On air
Play internet radio

Recent posts

24 November 2025, 2:15 pm

Usugu wa vimelea dhidi ya dawa chanzo cha vifo mil. 1 duniani

Matumizi holela ya dawa yanatajwa kuwa moja kati ya sababu zinaochangia usugu wa vimelea dhidi ya dawa ambayo husababisha vifo vya watu millioni 1.1 kila mwaka duniani. Na Sabina Martin Jamii nchini imetakiwa kutumia dawa kwa kuzingatia maelekezo yadaktari ili…

21 October 2025, 1:55 pm

Amani chanzo cha umoja na mshikamano wa kitaifa

Uwepo wa amani nchini Tanzania imekua chanzo cha kutokuwepo kwa matabaka ya udini, Ukabila walionacho na wasionacho, badala yake waTanzania wote wamekua na maisha ya kuchangamana bila kubaguana kwa hali yoyote. Karibu kusikiliza mahojiano ya moja kwa moja

16 October 2025, 3:07 pm

Rungwe iko salama kwa uchaguzi

ikiwa ni takwa la kikatiba wananchi wametakiwa kwenda kuwachagua viongozi wanao wataka siku ya uchaguzi mkuu RUNGWE-MBEYA Na Lennox Mwamakula Wito umetolewa kwa wananchi wilayani Rungwe mkoani Mbeya kujitokeza kupiga kura ifikapo octoba 29.2025 kwa wote wenye sifa za kupiga…

8 October 2025, 9:59 pm

Vijana kukomesha vitendo vya ukatili Mbeya

jamii imetakiwa kujenga utaratibu wa kutoa taarifa kwenye vyombo ya kisheria kuhusu vitendo vya utatili MBEYA Na Lennox Mwamakula Vijana nchini wametakiwa kuwa mstari wa mbele katika suala la kupinga vitendo vya ukatili kwani wao ndiyo nguvu kazi ya Taifa…

23 September 2025, 3:07 pm

THBUB yasisitiza amani kuelekea uchaguzi mkuu

kila raia wa Tanzania ana haki ya kupiga kura ya kuchagua kiongozi anaye mtaka kwaajili ya maendeleo RUNGWE-MBEYA Na Lennox Mwamakula Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora nchini imewamba wananchi kushiriki  kikamilifu kwenye mikutano ya kampeni inayofanywa na…

10 September 2025, 4:16 pm

Zaidi ya watu laki saba hujiua kila mwaka duniani

Siku ya kuzuia kujiua duniani inaadhimishwa Kila ifikapo septemba 10. Kila Mwaka ikiangazia Tatizo la afya kwa umma licha ya kuzuilika husababisha vifo vya zaidi ya watu lakini saba kwa mwaka. Na Sabina Martin Wakati dunia ikiadhimisha siku ya kimataifa…

10 September 2025, 11:25 am

Eng. Kasekenya azindua kampeni Ileje

Baada ya utendaji mzuri wa miaka mitano wana ileje bado wanaimani na Kasekenya Na Sabina Martin Tanzania ikiwa inajianda na uchaguzi mkuu oktoba 29 Mwaka huu  kampeni zinaendelea katika maeneo tofauti nchini ambapo mgombea ubunge jimbo la ileje kupitia chama…

8 June 2025, 11:26 am

Mdau wa maendeleo kugombea ubunge Rungwe

Ndugu Aliko Mwaiteleke akizungumza na vyombo vya habari {picha na Lennox Mwamakula} katika kuelekea kwenye uchaguzi mkuu watu mbalimbali wameanda kujitokeza kuwania nafasi mbalimbali za uongozi RUNGWE-MBEYA Na Lennox Mwamakula  Ikiwa Tanzania ikielekea kwenye uchaguzi mkuu  mwaka huu Mdau wa…

2 June 2025, 1:37 pm

Bonde la ziwa Nyasa hawapoi

Ni jukumu la kila mtu kutunza na kuvilinda vyanzo vya maji kwani hakuna mtu anayeweza ishi bila maji. Na Sabina Martin Wenyeviti wa vijiji na vitongoji wametajwa kuwa chanzo cha wananchi wengi kufanya shughuli za ibinadamu ndani ya mita sitini…

30 May 2025, 9:49 am

Madai ya wauguzi kufanyiwa kazi kabla ya Mei 31

wauguzi wakiwa kwenye maandamano kwenye siku ya kuadhimisha siku ya wauguzi Duniani [picha na Lennox Mwamakula] Baada ya wauguzi kulalamikiwa madai yao serikali imeamua kushughulikia ili kuwawezesha kufanya kazi kwa ufanisi mkubwa Na Lennox Mwamakula Tanzania ikiungana na mataifa mengine…

Kuhusu Chai FM

Chai FM radio ni radio inayomilikiwa na Umoja wa wakulima wa Chai Rungwe, Ilianzishwa kwa lengo la kuhakikisha mkulima wa Chai wilaya ya Rungwe anapata taarifa sahihi ambazo zitasaidia kuendeleza zao la Chai pamoja na shughuli zake za kiuchumi, Elimu na Kijamii.

Uwepo wa radio Chai FM umesaidia mkulima wa zao la Chai wilaya ya Rungwe kupata taarifa kwa wakati zinazohusu zao la chai na mwenendo wake pamoja na elimu juu ya kilimo biashara kwa zao la chai na mazao mengine pamoja na ufugaji.

Hii ni kutokana na uguu wa kufikisha taarifa ya masuala ya kilimo kwa wakulima wa chai jiografia ya wilaya ikiwa ni kikwazo kwa wakulima kupata taarifa mbalimbali za ndani na nje ya wilaya pamoja na mpango wa kilimo endelevu.

Dira

Kuona jamii ya wakulima na wafugaji wa wilaya ya Rungwe wanakuwa na maisha bora

Dhamira

Kushirikiana na wadau mbalimbali wa maendeleo wa ndani na nje ya Wilaya ya Rungwe kuelimisha na kutoa taarifa za kilimo, mifugo, biashara,viwanda na habari za kijamii kupitia vipindi vya redio.

Chai Fm Radio inasikika maeneo tofauti kama ifuatavyo

Mkoa wa Mbeya – Wilaya za Rungwe, Busokelo, Kyela, na Mbeya Vijijini kwa baadhi ya maeneo

Mkoa wa Njombe – Wilaya za Makete, Ludewa

Mkoa wa Songwe – Wilaya za Ileje na Songwe kwa baadhi ya maeneo

Mkoa wa Ruvuma – Wilaya za Mbinga na Nyasa.

Lakini pia chai Fm inapatikana ukiwa popote duniani kupitia radiotadio.co.tz/chaifm/