
Recent posts

17 April 2025, 10:22 am
Sheria yalenga kuhifadhi na si kunyang’anya ardhi ya wananchi Busokelo
Uwepo wa sheria ya uhifadhi wa mazingira namba 20 ya mwaka 2004 inalenga kuhifadhi mazingira na si vinginevyo. Na Sabina Martin- Rungwe Imeelezwa kuwa uwepo wa sheria ya mazingira inayokataza shughuli za kibinadamu ndani ya mita sitini kutoka katika chanzo…

28 March 2025, 9:16 am
CHADEMA yaungana na wakulima kilio cha bei ya parachichi Rungwe
serikali imetakiwa kutatua changamoto ya bei ya zao la parachichi wilayani Rungwe ili mkulima aweze kunufaika na zao hilo RUNGWE-MBEYA Na Erick Gwakisa Makamu mwenyekiti wa Demokrasia na maendeleo CHADEMA bara Mh.John Heche amemtaka waziri wa kilimo Mh.Hussein Bashe kueleza…

28 March 2025, 8:32 am
Vilio vyatawala kwa wafanyabiashara Rungwe
RUNGWE –MBEYA Na Bertha Izengo Katika msimu huu wa mfungo wa Eid el Fitr Wafanyabiashara wilayani Rungwe mkoani Mbeya waeleza changamoto upatikanaji wa bidhaa kwenye maeneo mbalimbali katika kipindi hiki. Mmoja wa wafanyabiashara soko la nafaka Tandale Bi.Edina Sanga akizungumza…

25 March 2025, 11:33 am
Wafanyabiashara wakerwa na takataka ndani ya soko Rungwe
RUNGWE -MBEYA Na Neema Nyirenda Serikali imeombwa kuboresha miundombinu ya masoko yote nchini kwani kutasaidia kuinua uchumi wa watumiaji wa masoko hayo na Taifa kwa ujumla Hayo yameelezwa na wafanyabiashara wa ndizi soko la mabonde lililopo kata ya Msasani wilayani…

19 March 2025, 8:57 pm
Mwakagenda awakwamua wanawake Rungwe
Ili kukabiliana na changamoto ya uchumi kwenye jamii taasisi binafsi nchini zinatakiwa kutambua nafasi ya mwanamke. RUNGWE-MBEYA Na Lennox Mwamakula Shirika la SHE CAN Foundation chini ya mkurugenzi wake, ambaye pia ni Mbunge wa viti Maalumu Mkoa wa Mbeya, Sophia…

2 March 2025, 2:29 pm
Zaidi ya shilingi milioni 611 za nufaisha vikundi Rungwe
Katibu tawala wa wilaya ya Rungwe Ally Kiumwa akizungumza na wanufaika wa mikopo serikali ya awamu ya sita imefungua dirisha jipya ya mkopo usiokuwa na riba kwa wanawake,vijana na watuwalemavu RUNGWE-MBEYA Na Lennox Mwamakula Halmashauri ya wilaya ya Rungwe imetoa…

2 March 2025, 11:55 am
Mtaala mpya wa elimu imepokelewa kwa furaha Busokelo
Afisa uthibiti ubora wa shule Halmashauri ya Busokelo Bi,Asha Kibiki akiwa ofisini kweke [picha na Peter Tungu] katika kwendana na mabadiliko ya sanyasi na teknolojia jamii imetakiwa kuendana na mabadiliko hayo ili kuweza kuanda watoto kuweza kujiajili BUSOKELO- MBEYA Na…

28 February 2025, 6:54 pm
Elimu zaidi yahitajika kutunza vyanzo vya maji
Wakati binadamu hawezi kuishi bila maji hali ni kinyume chake kwayo maji huweza kuendelea kuwepo hata bila uwepo wa binadamu, kwa umuhimu huo wa maji ni jukumu la kila mmoja kuhakikisha, anatunza, analinda na kuhifadhi vyanzo vya maji. Na Sabina…

11 February 2025, 11:24 am
Wanufaika wa mikopo wafurahishwa Busokelo
RUNGWE-MBEYA Mikopo ya serikali inawasaidia wananchi kujikwamua kiuchumi kwa ngazi ya familia na kuinua chumi wa halmashauri kwa ujumla. Na Lennox Mwamakula Zaidi ya shilingi Milioni 177 zimetolewa na Halmashauri ya wilaya ya Busokelo kwa vikundi vya wanawake,vijana na watu…

4 February 2025, 1:19 pm
Tafiti zinatakiwa kufanyika kabla ya sheria kutungwa
Katika safari ya kuelekea Tanzania 2050 taasisi zinazohusika na usimamizi wa haki madai ni muhimu zikajikita kutekeleza malengo yaliyoainishwa katika dira ya taifa ya maendeleo. Na Sabina Martin Rai imetolewa kwa tume ya kurekebisha sheria Tanzania kufanya utafiti wa kina…