuwaondolea changamoto wakazi wa Rungwe Kikao maalumu cha Baraza la Madiwani kimeketi leo tarehe 30.01.2024 lengo kuu likiwa ni kupitia na kupitisha…
25 January 2024, 11:47 am
Na Lennox Mwamakula – Rungwe Jamii imeshauriwa kutoa ushirikiano pindi watoto wanapo takiwa kupatiwa chanjo ya mangojwa mbalimbali kwani itasaidia kuimarisha kinga kwa watoto Kauli hiyo imetolewa na mtaalamu wa kinga ambaye pia ni afisa afya Ndugu Leonard Shaba kwenye…
19 January 2024, 11:31 am
Na mwandishi wetu Halmashauri ya Wilaya ya Busokelo imepanga kutumia shilingi bilioni 26.6 kwa mwaka fedha 2024/2025. Hayo yameleezwa katika kikao cha Baraza la madiwani kilichofanyika katika ukumbi wa Halmashauri tarehe 18/01/2024 kwaajili ya kujadili mapendekezo ya Mpango na Bajeti …
19 January 2024, 10:47 am
Na Mwandishi wetu Katika kuhakikisha sera ya afya ya kuwa na kituo cha afya kila kata halmashauri ya wilaya ya Rungwe imetekeleza kwa vitendo sera hiyo wa kujenga vituo vya afya katika kata mbalimbali ndani ya halmashauri yake. Kwa mujibu…
19 January 2024, 10:18 am
Ushirikiano mzuri baina ya wazazi na walimu umetajwa kuwa chachu ya ongezeko la ufaulu kwa wanafunzi wa shule ya msingi. Na Sabina Martin – RUNGWE, Wazazi na walezi wilayani Rungwe wameshauriwa kushirikiana zaidi na walimu ili kuboresha maendeleo ya watoto…
17 January 2024, 11:07 am
Na mwandishi wetu Askofu Geophrey Mwakihaba wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania(KKKT)Dayosisi ya Konde amewabariki Wataradhia kumi na saba kuwa Wachungaji baada ya kuhitimu masomo ya Theolojia hivyo kuendelea kuongeza Watumishi ndani ya Kanisa ibada iliyofanyika usharika wa Tukuyu…
Chai FM radio ni radio inayomilikiwa na Umoja wa wakulima wa Chai Rungwe, Ilianzishwa kwa lengo la kuhakikisha mkulima wa Chai wilaya ya Rungwe anapata taarifa sahihi ambazo zitasaidia kuendeleza zao la Chai pamoja na shughuli zake za kiuchumi, Elimu na Kijamii.
Uwepo wa radio Chai FM umesaidia mkulima wa zao la Chai wilaya ya Rungwe kupata taarifa kwa wakati zinazohusu zao la chai na mwenendo wake pamoja na elimu juu ya kilimo biashara kwa zao la chai na mazao mengine pamoja na ufugaji.
Hii ni kutokana na uguu wa kufikisha taarifa ya masuala ya kilimo kwa wakulima wa chai jiografia ya wilaya ikiwa ni kikwazo kwa wakulima kupata taarifa mbalimbali za ndani na nje ya wilaya pamoja na mpango wa kilimo endelevu.
Dira
Kuona jamii ya wakulima na wafugaji wa wilaya ya Rungwe wanakuwa na maisha bora
Dhamira
Kushirikiana na wadau mbalimbali wa maendeleo wa ndani na nje ya Wilaya ya Rungwe kuelimisha na kutoa taarifa za kilimo, mifugo, biashara,viwanda na habari za kijamii kupitia vipindi vya redio.
Chai Fm Radio inasikika maeneo tofauti kama ifuatavyo
Mkoa wa Mbeya – Wilaya za Rungwe, Busokelo, Kyela, na Mbeya Vijijini kwa baadhi ya maeneo
Mkoa wa Njombe – Wilaya za Makete, Ludewa
Mkoa wa Songwe – Wilaya za Ileje na Songwe kwa baadhi ya maeneo
Mkoa wa Ruvuma – Wilaya za Mbinga na Nyasa.
Lakini pia chai Fm inapatikana ukiwa popote duniani kupitia radiotadio.co.tz/chaifm/