Recent posts
19 April 2024, 3:16 pm
Vitendo vya wizi vya ongezeka Rungwe
wananchi wakiwa kwenye utambuzi wa vitu vilivyo ibiwa kweye makazi yao Jamii imeshauriwa kutoa taarifa kwenye viongozi wa maeneo yao bindi wanapo ona vyaashiria ya uwizi au uvunjifu wa amani kwenye maeneo yao RUNGWE-MBEYA NA lennox Mwamakula Wananchi wa mtaa…
4 April 2024, 6:45 pm
Baada ya daraja kubomoka wananchi wakosa huduma Rungwe
wananchi wakishuhudia daraja likisobwa na maji baada ya mvua kunyesha[picha na Lennox Mwamakula] Jamii imeshauriwa kutolima kwenye vyanzo vya maji kwani kunapelekea madhara makubwa kwenye shughuli za kibinadamu. Rungwe-Mbeya Na lennox Mwamakula Wananchi wilayani Rungwe wameiomba serikali kuwajengea daraja lililo…
1 April 2024, 11:23 am
Mvua yasababisha majanga Rungwe
Moja ya nyumba iliyonusulika kubomoka [picha na Lennox Mwamakula] Richa ya kuwepo kwa sera mipango miji nchini jamii imewaomba wasimamizi kuendelea kufuatia na kuratibu ili kufanikisha suala hilo RUNGWE-MBEYA Lennox Mwamakula Kufuatia mvua zinazoendelea kunyesha maeneo mbalimbali nchini wananchi wilayani…
28 March 2024, 6:54 pm
Jamii kuepuka majanga ya moto Rungwe
ili kuhakikisha majanga ya moto yanaepukika wananchi wanatakiwa kutoa taarifa juu ya majanga ya moto. RUNGWE-MBEYA Na Lennox Mwamakula Jeshi la polisi kwa kushirikiana na jeshi la zimamoto na uokoaji wilayani Rungwe mkoani Mbeya limewataka wananchi wa mtaa wa Igamba…
21 March 2024, 6:15 pm
Transfoma yahatarisha usalama wa wafanyabiashara Rungwe
Ili kuhakikisha shughuli za kibinadamu kufanyika, binadamu anatakiwa kuweka mazingira ya kazi yake salama. Na lennox Mwamakula Wafanyabiashara wa ndizi kwenye soko la Mabonde lililopo kata ya Msasani wilayani Rungwe wameiomba serikali kuwaboreshea soko hilo. Baadhi ya wafanyabiashara wakiendelea na…
21 March 2024, 12:13 pm
Vijana jitokezeni kupima mambukizi ya ukimwi Rungwe
Mratibu wa ukimwi Rungwe Bw,George Mashimbi[picha na Yona kibona] Katika kuhakikisha jamii inakuwa salama, vijana wameshauriwa kuwa msitari wa mbele kujua afya kwani ndilo kundi linalotegemewa katika ujenzi wa taifa. RUNGWE-MBEYA Na lennox mwamakula Imeelezwa kuwa jumla ya wakazi 12,158…
14 March 2024, 8:08 am
Chakula shuleni chachu ya ufaulu Rungwe
Katibu tawala wa halmashauri ya wilaya ya Rungwe Ally Kiumwa akizungumza na wajumbe kwenye kikao cha Tathimini juu ya lishe [picha na Lennox mwamakula] Imeelezwa kuwa asilimia 93.7 ya wanafunzi wanaofanya vizuri katika masomo yao ni wale wanaokula chakula cha…
11 March 2024, 2:07 pm
Diwani avunja kamati ya shule
Baada ya wazazi na walezi kuonesha kutokuwa na imani na kamati ya shule imemlazimu diwani kuingilia kati suala hilo. Na Cleef Mlelwa – Wanging’ombe Diwani wa kata ya Kijombe Seylvester Kigola ameagiza kuvunjwa kwa kamati ya shule ya msingi Ikwavila…
8 March 2024, 4:17 pm
Wanawake wahimizwa kushiriki ngazi za uongozi
Ili kuhakikisha uchumi wa familia unaimarika, wanawake wametakiwa kutambua nafasi zao kwenye jamii. Serikal imetakiwa kuhakikisha inaendelea kuwakwamua wanawake kiuchumi na kijamii ili kuweza kufikia maendeleo ya jamii na taifa kwa ujumla. Katibu tawala wa wilaya ya Rungwe Ally Kiumwa…
8 March 2024, 11:24 am
Zaidi ya milioni 3 kukarabati shule Rungwe
Shule ya msingi Katumba one ni shule iliyojengwa miaka 50 iliyopita na kutumika bila kufanyiwa ukarabati wowote, hatimaye sasa inakwenda kukarabatiwa kwa ufadhili wa mbunge. Na Bahati Obel Mbunge wa jimbo la Rungwe Anton Mwantona amekabidhi msaada wa bati 108…