Chai FM
Chai FM
4 September 2026, 6:25 pm

Mrakibu wa polisi wilaya ya Rungwe Felix Kakolanya akiongea na kituo hiki ofisini kwake[ Picha na Aidan Mwakyoma]
waendesha vyombo vya moto nchini wametakiwa kufuata sheria ili kupunguza ajali
RUNGWE
Na Aidan Mwakyonya
Mrakibu wa jeshi la polisi Wilayani Rungwe mkoani MbeyaFelix Kakolanya amewataka waendesha vyombo vya moto kufuata sheria za Barabarani
Kauli hiyo ameitoa alipo kuwa akiongea na kituo hiki ofisini kwake ambapo ameseama waendesha vyombo vya moto hasa waendesha pikipiki [madereva bodaboda] wamekuwa na tabia ya kuto chukua tahadhari wanapo tumia barabara kuu
Hata hivyo Kakolanya amesema kunapo msababishia mwenzi ajali unapunguza nguvu kazi ya taifa na wamesahi Bodaboda wajenge utarabu wa kusoma sheria za usalama wa Barabarani kwa kufanya hivyo kutapunguza ajali zitokanazo nauzembe wa baadhi ya watumiaji wa Barabara
Sauti ya felix kakolanya1
Aidha mrakibu huyo ameeleza utaratibu mpya utakaotumika kwa madereva wanaosababisha ajali na kutorosha vyombo vyao vya usafiri pindi hatua za kisheria zinavyo taka kuchukuliwa
Sauti ya felix kakolanya
Kwa upande wao waendesha pikipiki [ madereva bodaboda] wilayani Rungwe wameeleza namna wanavozingatia usalama barabarani huku wakitoa changamoto wanazokumbana nazo wakiwa katika majukumu yao ya usafiriishaji
Sauti ya bodaboda
kwa upande wa larta wametoa wito kwa bodaboda kusajili na kulipia vyombo vyao vya usafiri ili kuepukana na changamoto za ukaguzi pindi wakiwa safarini na kuwaomba wafuate taratibu ………………………………………. insert latra