28 March 2025, 9:16 am

CHADEMA yaungana na wakulima kilio cha bei ya parachichi Rungwe

serikali imetakiwa kutatua changamoto ya bei ya zao la parachichi wilayani Rungwe ili mkulima aweze kunufaika na zao hilo RUNGWE-MBEYA Na Erick Gwakisa Makamu mwenyekiti  wa  Demokrasia na maendeleo CHADEMA bara Mh.John Heche amemtaka waziri wa kilimo Mh.Hussein Bashe kueleza…

Offline
Play internet radio

Recent posts

28 March 2025, 9:16 am

CHADEMA yaungana na wakulima kilio cha bei ya parachichi Rungwe

serikali imetakiwa kutatua changamoto ya bei ya zao la parachichi wilayani Rungwe ili mkulima aweze kunufaika na zao hilo RUNGWE-MBEYA Na Erick Gwakisa Makamu mwenyekiti  wa  Demokrasia na maendeleo CHADEMA bara Mh.John Heche amemtaka waziri wa kilimo Mh.Hussein Bashe kueleza…

28 March 2025, 8:32 am

Vilio vyatawala kwa wafanyabiashara Rungwe

RUNGWE –MBEYA Na Bertha Izengo Katika msimu huu wa mfungo wa Eid el Fitr Wafanyabiashara  wilayani Rungwe mkoani Mbeya waeleza changamoto  upatikanaji wa bidhaa kwenye maeneo mbalimbali katika kipindi hiki.  Mmoja wa wafanyabiashara soko la nafaka Tandale Bi.Edina Sanga akizungumza…

25 March 2025, 11:33 am

Wafanyabiashara wakerwa na takataka ndani ya soko Rungwe

RUNGWE -MBEYA Na Neema Nyirenda Serikali imeombwa kuboresha miundombinu ya  masoko yote nchini kwani kutasaidia kuinua uchumi wa watumiaji wa masoko hayo na Taifa kwa ujumla Hayo yameelezwa na wafanyabiashara wa ndizi soko la mabonde lililopo kata ya Msasani wilayani…

19 March 2025, 8:57 pm

Mwakagenda awakwamua wanawake Rungwe

Ili kukabiliana na changamoto ya uchumi kwenye jamii taasisi binafsi nchini zinatakiwa kutambua nafasi ya mwanamke. RUNGWE-MBEYA Na Lennox Mwamakula Shirika la SHE CAN Foundation chini ya mkurugenzi wake, ambaye  pia ni Mbunge wa viti Maalumu Mkoa wa Mbeya, Sophia…

2 March 2025, 2:29 pm

Zaidi ya shilingi milioni 611 za nufaisha vikundi Rungwe

Katibu tawala wa wilaya ya Rungwe Ally Kiumwa akizungumza na wanufaika wa mikopo serikali ya awamu ya sita imefungua dirisha jipya ya mkopo usiokuwa na riba kwa wanawake,vijana na watuwalemavu RUNGWE-MBEYA Na Lennox Mwamakula Halmashauri ya wilaya ya Rungwe imetoa…

2 March 2025, 11:55 am

Mtaala mpya wa elimu imepokelewa kwa furaha Busokelo

Afisa uthibiti ubora wa shule Halmashauri ya Busokelo Bi,Asha Kibiki akiwa ofisini kweke [picha na Peter Tungu] katika kwendana na mabadiliko ya sanyasi na teknolojia jamii imetakiwa kuendana na mabadiliko hayo ili kuweza kuanda watoto kuweza kujiajili BUSOKELO- MBEYA Na…

28 February 2025, 6:54 pm

Elimu zaidi yahitajika kutunza vyanzo vya maji

Wakati binadamu hawezi kuishi bila maji hali ni kinyume chake kwayo maji huweza kuendelea kuwepo hata bila uwepo wa binadamu, kwa umuhimu huo wa maji ni jukumu la kila mmoja kuhakikisha, anatunza, analinda na kuhifadhi vyanzo vya maji. Na Sabina…

11 February 2025, 11:24 am

Wanufaika wa mikopo wafurahishwa Busokelo

RUNGWE-MBEYA Mikopo ya serikali inawasaidia wananchi kujikwamua kiuchumi kwa ngazi ya familia na kuinua chumi wa halmashauri kwa ujumla. Na Lennox Mwamakula Zaidi ya  shilingi Milioni 177 zimetolewa na Halmashauri ya wilaya ya Busokelo kwa vikundi vya wanawake,vijana na watu…

4 February 2025, 1:19 pm

Tafiti zinatakiwa kufanyika kabla ya sheria kutungwa

Katika safari ya kuelekea Tanzania 2050 taasisi zinazohusika na usimamizi wa haki madai ni muhimu zikajikita kutekeleza malengo yaliyoainishwa katika dira ya taifa ya maendeleo. Na Sabina Martin Rai imetolewa kwa tume ya kurekebisha sheria Tanzania kufanya utafiti wa kina…

Kuhusu Chai FM

Chai FM radio ni radio inayomilikiwa na Umoja wa wakulima wa Chai Rungwe, Ilianzishwa kwa lengo la kuhakikisha mkulima wa Chai wilaya ya Rungwe anapata taarifa sahihi ambazo zitasaidia kuendeleza zao la Chai pamoja na shughuli zake za kiuchumi, Elimu na Kijamii.

Uwepo wa radio Chai FM umesaidia mkulima wa zao la Chai wilaya ya Rungwe kupata taarifa kwa wakati zinazohusu zao la chai na mwenendo wake pamoja na elimu juu ya kilimo biashara kwa zao la chai na mazao mengine pamoja na ufugaji.

Hii ni kutokana na uguu wa kufikisha taarifa ya masuala ya kilimo kwa wakulima wa chai jiografia ya wilaya ikiwa ni kikwazo kwa wakulima kupata taarifa mbalimbali za ndani na nje ya wilaya pamoja na mpango wa kilimo endelevu.

Dira

Kuona jamii ya wakulima na wafugaji wa wilaya ya Rungwe wanakuwa na maisha bora

Dhamira

Kushirikiana na wadau mbalimbali wa maendeleo wa ndani na nje ya Wilaya ya Rungwe kuelimisha na kutoa taarifa za kilimo, mifugo, biashara,viwanda na habari za kijamii kupitia vipindi vya redio.

Chai Fm Radio inasikika maeneo tofauti kama ifuatavyo

Mkoa wa Mbeya – Wilaya za Rungwe, Busokelo, Kyela, na Mbeya Vijijini kwa baadhi ya maeneo

Mkoa wa Njombe – Wilaya za Makete, Ludewa

Mkoa wa Songwe – Wilaya za Ileje na Songwe kwa baadhi ya maeneo

Mkoa wa Ruvuma – Wilaya za Mbinga na Nyasa.

Lakini pia chai Fm inapatikana ukiwa popote duniani kupitia radiotadio.co.tz/chaifm/