Recent posts
24 November 2025, 2:15 pm
Usugu wa vimelea dhidi ya dawa chanzo cha vifo mil. 1 duniani
Matumizi holela ya dawa yanatajwa kuwa moja kati ya sababu zinaochangia usugu wa vimelea dhidi ya dawa ambayo husababisha vifo vya watu millioni 1.1 kila mwaka duniani. Na Sabina Martin Jamii nchini imetakiwa kutumia dawa kwa kuzingatia maelekezo yadaktari ili…
21 October 2025, 1:55 pm
Amani chanzo cha umoja na mshikamano wa kitaifa
Uwepo wa amani nchini Tanzania imekua chanzo cha kutokuwepo kwa matabaka ya udini, Ukabila walionacho na wasionacho, badala yake waTanzania wote wamekua na maisha ya kuchangamana bila kubaguana kwa hali yoyote. Karibu kusikiliza mahojiano ya moja kwa moja
16 October 2025, 3:07 pm
Rungwe iko salama kwa uchaguzi
ikiwa ni takwa la kikatiba wananchi wametakiwa kwenda kuwachagua viongozi wanao wataka siku ya uchaguzi mkuu RUNGWE-MBEYA Na Lennox Mwamakula Wito umetolewa kwa wananchi wilayani Rungwe mkoani Mbeya kujitokeza kupiga kura ifikapo octoba 29.2025 kwa wote wenye sifa za kupiga…
8 October 2025, 9:59 pm
Vijana kukomesha vitendo vya ukatili Mbeya
jamii imetakiwa kujenga utaratibu wa kutoa taarifa kwenye vyombo ya kisheria kuhusu vitendo vya utatili MBEYA Na Lennox Mwamakula Vijana nchini wametakiwa kuwa mstari wa mbele katika suala la kupinga vitendo vya ukatili kwani wao ndiyo nguvu kazi ya Taifa…
23 September 2025, 3:07 pm
THBUB yasisitiza amani kuelekea uchaguzi mkuu
kila raia wa Tanzania ana haki ya kupiga kura ya kuchagua kiongozi anaye mtaka kwaajili ya maendeleo RUNGWE-MBEYA Na Lennox Mwamakula Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora nchini imewamba wananchi kushiriki kikamilifu kwenye mikutano ya kampeni inayofanywa na…
10 September 2025, 4:16 pm
Zaidi ya watu laki saba hujiua kila mwaka duniani
Siku ya kuzuia kujiua duniani inaadhimishwa Kila ifikapo septemba 10. Kila Mwaka ikiangazia Tatizo la afya kwa umma licha ya kuzuilika husababisha vifo vya zaidi ya watu lakini saba kwa mwaka. Na Sabina Martin Wakati dunia ikiadhimisha siku ya kimataifa…
10 September 2025, 11:25 am
Eng. Kasekenya azindua kampeni Ileje
Baada ya utendaji mzuri wa miaka mitano wana ileje bado wanaimani na Kasekenya Na Sabina Martin Tanzania ikiwa inajianda na uchaguzi mkuu oktoba 29 Mwaka huu kampeni zinaendelea katika maeneo tofauti nchini ambapo mgombea ubunge jimbo la ileje kupitia chama…
8 June 2025, 11:26 am
Mdau wa maendeleo kugombea ubunge Rungwe
Ndugu Aliko Mwaiteleke akizungumza na vyombo vya habari {picha na Lennox Mwamakula} katika kuelekea kwenye uchaguzi mkuu watu mbalimbali wameanda kujitokeza kuwania nafasi mbalimbali za uongozi RUNGWE-MBEYA Na Lennox Mwamakula Ikiwa Tanzania ikielekea kwenye uchaguzi mkuu mwaka huu Mdau wa…
2 June 2025, 1:37 pm
Bonde la ziwa Nyasa hawapoi
Ni jukumu la kila mtu kutunza na kuvilinda vyanzo vya maji kwani hakuna mtu anayeweza ishi bila maji. Na Sabina Martin Wenyeviti wa vijiji na vitongoji wametajwa kuwa chanzo cha wananchi wengi kufanya shughuli za ibinadamu ndani ya mita sitini…
30 May 2025, 9:49 am
Madai ya wauguzi kufanyiwa kazi kabla ya Mei 31
wauguzi wakiwa kwenye maandamano kwenye siku ya kuadhimisha siku ya wauguzi Duniani [picha na Lennox Mwamakula] Baada ya wauguzi kulalamikiwa madai yao serikali imeamua kushughulikia ili kuwawezesha kufanya kazi kwa ufanisi mkubwa Na Lennox Mwamakula Tanzania ikiungana na mataifa mengine…