Washiriki wa warsha ya waandishi wa habari kuhusu kampeni ya chanjo ya Polio
Orkonerei FM

Manyara yajipanga chanjo ya Polio kwa watoto 675,630

20 August 2026, 1:50 pm

Washiriki wa warsha ya waandishi wa habari kuhusu kampeni ya chanjo ya Polio
Washiriki wa warsha ya waandishi wa habari kuhusu kampeni ya chanjo ya Polio iliyofanyika Ofisi za mkuu wa mkoa wa Manyara, Agosti 22,2026.

Na Isack Dickson

Mkoani Manyara, maandalizi yamekamilika kuelekea kampeni ya chanjo ya matone ya Polio itakayofanyika Agosti 27 hadi 30, 2026. Watoto 675,630 walio chini ya umri wa miaka 10 wanatarajiwa kufikiwa na chanjo hiyo. Wanahabari wamepewa elimu ili kusaidia kufikisha taarifa sahihi kwa wazazi na walezi kuhusu umuhimu wa chanjo hiyo. Sikiliza Simulizi hapa chini..